Ujenzi wa ghorofa 40 hauwezi kukamilika kwa muda mfupi namna hiyo.Ulikaa pale mwaka Jana . Hotel imejengwa mwaka huu kama uyoga mkuu. Uliza uliowaacha pale wakusimulie
Lete Picture Acha Ma~Story Ya Town Ili Tuende Deep Tuje Na Kila Kitu Ulichouliza068 200 5128 Piga namba hii ulizia kama nimeota
Nakazia Aweke PictureHivi UVCCM mkoje ?unaweka namba yako hapa badala ya Picha unatafuta Mume...
Picha
Nimepitia comment #1-37. Nimebaki nashangaa tu.Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Ninavyojua Mimi jengo refu Tz Ni la TPA,Lina ghorofa 38.Hebu nitajie jengo lenye ghorofa 40 boss.Sema arusha ila Tanzania ghorofa 40 zipo nyingi kaka ama wasema tanzania ya makunduchi
Nanukuu mstari wa nne kwenye andiko lako "Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi". Sasa umejuajuaje kuwa hiyo ni Hotel ya nyota 5 ?Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Mwambie afute. Kuna siku mtajuta ya nilichowaambiaMods wafute huu uzi wa kijinga
ukubwa wa jengo na aina ya jengo.Nanukuu mstari wa nne kwenye andiko lako "Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi" Sasa umejuajuaje kuwa hiyo ni Hotel ya nyota 5 ?
Ninaomba mkurugenzi wa Meru akanushe taarifa hii kama Hakuna jengo la ghorofa 40 lililojengwa kwenye eneo analotawala Yeye?
π€π€π€Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?
Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?
Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.
Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.