Nchi yenye watu weusi wengi duniani ni Brazil. Nchi yenye watu weupe wengi duniani ni Russia.
Moldova, a european country has the per capita GDP of 1800$, Botswana an African country has per capita GDP of 5500$.
Need I say more?
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence
And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year."
kama hakuna tofauti ya intelligence kwanini hatupo accountable je hivo si ndo viashiria vya udhaifu wa ubongo wetu? tena botha angeijua tanzani angerekebisha planning span ya mweusi kama watu wana enjoy wali wa siku moja af wanachagua mbunge bom anawatesa kwa miaka mitano huoni botha yoko sahihi?kwanza to start with, hakuwahi kusema hivo, hii ni hoax. na kama hakusema hivo, despite his strong racist feelings, ni sababu hakuna ukweli wowote. tofauti ya maendeleo kati ya nchi za kiafrica na nchi za kizungu au za asia (sisemi waafrika na wazungu au watu wa asia) ni namna serkali na vikundi vingine vyenye maamuzi (decision making actors) wana apply theories to practice, namna wanaunda policies na namna wanamiliki ressources.
Huku afrika serkali zinakosa accountability na raia hawapewi nafasi ya kuwaomba wahusika wawajibike au wajiuzulu. maybe sababu tunaogopa, maybe sababu hatujali, kila mtu ajiulize.
Ila hakuna kabisa tofauti ya akili iliyo kua based on the color of the skin. that is what THEY want you to believe ili uendelee kuogopa, uendelee kutojali.
and my friend the evidence that you have brain is only when you use it.every where in the world, people have the same brain.........but the different is how to use it......
Ni hivi juzi umenikandia sana kuwa mimi sifai kuwa mbunge na ukajaribu kutoa sababu zako,ambayo kimsingi ni haki yako, kinacho nishangaza leo kwa nini hutaki kuwa mkweli na muwazi kwani HOJA YA KABURU BOTHA NIMEANZISHA MIMI KATIKA KONGAMANO LA MWL NYERERE PALE RUCO IRINGA MJINI,NILICHANGIA NA KUTOA MTAZAMO HUO,NA KWENYE blog yangu utaykuta hayo maneno ambayo umecopy kweny blog yangu. kwa nini unataka kuonyesha kuwa ulikuwa na mtazamo huo wakati umecopy naku paste toka kwangu, kama wewe ni mwungwana kwa nini usiseme mtazamo huu alianza nao Msigwa, nina wasiwasi na uamnifu wako?kwani hata katika hotuba ya botha maneno hayakupangiliwa hivyo, mimi nilichagua sehemu tofauti........
kama unabisha nina video ya mchango wangu huo ,najua hata blog yangu unaijua. waombe radhi wanajamii kwa udanganyifu huu.
Nashukuru kwa maoni yako,ambayo nayapokea kwa mikono miwili, asante sana kukosoa na kukosalewa ni sehemu ya maisha ya mtu mstarabu INGAWA SIJUI NI WAPI NIMEONYESHA JAZBA,
HOJA YANGU HUJAIJIBU. KUHUSU MTAZAMO HUO WA BOTHA,KWAMBA HUKUANZA NAO WEWE HILO TU!
SIONI SABABU YA KUINGIZA SWALA LA DR SLAA HAPA, NONA UNAKWEPA HOJA YANGU KWA MIFANO AMBAYO HAIHUSIANI
kama wewe ni mkweli kubali tu kuwa huo sio mtazamo uluokuwa nao, na kama ulukuwa nao ulichelewa kuutoa, nadhani umenielewa brother
NI kweli aliwahi ksema hivyo, kuna audio, texts na videos zinazomuonesha akisema hivyo, jaribu ku-youtube unaweza kuzupata. Na alisema hivyo akiwa na evidence za kutosha, he was not making things up. Pamoja na kuwa alikuwa mbaguzi wa rangi, Botha was smart man, na aliyosema yanajionesha sasa huko Afrika Kusini. Alisema the end of the beggining, and that was it, angalia Afrika Kusini leo..........I agree with you kuwa hakuna tofauti ya akili based of colour of human skin, but there are certain characters which can be seen more in certain skin colours, in in areas where certain skin colours reside. Can you tell why we have more blacks with polygamous tendencies than in other races, what we have more poor blacks than there are in other races, why we have more violence in blacks than in other races, why we have less accountability in blacks than in other races???? ukijiuliza maswali haya unaweza kupataka majibu kwa kumsikiliza Botha. I took what Botha said as a challenge, not an insult. we always prove him right.
Mkuu wangu nakushukuru sana ktk hili na hakika binadamu huyafanya mabo kutokana na kile anachoamini..Tropical huko nyuma kaandika vizuri sana ya kwamba Haya yote yanayotokea Afrika yalipangwa na yametokana toka siku tulotawaliwa..Mbunge Msigwa, awali nikupe pole sana kwa yaliyokupata.
Kwanza hapa JF ni kisima cha busara, na mtu ukiropoka ovyo utakuja kushtuka kwa nini hukutuliza kichwa na kujipanga vizuri namna ya kujibu maana humjua anayeandika habari na upeo wake ulivyo na yupo katika mood gani.
Wewe kama mbunge awali punguza jazba, kisha jifunze kutokana na yaongelewayo yana manufaa sana kwako. Usipokuwa tayari kukosolewa na ukajiona kama unajua zaidi ya wanaochangia mawazo hapa kuna siku utakuja tambua kasoro wakati maji yamemwagika. Nawe kama mchungaji wajua fika Bwana alivyosema "ukipigwa kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto," kwa tafsiri nyepesi unatakiwa kuwa mvumilivu. Usipokuwa tayari kukosolewa ni kasoro katika uongozi bora na katika hilo unatakiwa kufanya tafakari ya kutosha. Ninyi ndio tunawategemea kushika nchi baadaye na sasa mnahitaji kuwa na saburi, hekima na busara yenye kujaa saburi na uangalifu wa hali yajuu. Si kuropoka na kupandisha ghadhabu, haitasaidia, na siku hizi ni za digital ipo siku tutakuuliza usijeshangaa.
Kuna siku nilimrudi Dr. Slaa hapa jamii forums kuhusu alivyohamaki kumsimamisha kiongozi mmoja wa wilaya huko Nzega jukwaani bila kutumia vikao, kwanza alikuja juu, kisha akajirudi na leo mambo ni mfano kwani vikao ndivyo vinavyowajibika katika majukumu mazito. Msigwa, hapa ni darasa, na mtaka cha uvunguni sharti uiname, vinginevyo ngangari inawaangusha wengi.
Tatizo moja ambalo viongozi wa Chadema wanahitaji kusahihishwa ni jazba bila kupima athari zake, matokea yake wanaoumia ni wenyewe. Pima na kutafakari kwanza kabla ya kusema kitu, na kuona mbele athari zake, kama mfalme Suleman wa taifa la Israeli alivyosifika kwa busara na hekima katika utawala wake, ingawa alizaliwa kutoka mama tata ambaye alikuwa mke wa King David kwa hila ya Kumwua vitani Uria Mhiti ili aridhi mke. Laana aliyopata King David toka kwa Mungu ni kuhenyeshwa na kukimbia Ikulu kujificha kutokana na mtoto wa tumbo lake Abusalumu kutaka kumwua babake, hadi Mungu alipomwokoa kwa Abusalumu nywele zake ndefu kunasa kwenye matawi ya miti na hivyo wafuasi wa King David kumwua kirahisi. Mambo haya yana historia ndefu, heheheeh. Tuendelee kujadili.
Nimependa comment yako, ingawa lengo langu ilikuwa ni juu ya mambo ya kisiasa ukiamua kufanya jino kwa jino madhara yake makubwa. Na kama kiongozi kuna mambo ya muhimu kuwa mvumilivu na msikivu, kwani ukishakuwa juu ya watu kila mmoja anakutupia jicho lenye mtazamo tofauti. Kutuliza akili na mood ni zana muhimu za kuweka mambo yatulie isawa, vinginevyo ni kuongeza mafuta kwenye utambi unaowaka moto.Mkuu wangu nakushukuru sana ktk hili na hakika binadamu huyafanya mabo kutokana na kile anachoamini..Tropical huko nyuma kaandika vizuri sana ya kwamba Haya yote yanayotokea Afrika yalipangwa na yametokana toka siku tulotawaliwa..
Dhumuni langu haswa ni elimu yetu sisi waafrika ktk kuelewa na kutafsiri vitu kwa sababu maendeleo ya mwanandamu hutokana na mahitaji yake, na elimu ya kutambua na kutafisri mahitaji ndio hupatia ufumbuzi wake lakini tofauti na wenzetu sisi tumekuwa tukinukuu majawabu kutoka kwa Wazungu. hapa mnabishana kuhusiana na Botha ambaye ndiye alosema na yakachapishwa ktk magazeti na tovitu kibao.. Kati yenu nyote mme copy na ku paste lakini umekuwa Ubishi..Kwa hiyo, sisi hatuwezi kutunga vitu vyetu isipokuwa kunukuu wayasemayo wazungu na kutafisri kama wanavyotaka sisi tuelewe.
Pili, kuna sehemu umemwambia mchungaji kuhusiana na kwamba "Ukipigwa kofi la shavu la kulia mgeuzie na la kushoto" ukaipa tafsiri ambayo umefundishwa na mzungu badala ya kufanya tafiti nini haswa Yesu alikuwa na maana ktk tukio hilo. Na wachungaji wetu wote wanaamini hivyo ya kwamba ukipigwa kofi la kulia basi mgeuzie na shavu la kushoto.. Na wanatufundisha sisi sote tuamini hivyo kwa sababu IMEANDIKWA!..
lakini sidhani kama Yesu alikuwa na maana hiyo wala haina mantiki mtu kupigwa kofi la shavu la kulia ukamgeuzia na la Kushoto ili kuonyesha Uvumilivu.
Bali ujumbe alotaka kuutoa kulingana na hadithi yenyewe ni kwamba usipende kushindana ktk violence! ukipigwa na mtu usipende kushindana kurudishiana makofi, na hakika ukifanya dharau kwa kugeuza kichwa shavu la kushoto hataweza kukupiga kofi la pili.. Hii ni hulka ya kimaumbile ya binadamu na viumbe vyake - Usipopenda ushindani patakuwa hakuna ushindani!
Lakini maadam tumefundishwa kuamini kwamba uvumilivu ndio unatakiwa, na hawa wazungu walitupiga makofi na makofi kwa imani ya kwamba tunachotakiwa ni uvumilivu hali wao wenyewe hawakuwa na uvumilivu huo ndio maana Afrika bado tunatawaliwa kiwamazo. Na kila siku tunapigwa makofi na kuvulimia kwa sababu za kiimani kuwa mzungu anazo haki zote za kutupiga makofi...Tunachotakiwa kufanya ni kuvumilia!