Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Yaani baada ya kutaja maneno "Tanganyika na sasa Tanzania Bara" hotuba nzima imegeuka na kuanza kuzungumzia masuala jumuishi ya JMT!
Nadhani uongozi wa juu haujielewi au pengine mifumo nayo imekosa uelewa!
Hivi kweli unasherehekea miaka 60 ya uhuru wa kitu ambacho hakipo!
Watanganyika ni watu wa ajabu sana! Hawapendi kuitwa Watanganyika! Hawajui wanavonufaika na muungano zaidi ya kuitwa Watanzania!
Hawataki hata kujifunza na kuwaelewa wenzao wa Zanzibar waliopambana kuwa huru licha ya kukaliwa kimabavu na
#Miaka 60Uhuru_Bila_Tanganyika
Nadhani uongozi wa juu haujielewi au pengine mifumo nayo imekosa uelewa!
Hivi kweli unasherehekea miaka 60 ya uhuru wa kitu ambacho hakipo!
Watanganyika ni watu wa ajabu sana! Hawapendi kuitwa Watanganyika! Hawajui wanavonufaika na muungano zaidi ya kuitwa Watanzania!
Hawataki hata kujifunza na kuwaelewa wenzao wa Zanzibar waliopambana kuwa huru licha ya kukaliwa kimabavu na
#Miaka 60Uhuru_Bila_Tanganyika