Ila watu mna hasira na mama khaa! Nahisi sasa hata akifanya jema lolote halitaonekana kabisa.Lakini kama ni kweli kuna watu wanampotosha mama,basi hao si watu wema kabisa yaaniNimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.
Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais...
Labda tatizo ulishaandika hotuba yako kichwaniNimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.
Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais...
Uzamili au uzamivu? Ikulu mle zimejaa PhD za kutosha kabisa.Usishangae kuambiwa huyo mtu ana shahada ya uzamili katika sayansi ya siasa.
Lakini mara 100 huyu kuliko JiweNadhani hiyo heshima hana
Na ukiamua kubisha na ukasema anayo basi nikuhakikishie anaivunja mwenyewe
Kwa chief Hangaya, intellectually ni sifuri yaani zero (0) hajui kujenga hoja wala reasoning capacity hana. Majizi yamemsoma sasa yanatembelea uchochoro huo
Tanzania tuna muangalizi wa ikulu hatuna Rais wa kuongeza gurudumu ukiamua kubisha fresh mi nimaoni yangu
Haikuwa "live". Imekatwa mara 4.Nimeangalia kwa makini sana utv naamini hotuba haikua live na imeeditiwa maana kuna mikato ya ghafla na mikao totauti.
Jiwe alikuwa muongo sana.Hivi aliyekuwa anaandaa hotuba za Dkt Magufuli ni nani? Au matakwa ya Mama?
History ya Tanganyika toka ipate uhuru, na CCM wakaifanya Tanganyika koloni lao, kwa kuupokonya uhuru na kuwafanya watanganyika watu wasio huru kwenye Taifa lao!Nimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.
Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais...
Yaani ni sawa na kusema Yesu Kristo alikuwa Muongo yaani wewe unayesema hivyo ndiye unajilaani na hakuna mtanzania atakaye kuelewa juu ya hilo. Poleni sana mkae mkijua siku Mama akiondoka tutawashughulikia nyei wezi kwa kasi ya ajabu na hamtakaa kuamini kitakachowatokea. Sasa hivi tunawaangalia tu na kupata idadi yenu kamili na mnaturahisishia kazi.Jiwe alikuwa muongo sana.
Binafsi nimekusoma mkuuu ... salut .... umelenga mule muleNimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.
Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais.
Kwa kifupi Hotuba ya Rais uzungumzia "current issues vis a vis mambo ambayo ameyafanya tayari wakati wa utawala wake kulinganisha na watangulizi wake na nini anatarajia kufanya zaidi....na sio kuja kutueleza idadi za madaktari na shule tulizokuwa nazo wakati wa kupata uhuru kulinganisha na leo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna Mtu alitegemea la maana basi shida iko kwake.
Elimu yako ndogo sio raisi hata kuelewa maana halisi ya hotuba inayoakisi tulikotaka.Nimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.
Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais.
Kwa kifupi Hotuba ya Rais uzungumzia "current issues vis a vis mambo ambayo ameyafanya tayari wakati wa utawala wake kulinganisha na watangulizi wake na nini anatarajia kufanya zaidi....na sio kuja kutueleza idadi za madaktari na shule tulizokuwa nazo wakati wa kupata uhuru kulinganisha na leo.
Wewe ni kenge kama kenge wengine hunyui hata maana ya jubileee.Ukiona kiongozi anaongelea mambo yaliyopita ujuwe tu hakuna kitu, kiongozi anatakiwa aje na vision 10 years ncho iende wapi huko kujisifia tuna shule 1000 sujui Hosp 100 ni mambo hayana tija.
Huna tofauti na yule mnyama anaezaa na kula watotoHotuba mbovu saana,
Wamepigiga baada ya kuwnza kukosa nafasi nyeti walizokuwa wanapewa kama peremendeSukumagang mna nini lakini?!!
Sukuma gang ni wajinga mnooo9 disemba mlitaka msimuliwe nini?
Hali ya maisha yenu ni HOTUBA TOSHA.