Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?

Kaka paskali ,
Kila mmoja humu ndani anajua uwezo wako na u nguli wako katika tasnia ya habari,
Hongera Sana

Narudi kwenye kumpongeza Dr.Tulia umeandika mengi na Kuna wengi wetu hatukua tunayajua yaan mm binafsi ume add knowledge kuhusu historia ya Dr.Tulia,

Kuhusu makala yako imenifikilisha kidogo kuhusu aina ya wawakilishi wetu Bungeni swali je tuchague watu walio pata first class na wabobevu NDIO watuwakilishe Ili kujikwamua hapa tulipo?

Pia huwezi msifia sana Kwa kuweza kwake ku settle iyo hoja ya Mbunge anae sema bwawa lipo Liwale? Ukiwa na uelewa kidogo tu wa kijamii mtu yeyote anaweza kulijib😊

Wasalaam
 
Hivi catchment area y Rufiji inatokaje Liwale na kuwa significant wakato maji mengi ya mto Rufiji inatoka katika mito ya Ruaha na Kilombero? Na catchment area ya Ruaha inaanzia as far as upande wa kaskazini mwa mlima Rungwe, Mitelemko ya Mbarali na Makete, Iringa, Mtera hadi milima ya Udzungwa.
 
Seriously Dr. Tulia Mimi binafsi naona ni speaker Bora kwanza anaongoza Bunge Kwa kutulia na umakini mkubwa Mbeya sisi tumepata Mbunge

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hata na mimi naunga mkono, nimekuwa nikisikiliza kwa makini majibu yake, kwa kweli huwa yametulia.

Way to go Dr. Tulia, hongera sana.
 
wapo nchi hii kwa unavyoona?
Paskal hebu musome huyu bwana
"Without the study of sociology, the training and knowledge of the candidates aspiring to hold high posts in the administrative set-up of their country will be incomplete and imperfect." (Puja Mondal)
 
Aliyehoji na kuzua mjadala huo ni mbunge wa simanjiro Ole Sendeka .

Tulia alijazia nyama tu wacheni kumpasifa asizokuwa nazo huyo Tulia.
 
Bila kubebwa na Jiwe Tulia tusingemjua kabisa.

Sasa hayo masifa wanayo mptwisha naona kama maigizo
 
Pascal yani maigizo ya bwawa lipo Liwale mara Rufiji na Morogoro ndio yamukukosha sana kuhusu Spika?
Bunge lake halina mvuto, Bunge halina meno wala halina msaada kwa Wananchi.
 
Aliyehoji na kuzua mjadala huo ni mbunge wa simanjiro Ole Sendeka .

Tulia alijazia nyama tu wacheni kumpasifa asizokuwa nazo huyo Tulia.
Dr Tulia kiukweli yupo vizuri upstairs ila tu kutokana na mifumo ilivyo sometimes ni lazima aonyeshe ukada !!
 
Mzee Mayalla unajaribu kusukuma gari huku ukiwa ndani yake....

Wewe ulishakiri kuwa Ccm ndio dola yenyewe, hivyo endeleeni kuishi kwa fadhila na huruma zake maana ndio maisha mliyochagua.
 
Pascal, brilliance hapo iko wapi? Mtoto wa darasa la Saba au sekondari aliyefundishwa vema regional geography mbona atajibu tu vizuri?
Hapo excellence ya Sheria Iko wapi? Watu ilipotumika Sheria?

Bado una fight for uteuzi. Kazana more and more
Hata mimi nimemsoma mleta mada lakini sijaona chochote kilichomfanya amsifie hivyo. Bila shaka mleta mada anafukuzia teuzi.
 
H
Hebu tueleze jinsi alivyowagusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…