choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Tumefundishwa historia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize Mbowe akufafanulie.Tueleweshane jamani.
Noma sana no way kaza tuuBinafsi niljua km itakuwa utopolo.. hana jipya kafanya maisha yamekuwa magumu magumu sana
Kaongea alivyovifanya magufuliTumefundishwa historia tu
Nipo hpa sitting room kwenye TV nasubiri ikifika saa 5 huenda Kuna hotuba nyingineDaah wabongo mnachosha!
Hotuba nzuri iliyounganisha awamu zote wenzetu bado hamkosi neno!
Hivi nini mnataka?
Wakati mwingine tunapokosa objectivity tutakuja kuwa watu waajabu sana huku duniani
Jihutubie mwenyewe pengine ndiyo utaridhikaNipo hpa sitting room kwenye TV nasubiri ikifika saa 5 huenda Kuna hotuba nyingine
Aliyemuandalia hii hotuba ni jipu.Nimejutia muda wangu bora ningeangalia sinema zetu
Wewe mfu wa chato utaelewaje hotuba ya Mama?Nilikuwa zangu kwenye mishe za maisha, nilipoona wito wa watu kutakiwa kumsikiliza nikaharakisha sana shughuli zangu ili niwahi nijue Jambo.
Nimesikiliza na nimeangalia Ila mbona sijaelewa? Hii ndio kuhutubia taifa? Mbona hotuba ipo shallow sana?
Au saa 4 Kuna nyingine tusubiri?
Hadi sasa najuta kupoteza muda wangu
Mimi sio raisi, bado nimekomaa hapa kwenye TV huenda saa 5 Kuna nyingine.Jihutubie mwenyewe pengine ndiyo utaridhika
Uislam unakusumbua.Ukatoliki Tu unakusumbua
Bora hata ile hotuba ya konde boy akiwa airportWewe mfu wa chato utaelewaje hotuba ya Mama?
Tafuta juice ya ndimu tu unywe! Mama Samia ndo Rais wako hadi 2030 hutaki rudi kwenu Burundi
Bora hata harmonize alitoa hotuba ya maana siku ile airportNawaona Sukuma gang mnajifariji [emoji23][emoji23]
Lazima mzidi kuwa vichaa Safari hii! Samia ndo Rais hadi 2030 dadeki
Kwani Uhuru wenu "machogo" wa Tanganyika unamhusu nini Hangaya, pambaneni na hali yenu, mlivo mazuzu mmekubali kuizika na nchi yenu, shenzy type mwacheni Hangaya akapake kucha hina😀😀😀Nilikuwa zangu kwenye mishe za maisha, nilipoona wito wa watu kutakiwa kumsikiliza nikaharakisha sana shughuli zangu ili niwahi nijue Jambo.
Nimesikiliza na nimeangalia Ila mbona sijaelewa? Hii ndio kuhutubia taifa? Mbona hotuba ipo shallow sana?
Au saa 4 Kuna nyingine tusubiri?
Hadi sasa najuta kupoteza muda wangu
[emoji28]Bora hata harmonize alitoa hotuba ya maana siku ile airport
Aliyeisoma jeeAliyemuandalia hii hotuba ni jipu.