Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu ya nn Na chama kisicho Na dola kwann kelele za mlango zikunyime usingizi.Yani kuna chama kila siku wao wanatamani iwe maandamano na mikutano ya hadhala tu! Maana jana Mbowe kaongea na waandishi wa habari, leo Lema anataka kuongea na waandishi ya kila mtu kule ni pres tu! Jamani.. Mmezidi kwakweli
Nawaza na kuwazua, ' Hivi ni kwann Mungu ameamua kuwatia upofu viongozi hawa na wasaidizi wao?'. Ninachojua ni kuwa MUNGU ni Upendo ila ana sifa za Haki na Hekima.
Kabendera alifatwa Na wasiojulikana sema siku zake za kuishi bado
Kabendera alifatwa Na wasiojulikana sema siku zake za kuishi bado
Hata nyerere alionya hatukusia.Pia hata ukiisoma Colonial education utakuta yapo makabila hakuyapa elimu alijua ni kupoteza resources ni hasara kuyaendeleza hayaelimiki sababu ni wazuri Kwa matumizi ya nguvu Na sio akili thus aliyatumia kulima Mashamba ya mkonge Na karafuu Na ukuli bandarini Fanya hata research utagundua ni kwann ni jamii zilezile penye kuhitaji kutumia reasoning wao wanatumia nguvu.
Zipo jamii ni wazuri Kwa matumizi ya nguvu Na sio akili. Tulichochanganya ni tingo kuwa dereva badala ya utingo
"I wish i could be Igp" nae angeugua tuI wish polisi wote waugue corona, shwain zao
Corona wamepewa hela za wazinzi Wa mwenge.KWA JIWE, CHADEMA ni hatari kuliko CORONA.
Mwaka 2015 walinunua magari 700 ya polisi kupambana na CHADEMA, ila CORONA haijanunuliwa hata dumu la sabuni
wanamsaka wa nini kwani alikimbia na vifaa vya kupambana na coronaAcha wamdake mbuyuyu mkubwa
Hivi kweli polisi hawana mambo mengine ya kufanya zaidi ya kudeal na chadema tu kila siku, inaboa kishenzi yaani"I wish i could be Igp" nae angeugua tu