Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Ndio maana serikali ya Rais samia imedhamiria kumpatia Mtanzania umeme wa uhakika na toshelezi.ndio maana inachukua hatua za kutumia vyanzo vingine vya umeme badala ya kutegemea maji pekee ambayo yanakuwa changamoto kipindi cha ukame kama ilivyo kwa sasa .Ndio maana Inaendelea na kasi ya ukamilishaji wa bwawa la mwalimu Nyerere ili lianze kazi mapema mwakani.
Pamoja na majibu mazuri ya mtoa mada, bado wananchi wanachohitaji ni umeme. Ahadi hizi zote wamekwisha zizoea wanachotaka ni umeme, umeme, umeme.
 
Pamoja na majibu mazuri ya mtoa mada, bado wananchi wanachohitaji ni umeme. Ahadi hizi zote wamekwisha zizoea wanachotaka ni umeme, umeme, umeme.
Usijari mkuu serikali yetu inalitambua hilo ndio maana imejikita na kujidhatiti katika kuhakikisha kuwa watanzania wanapata umeme na Taifa linapata mwanga wa kutosha usiku na mchana.
 
Pamoja na majibu mazuri ya mtoa mada, bado wananchi wanachohitaji ni umeme. Ahadi hizi zote wamekwisha zizoea wanachotaka ni umeme, umeme, umeme.
Usijari mkuu serikali yetu inalitambua hilo ndio maana imejikita na kujidhatiti katika kuhakikisha kuwa watanzania wanapata umeme na Taifa linapata mwanga wa kutosha usiku na mchana.
 
mwendazake alikuwa hafahamu maana ya "maintanance" ni nini.
Mfano, alishatudanganya wanafanya maintanance, kwamba wakati ule wa JPM palikuwa hapafanyiki maintanance ndio maana umeme ukawa haukatiki hovyo, sasa ajabu ni kwamba, wakati huu ambapo maintanance imekuwa inafanyika, hali ndio imekuwa mbaya zaidi, kumbe sababu ya maintanance ni uongo.
 
Usijari mkuu serikali yetu inalitambua hilo ndio maana imejikita na kujidhatiti katika kuhakikisha kuwa watanzania wanapata umeme na Taifa linapata mwanga wa kutosha usiku na mchana.
Pamoja na majibu mazuri ya mtoa mada, bado wananchi wanachohitaji ni umeme. Ahadi hizi zote wamekwisha zizoea wanachotaka ni umeme, umeme, umeme
 
Naomba nikupe ufafanuzi kuwa katika hiyo miezi sita haimaanishi kuwa umeme hautakuwepo ,bali katika hiyo miezi sita ndipo patakuwa na utengenezaji wa mitambo yetu ili ifanye vyema zaidi kazi.lakini pia ndani ya hiyo miezi serikali yetu itaendelea kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile gas na jua, lakini baada ya hiyo miezi sita hakutakuwa tena na tatizo hili la kukatika kwa umeme kama sasa,kwa kuwa tutakuwa tumejiimarisha kama nchi kuwa na umeme wa kutosha na toshelezi kwa kutumia vyanzo mbalimbali tofauti na sasa tunapotegemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji ambao unakuwa ni changamoto panapokuwa na ukame kama ilivyo kwa sasa.

Kwa hiyo hali itaendelea kuwa nzuri kila siku kunapokucha kutokana na mikakati ya serikali yetu katika kuliangazia Taifa letu mwanga muda wote.
Wewe..Mwashambwa...acha kuandika hizi porojo ....achana na siasa siasa...Tukubali kuwa hatujui hata taifa tunataka nini....sera yetu ya kuwa na nishati muendelezo ni ipi?Sustainable energy sources....Haya mambo ya ukame tangu tuko vijana wadogo..maelezo ni hayahaya tu..
Shame kabisa
 
Watu wanataka umeme siyo blah blah

Unamuweka mtu bila umeme masaa zaidi ya 12 mambo ya ajabu kabisa
Kufanyika kwenye karne hii

Ova
 
Pamoja na majibu mazuri ya mtoa mada, bado wananchi wanachohitaji ni umeme. Ahadi hizi zote wamekwisha zizoea wanachotaka ni umeme, umeme, umeme
Kwani nani aliwakataza kujipatia umeme?

Umeme wa Tanesco ndio kama mlivyosikia leo.

Mimi nashangaa, mnaolalamika hamna matumizi zaidi ya kuchaji visimu vyenu na usiku kuwasha taa moja au mbili. Sijawasikia wenye viwanda kulalamika.
 
Kwani nani aliwakataza kujipatia umeme?

Umeme wa Tanesco ndio kama mlivyosikia leo.

Mimi nashangaa, mnaolalamika hamna matumizi zaidi ya kuchaji visimu vyenu na usiku kuwasha taa moja au mbili. Sijawasikia wenye viwanda kulalamika.
Punguza ujinga.Huu sio muda wa dharau kwenye maisha ya watu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Andiko la HOVYO !!
Hufai kwenye timu.
 
Ukame hauletwi na serikali yetu bali ni mabadiliko ya hali ya hewa .ndio maana serikali nayo inabadilika kulingana na wakati kama unavyoona sasa serikali inaamua kuanza kutumia vyanzo vingine kama vile gas na jua ili umeme uwepo.
Mwaka 2013 tuliambiwa 2014 mgao utakuwa historia kwa sababu tunaingia uchumi wa gesi,tukakopa pesa na kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka Dar es Salaam,halafu leo mnaleta simulizi zile zile tena?
 
Mwaka 2013 tuliambiwa 2014 mgao utakuwa historia kwa sababu tunaingia uchumi wa gesi,tukakopa pesa na kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka Dar es Salaam,halafu leo mnaleta simulizi zile zile tena?
Aliyepo madarakani ni Rais samia.Ahukumiwe kwa yale anayoyaahidi yeye kama yeye na serikali yake.Tumwamini Rais wetu na hatatuangusha hata kidogo.akisema anatekeleza.
 
Yaani watanzania tupo gizani na hapa tulipo hatuna umeme, halafu mama anasema shida ya umeme iendelee hivi hivi mpaka baada ya miezi sita ndio atakuja kufanya tathmini kuona imepungua, kuongeza au amekwisha! Hapa hapana kabisa. Mama ameteleza kwa 100%.

Watanzania tunataka umeme wa uhakika sasa.
Hili halina tofauti na lile la kusema Watz wapewe elimu ya Katiba kwa miaka mitatu. National Sisi ni Manyani.
 
Aliyepo madarakani ni Rais samia.Ahukumiwe kwa yale anayoyaahidi yeye kama yeye na serikali yake.Tumwamini Rais wetu na hatatuangusha hata kidogo.akisema anatekeleza.
Acha hizi porojo mkuu,Rais Samia anaongoza serikali ya CCM,ina Ilani na inaendeshwa kwa kufuata mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano,haiwezekani Kila Rais akiingia aje na yake,utakuwa ni upuuzi sasa,nchi haina continuation ya miradi ya maendeleo?kilio cha umeme ni cha miaka mingi sana,...CCM wameshindwa kwenye hili suala la Umeme
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hivi kutuletea porojo zote hizi umesahau zengwe la DP World?CCM,the government and any of it's leaders cannot be trusted for anything.Watakuwa wamewatendea wananchi wa Tanzania favour kama wataondoka.We are fed up with it's lies and crookedness.
 
Taifa ili ,tupo gizani hata hotuba yenyewe hajasikika
Uchawa tu
 
Acha hizi porojo mkuu,Rais Samia anaongoza serikali ya CCM,ina Ilani na inaendeshwa kwa kufuata mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano,haiwezekani Kila Rais akiingia aje na yake,utakuwa ni upuuzi sasa,nchi haina continuation ya miradi ya maendeleo?kilio cha umeme ni cha miaka mingi sana,...CCM wameshindwa kwenye hili suala la Umeme
Acha hizi porojo mkuu,Rais Samia anaongoza serikali ya CCM,ina Ilani na inaendeshwa kwa kufuata mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano,haiwezekani Kila Rais akiingia aje na yake,utakuwa ni upuuzi sasa,nchi haina continuation ya miradi ya maendeleo?kilio cha umeme ni cha miaka mingi sana,...CCM wameshindwa kwenye hili suala la Umeme
Sikiliza ndugu yangu ,ilani ni ya miaka mitano mitano na ndani ya hiyo miaka mitano inaweza kujitokeza changamoto ambayo inahitaji serikali kubadilika kimkakati katika kukabiliana nayo ili isilete athari na maumivu kwa wananchi.suala la ukame na mabadiliko ya hali ya hewa hayasubiri ilani ya uchaguzi au wakati wa uchaguzi.huja bila Taarifa na huhitaji hatua za haraka pasipo kusubiri kuangalia uchaguzi upo lini au ilani j inasema nini
 
Back
Top Bottom