Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Wanaotumia defender ni ccm.

 
Zitto ni Kijana mzalendo na hazina ya nchi yetu. Anafaa kuungwA mkono kwa nguvu zote
 
Anae mtafuta zitto akamuulize Mudhiri Mudhihiri aliepata kuwa mbunge wa mchinga., amesalimu amri now kaamua kuwa mtu wa swala tano.
 
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaaa....... ihiiiiiiiii(kwa sauti ya kiskuma)
 
ACT WAZALENDO TAWI LA CCM NAO WANATESWA KWEL""" Goes Around Comes Around""""
 



Wewe ndio mvuta bangi mkubwa, kwa nini usijadili mada? hukumu ipi unaotarajia JMP apewe wakati mnasaidiwa na polisi pamoja na tume ya ccm. hivi una akili wewe?
 
Wapinzani wanapuuzwa kwa kufuatwa na defender nne zimejaa maaskari.

Mwafaaa anatia aibu duniani
 
Meda=Mada
 
Yaani Zito bado anasumbua watu, huyu jamaa kakimbia, maana ameshidwa kulipa mpuga aliokopa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aibu! Ameon bora asepe safi sana JPM uzi ndio huo huo kaza kabisa asichomoke ntu. Pesa za dili kwishney.
 
Wanaotangaza matokeo ya kura ni watu gani km si wakurugenzi ambao wanacheck maslahi ya CCM?
 
Duh
 
Ujui maandiko we we kaa kimya
 
Aliwahi kuwachimba biti CDM akisema "chacha died,I won't...atakayenigusa, kwao hata panya hawatabaki"
 
Uwezo wako ni mdogo sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…