Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #61
Nlitamani ungeweza onesha werevu hata kidogo... Sijaona.Labda uwe umeandika hii kitu kwa utani tu ila ikiwa upo serious we mpumbavu wa kiwango cha hali ya juu kupitiliza
Nionyeshe werevu kwenye nini sasa? Hapo Samia wa nini kwenye hili Jambo? Ikiwa bado unaamini samia anahitajika kwenye kumshukuru we ni wa ovyo saaana.Nlitamani ungeweza onesha werevu hata kidogo... Sijaona.
Siwezi kujibu hoja za kijingaIna maana hukufundishwa kujenga hoja? Kuwa na akili zaidi ya matusi?
Ni mpumbavu pekee anaweza kushukuru akawaacha GSM na MONionyeshe werevu kwenye nini sasa? Hapo Samia wa nini kwenye hili Jambo? Ikiwa bado unaamini samia anahitajika kwenye kumshukuru we ni wa ovyo saaana.
Hakuna anaemzidi hata kwa kufunga magoli uwanjaniHakuna kama mama. 😄
Sema like inakua moja. Ningekugonga like kama mia hivi.Ni mpumbavu pekee anaweza kushukuru akawaacha GSM na MO
Tuanze na wewe kwanza.Kuna umuhimu mkubwa sana kwa JF kupima akili hawa memba wake
Kagawa zawadi za magoli ili kuongeza morali na kweli amefanikiwa sana kwenye hili.Hakuna anaemzidi hata kwa kufunga magoli uwanjani
Kwahiyo ndio amewapeleka? Zingatia neno kupelekaKagawa zawadi za magoli ili kuongeza morali na kweli amefanikiwa sana kwenye hili.
Uliona kilichotokea Fainali za CAF?Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Ndiyo mkuuKwahiyo ndio amewapeleka? Zingatia neno kupeleka
Juhudi za mama zipo.Uliona kilichotokea Fainali za CAF?
Huu uzwazwa wa kumpa sifa hata pasipostahili.
Badala ya kujibu kindezi, ungeweka factsJuhudi za mama zipo.
Acha niwe ndezi kwa kusema ukweli mkuuBadala ya kujibu kindezi, ungeweka facts
PoaAcha niwe ndezi kwa kusema ukweli mkuu
Hongera nyingi kwa rais na CCM kufanikiwa kuleta mafuriko kule Hanang na kubomoa nyumba zao na kuamua kuwajengea mpya.Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Angalau ungejitahidi kwanza kunoa ubongo wako na kufatilia huo mchezo vizuri kabla ya kuleta uchawa. Hiyo Fainali waliyoingia ni ya ligi ipi!? Mama yako alifunga goli la ngapi au alichangia kitu gani!? Wapumbavu wanazidi kuongezeka aisee.Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Kuna vyama kubao vya upinzani, mpaka unakitaja Chadema ni wazi kuwa unakikubali na kinakupa hofu.Subiri matusi toka kwa kenge wa chadema
Chini ya Rais Samia hakuna sekta iliyodorola,Kila sehemu ni mafanikio na vichekoKwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.