Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Mwenye macho haambiwi tazama. Hapo hapo anataka mwaliko kwenda ''White House'' khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kule huwa hawaendi kwa kujipendekeza. Ooops my buddy told me zat ..... Ooops usiongee kijerumani chacha phew! Ukiwa wa tatu ni No ... .... Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee arudi nyumbani kutatua maswala ya Watanzania ambao wamegharamia utapanyaji wa kodi zao.

..ila hatuba yake sidhani kama kuna mtu ataikumbuka. Haikuwa na mvuto wowote ule.
 
Twamtakia kheri maana ndie pekee tuliye nae kwa kazi hii kwa wakati huu. Ajaye hatumtui, bora tuthamini tulicho nacho. Lakini tunataka Mbowe aachiliwe maana amesingiziwa.

Pia tunataka katiba mpya jana, itakayowajibusha raia wotekwa usawa, haki na uwajibikaji. Tunataka expanded democracy and respect for human rights. Nothing less nothing more! All the best mama.

Fanya kazi wewe ulipe kodi na utunze Familia.
 
VIDEO: Hotuba ya Rais Samia Suluhu Umoja wa Mataifa (UN)



Rais Samia: Tanzania itaendelea kuwa mwanachama kindakindaki wa Umoja wa Mataifa. Tuko tayari kushirikiana na wanaotaka kushirikiana nasi, tutendelea kuwa Tanzania iliyokuwa ikishirikiana na nchi zote

Rais Samia: Virusi vya Corona vinasamambaa na kubadilika kwa haraka kuliko uzalishaji wa chanjo ya COVID19. Tutawachanja 70% ya watu wetu kufikia katikati ya mwaka 2022. Tunaomba haki ya kuzalisha chanjo ipewe hata nchi zinazoendelea ili kuchochea uzalishaji wa chanjo kwa nchi hizo

Rais Samia: Serikali inajitahidi kufanya juhudi za kurudisha mazingira ya kibiashara yaliyoathiriwa na COVID19. Tunaendelea kuipa nafasi demokrasia na utawala wa sheria

Rais Samia: Nchi zinazoendelea ni lazima zisaidiwe katika kupambana na madhara ya COVID19. Tunashukuru mashirika ya kifedha ya kimataifa kwa kusaidia mataifa mengi yasianguke kiuchumi.

Rais Samia: Njia walizotoa WHO ni salama kwa kuzilinda nchi dhidi ya virusi vya Corona lakini kwa nchi kama Tanzania ambao wananchi ni wa uchumi tumbo 'Subsistence Economy' tulichukua hatua zenye ulazima. Hatua hizo ni pamoja na kujiunga na mpango wa COVAX, ili kuhakikisha tunapata chanjo

======


STATEMENT BY H. E. SAMIA SULUHU HASSAN,

PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO THE UNITED NATIONS AT THE GENERAL DEBATE OF THE SEVENTY SIXTH SESSION OF THE UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY, NEW YORK - 23RD SEPTEMBER 2021

Your Excellency Abdulla Shahid, President of the General Assembly;

Your Excellency António Gutteres, Secretary General of the United Nations;

Excellencies Heads of State and Government;

Distinguished Delegates,

Ladies and Gentlemen.

Let me commence by joining previous speakers in applauding you, Mr. President, for being elected to preside over the 76th Session of this august Assembly and for the exemplary manner in which you have been presiding over this Session. I also commend you for the ably manner in which you mastered to make possible for us to meet physically despite unprecedented circumstances brought by the COVID-19 pandemic.

The holding of a physical general debate this year albeit with some limitations, demonstrates again that humanity and multilateralism cannot and should not succumb to the virus. And thus where there is a will, there is always a way.

This spirit is what we need going forward. It is why I support and subscribe to the theme of this 76th session that call all of us

to “build resilience through hope to recover from COVID 19, rebuild sustainability, respond to the needs of the planet, respect the lives of people, and revitalize the United Nations”.

Mr. President,
As this is my maiden speech at the United Nations General Assembly, Allow me on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania, to thank all members of the United Nations for your condolence messages extended to our nation following the untimely passing of our late President, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, on 17 March, 2021. May his soul continue to rest in eternal peace.

We remain indebted to you for the thoughtful and comforting messages which helped us to prevail over that unprecedented test to our nationhood. It is in the same vein that I thank the outgoing President of the 75th Session for dedicating a slot on the 59th Plenary meeting of the General Assembly, on the 16th of April 2021 to pay tribute to our beloved late President Dr. Magufuli. Indeed this was a gesture of solidarity and brotherhood.

Mr. President,
It is not by sheer coincidence that I chose to attend the United Nations General Assembly as my first trip outside Africa, since I took the office. I did so, out of my deep sense of conviction and faith in multilateralism in solving multitude of challenges that our world face today.

I am here to assure you that under my stewardship Tanzania will remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism. We will keep our arms open to those who embrace us and engage with us. We will continue to be the Tanzania that you have known and relied on. A Tanzania that peacefully and respectfully co-existed and cooperated with all countries, big or small, mighty or weak,

rich, or poor, to make this world, our world, a better place for all of us.

Mr. President,
COVID-19 pandemic has reminded us how vulnerable we are as individual countries regardless of our size, wealth, or geography. As we meet here today, we have less than a decade ahead to meet our collective commitment to achieve the Sustainable Development Goals (SDGs). I note with great regret that according to the Sustainable Development Goals Report 2020, right now, the world is not on track to achieve the 2030 Agenda mainly due to the adverse impact of COVID-19.

The Report further shows that in some areas, this pandemic has even reversed the progress that was already achieved years

back. For instance, it is expected that around 71 million people who got out of extreme poverty will be pushed back into that situation because of this pandemic. What is depressing is the fact that these impacts are not felt evenly. We, in the developing world are the most affected. It is therefore imperative that concerted efforts are undertaken to address this devastating situation.

Mr. President,
Developing nations must be assisted in addressing socio-economic impact of the COVID-19. On this note, we are thankful to multilateral financial institutions like the International Monetary Fund (IMF) for their efforts in saving many economies from collapsing. These kinds of interventions

are important. We cannot afford to take refuge on the onset of COVID-19 as an excuse for not making sufficient progress on achieving the Sustainable Development Goals.

Mr. President,
Tanzania has not been spared by COVID-19. After the onset of the pandemic, we in Tanzania, and I believe in many other developing countries, were stuck in the twilight of protecting lives and protecting livelihoods. Measures advocated by the World Health Organization (WHO) were geared towards protecting lives. However, in an economy like Tanzania’s consisting of a big proportion of people living on subsistence economy, whom we need to keep them afloat, my country therefore adopted all necessary measures to curb the spread of COVID-19, including joining the COVAX facility, to ensure that Tanzanians gain access to the COVID-19 vaccine.

The vaccination campaign has started in July this year with the most vulnerable communities and later on other age groupings.

Mr. President,
Globally, when COVID-19 vaccines were being developed, some of us were hopeful that this would mean something good to all of humanity. Nevertheless, we have come to learn that, the virus is moving faster than the global production and distribution of vaccines, as the vast majority of vaccines have been administered in high and upper-middle-income countries.

With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO’s threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by the end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022.

The level of vaccine inequity that we see is appalling. It is truly disheartening to see that whilst most of our countries have inoculated less than 2% of our populace and thus, seek for more vaccines for our people, other countries are about to roll out the third dose, calling it “booster vaccine”.

We tend to forget that nobody is safe until everyone is safe. It is indispensable that countries with surplus COVID-19 vaccine doses share them with other countries. On another note, it is our humble request that patent rights on COVID-19 vaccines should be waived for.

developing countries so that they can afford to produce the vaccines. This is not only a necessary move to end this pandemic but also the right thing to do in order to save humanity.

Mr. President,
On economic fronts, the United Republic of Tanzania like other countries has not been spared by the effects of the COVID-19. Before the pandemic, our economy was growing at the steady rate of 6.9 percent compared to current growth rate estimated at 5.4 percent. We are now embarking on reviving the tourism sector which was badly affected because of travel restrictions put in many countries as means to curb the spread of COVID-19.

While slowly trying to revive most of economic activities suffocated by the pandemic, the Government continues to work hard to improve the business environment and attract more investment. Aware of the nexus between economic growth and governance, we managed to maintain peace and political stability, with a vibrant democracy and institutionalized good governance practises, upholding rule of law and human rights.

Mr. President,
I wish to take note of the Secretary General’s Report on “Our Common Agenda” which raises key issue of our common
concern such as gender equality, climate change and youth development.

On gender equality, COVID-19 is threatening to roll back the gains that we have made. As the first female President in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulder.

It is for this reasons that I commend the initiative by the UN-Women, France, and Mexico to organize the Generation Equality Forum that took place in Paris in June this year, whereby my country volunteered to champion for Women’s Economic Rights and Justice.

Aware that being passionate about gender equality is not sufficient, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women but also other aspects pertaining to gender equality and gender parity.

We are also working on designing an implementation gender-responsive macro-economic plans, budget reforms and stimulus packages with the objective of reducing the number of women and girls’ living in poverty.

Mr. President,
The challenges of climate change are really affecting livelihoods, peace and security and forceful displacement of our people. Tanzania government spends 2 to 3 percent of GDP to mitigate and build resilience of communities, and this is a lot in a country which is still grappling with poverty coupled with emergency of the COVID19 pandemic. The pandemic has compromised our capacity to respond to harmful impact of climate change. Therefore, our actions today determine the future of our planet in terms of climate change. In this regard, I call for transparent modality for financial disbursement and emphasize that developed countries should fulfill their commitment to contribute USD 100 billion annually by 2025 so as to facilitate the implementation of the Paris Agreement.

Mr. President,
In concluding my remarks, I wish to echo my country’s commitment in pursuing the principles of multilateralism as enshrined in the Charter of the United Nations. I urge other nations to continue supporting this august institution. The onset of COVID-19 has given to all of us a lesson that we are deeply intertwined, and that unilateralism will not get us anywhere when it comes to challenges that transcends our national borders.

A wise person once said, and I quote, “Alone, one will go fast, but together we will go far”. Multilateralism must always prevail!

I thank you all for your kind attention!


Pamoja na kwamba ni hotuba reasonable lakini kuna mambo kadha wa kadha ya kutiliwa mkazo tofauti.

Kuhusu swala la nchi kulinda afya za raia wake kwa nfano kama katika kipindi hiki cha ujio wa corona, si kazi ya nchi zilizoendelea kuwa na mzigo mara mbili: wa kulinda afya za raia wao na kushughulika na afya za watu wa nchi zingine zinazojiita maskini au kuitwa hivyo.

Umaskini wa kutegemea kudra za nchi zingine huo si umaskini tu, ni laana pia.

Kwani nchi hizo tunazokwenda mbele yao na kuanza kulialia eti vaccine inequity wao wanapokuwa wanawekeza kwenye sayansi na teknolojia sisi pesa zetu tunafanyia nini?

Last I checked nchi hii inaweka budget ya kununulia mashangingi kibao ya serikali lakini ukienda kwenye taasi za kufanyia tafiti za sayansi na tiba hakuna vifaa vya utafiti tena vinavyogharimu uwekezaji mdogo tu usiozidi sh bilioni moja kila lab.

Halafu tuna guts za kwenda kulalamika oh vaccine inequity!!! Vaccine inequity kwani tuliwekeana mkataba na nchi hizo kwamba afya zetu zitawategemea wao? Kama hatuna akili za kujua nini tufanye, nini tuvipe kipaumbele, nini tuwekeze nguvu wacha tufe kama kumbikumbi labda akili zetu zitakaa sawa.

Umaskini huanzia akilini kwanza.
 
Ndugu chuki ni kitu kibaya sana yaani shida yako tangu hajaanza kuhutubia tayari ulishakuwa na mwelekeo hasi kwake hivyo hata angesema nini tayari ulishakiamdaa kumponda hizo chuki zenu hazisaidii Wala hazijengi hivi kwani mnataka nani awe rais wa nchi hii ili mlizike?
 
1632665954917.png


Body language - Inasikitisha .... ... (Chijui anaomba nini hapa au anajaribu kukumbuka neno la kithungu?)
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


.........Kazi iendelee .........


=============================
President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021
WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021


President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.
On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.
President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.
“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

VIVA SAMIA VIVA | VIVA TANZANIA VIVA

IMG-20210924-WA0038.jpg
 
Taarifa mbaya sana hii kwa Wale wanangu wa Ufipa,

Rais ametoa speech ya mfano duniani,

Wale mliokuwa mnauliza nini faida ya Safari nadhani mmeelewa,

Samia ni habari nyingine kabisa kwa sasa,
 
Kuna story ya kale ilikuwa inaitwa A Boy who Cried Wolf...., huyu mtoto alikuwa anafanya masihala kila akienda kuchunga mbuzi analia kwamba Mbwa Mwitu amekuja, watu wanaacha kazi wanaenda kumuokoa kumbe wanakuta anatania..., siku ya siku Mbwa Mwitu wakaja kapiga kelele wee, watu hawakuja wakijua anatania....

Moral of the Story
Hii kusifia hata mambo ambayo sio kweli au hayana mashiko mwisho wa siku watu watadhani wewe ni mtu wa kushangilia..., hata siku ukileta vitu credible watu watapuuza....

Lets give Credit when Credit's Due na sio to spread it willy nilly...
 
Back
Top Bottom