Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gentleman,Una maana uweke vizuizi visivyojulikana Ili ufanyiwe shambulizi kuwa prove wame-noa?
Kama ndivyo polisi walinda benki kumbe wangejificha wavunge kufa hakuna mlinzi?

Shambulio la Lissu ile dola moja kwa moja,Mbowe ana uwezo gani kuwaondoa askari waliokuwa na wanalinda makazi ya viongozi na kwenda kuharibu ushahidi uliorekodiwa na camera za usalama? Hizi hoja nyingine uwe unajiuliza mwenyewe maswali ya Msingi. Na ni Mbowe aliyezuia uchunguzi wa tukio hili ambalo.limeitia doa serikali? Shambulio la Lissu ilikuwa amri ya Magufuli na mtekelezaji akiwa Makonda kusimamia show yote.Jiwe angemtaka TAL Ili ammalize angemkaribisha juice tu kunako magogo wala asingetumia mfumo wa Vita 😂😂😂
Hii ni kule kule isikoonjwa sumu
Bahi karibu na Kintinku ??!Wanasiasa na Maraisi karibia wote wanazivaa hizo vest ndani ya suti zao Mapolisi wanavaa Walinzi wa Garda Group4 nk. Wanavaa.
Tundu Lissu angeweza kuivaa hiyo kevlar ndani ya Suti kificho lakini Lissu ni muwazi
Anaivaa juu ya shati.
Kawadanganye huko Bahi hapa ni JF
Wewe unayemtuhumu jiwe una ushahidi gani?Ungeleta ushahidi usiokuwa na shaka ingependeza zaidi ndugu mjumbe kutokea chama chakavu!
Wewe unayemtuhumu jiwe una ushahidi gani?
Kwa taarifa yako, mimi nilikuwa chadema wa kindakindaki, kwa hiyo nakijua chama vizuri sana.
hatari, sijui kwa nini wanahenyeka na lissu mmoja! Ni aibu makundi makubwa mawili kutokwa jasho kwa ajili ya mtu mmoja tu, wanakereka sana. Mkiambiwa lissu ni shupavu na shujaa ndio hivyo. Anastahili kupewa tuzo ya ushujaa kama ipo popote dunianiIla CCM na wafuasi wa mwamba mnavyokereka na Lissu, mkipata nafasi mtamwacha salama huyu ndugu kirahisi kweli?
Shambulio la Lissu ile dola moja kwa moja,Mbowe ana uwezo gani kuwaondoa askari waliokuwa na wanalinda makazi ya viongozi na kwenda kuharibu ushahidi uliorekodiwa na camera za usalama? Hizi hoja nyingine uwe unajiuliza mwenyewe maswali ya Msingi. Na ni Mbowe aliyezuia uchunguzi wa tukio hili ambalo.limeitia doa serikali? Shambulio la Lissu ilikuwa amri ya Magufuli na mtekelezaji akiwa Makonda kusimamia show yote.
hatari, sijui kwa nini wanahenyeka na lissu mmoja! Ni aibu makundi makubwa mawili kutokwa jasho kwa ajili ya mtu mmoja tu, wanakereka sana. Mkiambiwa lissu ni shupavu na shujaa ndio hivyo. Anastahili kupewa tuzo ya ushujaa kama ipo popote duniani
Ale kwake, na avae bullet proof mwili mzima, alale uvunguni sawa tu.
Alikuja kukuomba umpikie huko kwako?anavaa bullet proof kama wanamgambo wa janjawid dah,
kweli anawajibikia usalama wake.
lakini masuala ya kudoea kula chakula kwa watu kila siku ni tabia mbaya,
si ule nyumbani kwako na mke wako?🐒
aliomba poketi money kwa wadau wakamchangia,Alikuja kukuomba umpikie huko kwako?

No hajakwepa!,aliyekwepa ni aliyealikwa ama akaenda halafu hakula,ama hakwenda ili kukwepa sumu。Lakini hapo TL hakualikwa hivyo hajakwepa!。😂
Kakwepa pilau ya Christmas Kwa chairman
Amefanya chuki kama aliyekuwa ametombewa mkewe na lissu.
Kama hajakuomba wewe uache umbea hawo waliochangia hakuna aliyelalamika. Huko ccm nyote mnamchukia kisa ameomba kutaka kuwa mwenyekiti. Leo ndio mnakuwa wema kwa chadema wakati siku zote nikuitukana. Huwo ndio uchawi mlionao na unafiki. Mtafiti uchwara.aliomba poketi money kwa wadau wakamchangia,
so,
aende kula kwa mama nitilie huko, sio kudowea kwa watu kila siku na hachangii chochote![]()