Hospitali ya Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha 'shape' ya mwili
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) ambao utahusisha kupunguza mafuta na kurekebisha sehemu ya mwili mfano kupunguza au kuongeza ukubwa wa matiti na makalio, kupunguza tumbo au nyama kwenye mikono na sehemu nyingine za mwili.

Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo utaanza kufanyika kuanzia October 27,2023 na utafanywa na Wataalamu wa MNH-Mloganzila kwa kushirikiana na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa kupunguza uzito na Upasuaji Rekebishi kutoka India, Dkt. Mohit Bhandari pamoja na MedINCREDI.

“Upasuaji huu utafanyika kwa bei nafuu sana ukilinganisha na endapo Mtu angeenda kutafuta huduma hizi nje ya Nchi, hivyo tumeamua kuwasogezea Wananchi huduma hizi na kuwapunguzia usumbufu wa kusafiri nje ya Nchi kutafuta huduma hizi”
#MillardAyoUPDATES
FB_IMG_16969552780099140.jpg
 
Kabla ya kuanza kufanya hayo marekebisho kwa wateja wao, wanatakiwa pia kuwapa elimu ili kama kuna athari zozote zile zinazoweza kujitokeza, basi wachukue tahadhari.
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) ambao utahusisha kupunguza mafuta na kurekebisha sehemu ya mwili mfano kupunguza au kuongeza ukubwa wa matiti na makalio, kupunguza tumbo au nyama kwenye mikono na sehemu nyingine za mwili.

Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo utaanza kufanyika kuanzia October 27,2023 na utafanywa na Wataalamu wa MNH-Mloganzila kwa kushirikiana na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa kupunguza uzito na Upasuaji Rekebishi kutoka India, Dkt. Mohit Bhandari pamoja na MedINCREDI.

“Upasuaji huu utafanyika kwa bei nafuu sana ukilinganisha na endapo Mtu angeenda kutafuta huduma hizi nje ya Nchi, hivyo tumeamua kuwasogezea Wananchi huduma hizi na kuwapunguzia usumbufu wa kusafiri nje ya Nchi kutafuta huduma hizi”.

#MillardAyoUPDATES
 
Mi ninachotaka ni ujana tu, walete na kufanya shepu ya ujana, unakuwa na miaka sabini, themanini mpaka miaka mia moja lakini unaonekana ni kijana wa miaka ishirini. Vipi kuhusu shepu ya dushe hawajazungumzia kukuza kitu hiyo, si wamesema wata shape miili vile mtu anataka aonekane? Mi ni nataka nionekane kijana muda wote, na pia kuwa na ongezeko la ukubwa wa dushe
 
Mi ninachotaka ni ujana tu, walete na kufanya shepu ya ujana, unakuwa na miaka sabini, themanini mpaka miaka mia moja lakini unaonekana ni kijana wa miaka ishirini. Vipi kuhusu shepu ya dushe hawajazungumzia kukuza kitu hiyo, si wamesema wata shape miili vile mtu anataka aonekane? Mi ni nataka nionekane kijana muda wote, na pia kuwa na ongezeko la ukubwa wa dushe
Hapo kwenye dushe watakuwa wametusaidia vijana wa daslama
 
Swali: Je, Serikali imeridhia Kuruhusu kuanza kutoa Huduma kama hizi zinazoharibu Maadili ya Nchi na dini?

Aisee Kwa Sasa kuja kupata binti natural itakuwa ni Mtihani.
--
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) kuanzia tarehe 27.10.2023.

Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo utafanywa na wataalamu wa MNH-Mloganzila kwa kushirikiana na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa kupunguza uzito na Upasuaji Rekebishi kutoka India, Dkt. Mohit Bhandari.

c264ad0e-6a10-4a03-899c-8b72e97dae7a.jpeg


Dkt. Muhumba ameongeza kuwa huduma hizo za kupunguza uzito zinafanyika kwa kupunguza nafasi ya kuhifadhi chakula kwa kushona sehemu ya eneo la tumbo kitu kitakachosababisha mtu kutumia kiasi kidogo cha chakula hivyo kupunguza uzito.

Dkt. Muhumba amebainisha kuwa katika kutoa huduma hizo watatumia njia ya kisasa ambayo haitahusisha upasuaji ambapo watatumia kifaa maalumu kiitwacho endoskopia kuingia katika tumbo na kupunguza nafasi ya tumbo la chakula.

“Upasuaji huu utafanyika kwa bei nafuu sana ukilinganisha na endapo mtu angeenda kutafuta huduma hizi nje ya nchi, hivyo tumeamua kuwasogezea wananchi huduma hizi na kuwapunguzia usumbufu wa wananchi kusafiri nje ya nchi kutafuta huduma hizi”Amesema Dkt. Muhumba

Sambamba na huduma hizo Dkt. Muhumba ameongeza kuwa huduma rekebishi itahusisha kurekebisha kwa kupunguza mafuta na kurekebisha sehemu ya mwili mfano kupunguza au kuongeza ukubwa wa matiti, nyama kwenye mikono na sehemu nyingine mbalimbali za mwili.
Maadili gani ya nchi mabaya kuliko wizi na rushwa?

Unene uliopindukia ni ugonjwa ambayo unaambatana na magonjwa nyemelezi lukuki kiasi cha kumfanya mtu asiishi maisha bora, na gharama za matibabu kwake na nchi kwa ujumla, wachilia ukweli kuwa anakuwa hawezi kuzalisha au kufanya kazi kwa ufanisi na kuwa tegemezi kwa jamii.
Je nafuu ni ipi?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Wapuuzi walioamua kuchezea miili yao wenyewe wanakuhusu nini? As long as haina direct impact kwa wengine achana nao hao.
Wengine ni maumbile, unakuta mwanamke ana matiti makubwa sana, na hayamuathiri kimuonekano kama uzi unavyoeleza, bali ule uzito, husababisha matatizo ya kuumwa mgongo kadiri mhusika anavyozeeka. Hivyo upasuaji unasaidia.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom