Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Rais anayeficha madhaifu yake kupitia jinsia. Hapo ndio bado kunanishangaza

Tatizo anakubali kupelekeshwa Na Tanganyika nchi isiyo yake. Avunjilie huu uvamizi uitwao muungano arudi zake Zanzibar, tujenge nchie yetu iliyorudishwa nyuma Na Tanganyika kwa miaka Mia tatu.
 
Tanzania tumepigwa kwakweli, kifo cha yule mpendwa wetu bado wanatukumbusha machungu tuendelee kulia. Ni bora wangekaa kimya tu wasiseme chochote yaani.
Mtoa hotuba mimi simjui kama naye ni mweupe kama hotuba ilivyo..naona tulikuwa tunakumbushwa historia ya uhuru..amefanya vyema tu
 
Wale wapemba aliwajaza ikulu incompetent as ....

USSR
Kweli anafanya yale yale ya Magufuli kujaza Warundi na wanywaranda Ikulu . ama kweli Samia na Magufuli ni kitu kimoja
 
Hao watoto wa class three primary wanasoma kwenye civic-moral

USSR
 
Alafu Kuna watu wanasema Polepole aache kumsema...

Mimi nitasimama na akina Bashiru na Mangula kwa sasa hatuna Rais
 
Umezoea hekaya na uongo wa mwendazake.. bora huyu anayeongea machache yule leo angesema sie ni dona kantri na reli&sgr tunajenga wenyewe.
Wabongo mnapenda sana sound na maneno mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…