Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Hapana..kulikuwa kuna jambo nyeti na unusual RAIS alitaka kuhuhudia taifa, pengine alikuwa too emotional, sasa kuna watu wa karibu sana nae watakuwa walinusa hilo
Leo yenyewe si umesikia mgeni rasmi ni Kenyata?
 
Hakuna haja ya kuongelea mambo hayo ambyo serikali yake ya hawamu ya 6 haijayafanya,labda ambacho angekiongea kuhusiana na hayo mambo ni jinsi gani serikali yake itapambana na ufisadi ili Mambo kama escrow, Richmond nk yasijitokezee lakn pia ile comparison ya maendeleo toka 1961 hadi 2020 alokua anaifanya n k2 ambacho kiongozi yeyote dunian anafanya ili kuweka taswira ya uwajibikaji wa serikali yake na kuonesha kua hata yeye kachangia ktk maendeleo hayo,,lakn alisahau kutuambia hayo mafanikio anayosema je yanakidhi ongezeko kubwa la watu ndani ya nchi.
 
Sasa ukoloni mpya umeanza chini ya Kagame, Museveni na Uhuru Kenyata, hao ndiyo waliotukalia kututawala kwa sasa.
 
Hakuna haja ya kuongelea mambo hayo ambyo serikali yake ya hawamu ya 6 haijayafanya,labda ambacho angekiongea kuhusiana na hayo mambo ni jinsi gani serikali yake itapambana na ufisadi ili Mambo kama escrow, Richmond nk yasijitokezee lakn pia ile comparison ya maendeleo toka 1961 hadi 2020 alokua anaifanya n k2 ambacho kiongozi yeyote dunian anafanya ili kuweka taswira ya uwajibikaji wa serikali yake na kuonesha kua hata yeye kachangia ktk maendeleo hayo,,lakn alisahau kutuambia hayo mafanikio anayosema je yanakidhi ongezeko kubwa la watu ndani ya nchi.
Umeandika nini?
 
Kanda nyingine bado wako usingizini ana wao ndio wenye raha na mama wa kambo?
Watoa comments wengi kwenye huu uzi ni Kanda ya Ziwa na Kaskazini. Wote Wana maumivu na Mama
 
Kabisa mkuu, maana haikuwa hotuba bali historia fupi ya nchi hii toka tulipopata uhuru.
ukoloni mpya umeanza chini ya Kagame, Museveni na Uhuru Kenyata, hao ndiyo waliotukalia kututawala kwa sasa.
 
Mkuu ni ngumu mtu kutoka katika mfumo ulio oza kusema mfumo huo maana ni zao la mfumo huo hivyo Samia hawezi fanya lolote kuhusu ufisadi wa CCM wakati na yeye ni CCM
 
Kama nimuelewa unatofautisha vipi serikali ya Ccm ya mwaka 1961 na 2005?
Ndo maana nmekuambia una mawazo finyu kama huwezi tofautisha serikali ya ccm 1961 na 2005 dunia inaweza ikakushangaa,,halafu n vema ukaongea mambo ambayo n currently tupo 2021 kwa sasa ko ukihitaji tujadili Yale ya 1961 na 2021
 
Kabisa mkuu, maana haikuwa hotuba bali historia fupi ya nchi hii toka tulipopata uhuru.
Hangaya ni kanjanja tu kama Mwendazake,ina maana hamfahamu Bibi Titi Mohamed? Hamfahamu Mama Maria Nyerere na wengineo?
 
🤣🤣🤣 ni muhimu ufahamu wapi ulipotoka Maana ukwendapo hupajui...... Kusema hi hotuba sio, nafikiri huko.ni kumvunjia heshima kiongozi wa nchi.
Yaani hatufahamu tulipotoka mpaka rais atusomee historia usiku? Kiongozi wa nchi aliye madarakani kwa wizi wa kura ana heshima gani?
 
Kwani bado mna rais wa hovyo?

Rais wenu wa hovyo si alifariki na mkashangilia sana na maisha ni mazuri sana?

Na bado nyumbu nyie
Meko alikuwa mshamba na mwenye mambo ya hovyo hovyo Tanzania haijawah pata,bora hata ujinga wake ulimwondoa.Very primitive,ndo maana hata MAMA anasema mambo mengine aliyokuwa anafanya ni non sense.MEKO alikuwa jizi
 
Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa leo tarehe 08 Desemba, 2021, Ikulu Jijini Dar es Salaam....
hao akina Sykes ndo wajomba zake na dully
 
Ndo maana nmekuambia una mawazo finyu kama huwezi tofautisha serikali ya ccm 1961 na 2005 dunia inaweza ikakushangaa,,halafu n vema ukaongea mambo ambayo n currently tupo 2021 kwa sasa ko ukihitaji tujadili Yale ya 1961 na 2021
🤐
 
Back
Top Bottom