Hotuba nyingi za viongozi wa Afrika kwenye mkutano wa UN zimejaa malalamiko

sio wote
 
Hivi wewe hujui kwamba wazungu ndio wezi wakubwa, hujui bara la Afrika wameiba mali nyingi sana ndio hayo maendeleo yao uyaonayo. Acha walalamike buana.
 
huyu wazungu hawawezi kumpenda, kumvumilia wala kumsikiliza, hata mkutano wa mwaka uliopita ambao ulikua mkutano wake wa kwanza aligonga vyuma haswa..

Huyu jamaa anagongelea misumari ya moto sana, na ndie pekee hana mchezo wala hatanii angependelea usawa kwenye majukwaa ya maamuzi tangu kupanga, kuamua na kutekeleza.
 
Ndo maana nimesema wazungu wanatoa ili kuchukua baraka zetu.
Mkono utoao ni sawa na bomba lililowazi limwagalo maji.

God bless the hand that give.
Ni heri kutoa kuliko kupokea.
 
Hivi wewe hujui kwamba wazungu ndio wezi wakubwa, hujui bara la Afrika wameiba mali nyingi sana ndio hayo maendeleo yao uyaonayo. Acha walalamike buana.
Walichoiba hata robo hakijafika ukilinganisha na mali chekwa tele zilipo.
Achaneni na propaganda za chuki za mapanafricanist
 
actually,
kwa tones za viongozi wengi wa Africa, hawako tena na interests za misaada ya ng'ambo wanahitaji tu usawa katika kupanga, kuamua na kutekeleza agenda za pamoja kwa maslahi ya wote.
kwani hawajui kuwa umoja wa mataifa unamilikiwa na nchi za Magharibu hasa Marekani? Kama wanaona umoja huu hauko sawa je, umoja wao wa AU unasemaje na kuamua nini? Kwanini kila nchi inakwenda kusema jambo lilelile kwa kulalamika na kutoa lawama? Hawatasilizwa kama hawataziweka sauti zao zote kwenye mdomo mmoja wa African Union useme na kuamua kama Bara.
 
Walichoiba hata robo hakijafika ukilinganisha na mali chekwa tele zilipo.
Achaneni na propaganda za chuki za mapanafricanist
Tuache kulinda mali iliyopotea bali iliyobakia. Kuna siku nilisema Afrika tuzifute kumbukumbu zote za biashara ya utumwa na ukoloni kwenye bara letu. Tuyabomoe majengo yote yanayotunza kumbukumbu hizi na kujenga shule, mahoteli, sehemu za starehe na vitu vingine vinavyofurahisha kwenye maeneo hayo. Kuendelea kutunza kumbukumbu za kijinga kwa vizazi vyetu ni kuviambukiza ujinga na unyonye wajukuu zetu.

Tuachane na walizoiba tuanze kulinda hizi zilizobakia. Wazungu bila kuiba mali zetu hawezi kuishi salama, watatupiga tena.
 
Unapoteza muda wako kabisa kusikiliza haya matahira na mazezeta ?
 
sawa ngoja tujaribu ndio mwanzo. Nadhani nawe unakiri kila kiongozi wa Africa analalamika, huo ni mwanzo wa kua na Sauti moja yanye nguvu kama waafrica wote wanalalamikia kitu icho icho na huo ni mkakati pia.

wakati muafaka hawataenda wote ataenda moja tu kuwakilisha sauti ya Africa nzima.
 
Shida yao itakuwa ni nani atalifunga paka kengele? Kuna watu walijaribu kukaribia kulifunga paka kengele lakini walikiona cha moto; akina Nkrumah, Gadafi na wengine lukuki.
 
Umenena maana hayana msaada wowote wenzetu wa Asia sidhani Kama Wana matakataka ya hayo thus Wana maendeleo wao walishavuta hizo kumbukumbu za kipumbavu
 
Rais wa nchi kufunga safari toka Africa hadi US ili kuhutubia nusu saa ni matumizi mabaya ya muda na fedha ndo maana viongozi wanaojielewa huwa hawaendi wanatuma wawakilishi tu, unaenda when it's really necessarily.
 
Umenena maana hayana msaada wowote wenzetu wa Asia sidhani Kama Wana matakataka ya hayo thus Wana maendeleo wao walishavuta hizo kumbukumbu za kipumbavu
Tunahifadhi ujinga kuja kuwaonyeaha Wazungu namna walivyotutweza inatusaidia nini? Waafrika ni wajinga kupindikia. Tunazalisha kikazi dhaifu sana. Hii ni sawa na baba kutunza picha za mkasa wa kulawitiwa na rafiki zake ili aje awaonyeshe watoto na wajukuu zake.
 
Rais wa nchi kufunga safari toka Africa hadi US ili kuhutubia nusu saa ni matumizi mabaya ya muda na fedha ndo maana viongozi wanaojielewa huwa hawaendi wanatuma wawakilishi tu, unaenda when it's really necessarily.
90% ya viongozi wetu wameenda kule kama sehemu ya ukwapuaji, spending na kufanya shopping. Na wengine ni njia rahisi ya kwenda kufungua account kwenye mabenki ya Marekani na Ulaya kuficha pesa zetu.
 
Una hoja nzuri sana mkuu, ukweli ni kuwa hili bara linapuuzwa sana kwenye kila kitu, limegeuzwa eneo la majaribio ya chanjo na kuvunia rasilimali tu tena kwa bei sawa na bure.
 
Kweli mkuu tatzo viongoz wetu wengi hawawezi kujitoa sadaka.
 
Anazo facts, unadhani mfumo wa demokrasia umeisaidia Africa?
 
Kwakweli hili jambo la kung'ang'ania kupima viwanja kwa ajili ya makazi tu ni miongoni mwa jambo linalonisikitisha sana. Kunasehemu nilinunua ekari kumi miaka Saba iliyopita na ilikuwa nje mji kabisa na hata Sasa ndio mji unasogea na bado hakujakuwa na watu wengi kivile. Cha kunishangaza wamekuja watu wa ardhi kwa ajili ya kurasimisha ardhi kwa wananchi ila wanachonikomalia ni kwamba hapo nilipo hawawezi kunipimia ardhi yote kama eneo la ufugali Wala kilimo na wanadai ni lazima nipime viwanja coz Hilo eneo sio rasmi kwa kilimo Wala ufugali Bali ni eneo la makazi. Kwakweli sijawaelewa naendelea kufuatilia kuujua ukweli na kiukweli wananishangaza sana.
 
90% ya viongozi wetu wameenda kule kama sehemu ya ukwapuaji, spending na kufanya shopping. Na wengine ni njia rahisi ya kwenda kufungua account kwenye mabenki ya Marekani na Ulaya kuficha pesa zetu.

Exactly. Kwenda hii mikutano uchwara ni vacation tu haina tija yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…