Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Mimi nilipomaliza Taarifa ya habari Azam nikaelekea sinema zetu.
 
hahahahahaha Aisee inaudhi sana wadau sijui alituloga nani wadanganyika
Hotuba lainiiiiiii kama gunia la pamba, Kwa style Hii tutaendelea kuimba mziki wa mabeberu Kwa kuomba msaada tujenge matundu ya vyoo mpaka mwaka 20500 huko!
Mfumuko wa bei yeye analeta ishu za kupandikiza mimba mambo ya wakina Wema sepetu

USSR
 
Mimi ndio maana niko Smart Pub napombeka na kuangalia mechi ya Chelsea na Zenith
 
Dah!
Hii ya leo kiboko.
Mother katoa boko ya kufungia mwaka.
Ni hotuba ya ovyo ovyo mnoo.
Tukubari tu, hapa hakuna rais, kuna kikarogosi cha ajabu.
 
Mwalimu aliviita UTITIRI WA VYAMA , !!
 
Huyu mama kapoteza credibility mapema sana, yaani hata mwaka hajafikisha
 
Halafu karibu 90% ya hivyo vyama ni matawi ya CCM, vipo kushabikia CCM na kupewa ruzuku kisiri siri kutokea CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…