Mkuu, wanaongeza mataqo... sasa kwa hapo bora ubaki tu unafanana na toothpickSubir kidogo..
Jamani hivi sisi wanaume wembamba wanaweza kutuongezea ongezea nyama walau tuwe na misuli au ni kwa wanawake tu...π³π³π³?
Naona ya taanza kukosa soko,wadangaji wataanza kushusha bei.Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) ambao utahusisha kupunguza mafuta na kurekebisha sehemu ya mwili mfano kupunguza au kuongeza ukubwa wa matiti na makalio, kupunguza tumbo au nyama kwenye mikono na sehemu nyingine za mwili.
Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo utaanza kufanyika kuanzia October 27,2023 na utafanywa na Wataalamu wa MNH-Mloganzila kwa kushirikiana na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa kupunguza uzito na Upasuaji Rekebishi kutoka India, Dkt. Mohit Bhandari pamoja na MedINCREDI.
βUpasuaji huu utafanyika kwa bei nafuu sana ukilinganisha na endapo Mtu angeenda kutafuta huduma hizi nje ya Nchi, hivyo tumeamua kuwasogezea Wananchi huduma hizi na kuwapunguzia usumbufu wa kusafiri nje ya Nchi kutafuta huduma hiziβ
Nitafute hela tu, uzee mwisho Chalinze.
Duhπ€Taarifa mpya iliyotolewa leo na Hospitali ya Muhimbili ( Mlonganzila ) , inaeleza kwamba Hospitali hiyo itaanza kufanya upasuaji ili kurekebisha Makalio na Matiti .
Naam !Hatua kubwa sana hii, bila shaka wateja watakuwa wengi na hatimaye Hospital kujipatia mapato makubwa
Hatari sana.
Ngoja nitafute pesa
Waanze kuotesha na vipara nyweleTaarifa mpya iliyotolewa leo na Hospitali ya Muhimbili ( Mlonganzila ) , inaeleza kwamba Hospitali hiyo itaanza kufanya upasuaji ili kurekebisha Makalio na Matiti .
View attachment 2777955
Hii Hospitali recently imekuwa ikitrend kwa taarifa hovyo hovyo tuSasa Hospital ya Mloganzila kuanza kutoa Huduma ya kuongeza Shepu na Matiti kwa wenye Uhitaji
Source Ayo tv
Sasa unaweza kutengeneza " Kalio la Mloganzila" au " Titi la Mloganzila"
Tanzania bhana!
Mlale Unono huku mkiwaombea Wana wa Israel na Palestine [emoji3][emoji3]