Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Hiyo miezi sita ni pamoja na kuhakikisha kuwa mitambo yote inafanyiwa matengenezo mazuri na kufanya vizuri kazi.
{Ulicheza wapi chipukizi, wakati ule tunabebwa na mabasi ya bhesco kwenda uwanja wa taifa kuchapa gwaride nakumbuka nilichapa mguu wakati wa kutoa salute kwa mwl Nyerere kofia na kiatu kikavuka lakini nikachapa gwaride hivyo hivyo kikakamavu nakumbuka nilipatiwa zawadi, wewe Ulicheza chipukizi wapi?}
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kijana mpumbavu na mzaandiki haijawwhi kutokea.

Tumia akili yako japo kidogo.

Mnatumia lugha ya ukarabati unaisha mwaka wa tati sasa.

Hiyo yote ni kumnanga JPM siyo? Aliwezaje kuzalisha umeme kwa mitambo chakavu halafu ninyi mshindwe?

Hiyo mitambo huwezi kuitumia chakavu, msitudanganye. Mna ajenda yenu ya siri kipindi hiki.

Na hata hiyo miezi sita ni uongo. Hakutakuwa na umeme.

Tarizo hata hapa ni wizi, ufisadi na kukosa uadilifu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Sawa chawa msambwanda usikate tamaa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu ,upole,uthabiti na uimara wa hali ya juu sana amelieleza Taifa sababu ya chagamoto hiyo na mikakati ya serikali yake kuimaliza. Ameliambia Taifa kuwa hali hiyo imetokana na serikali kufanya ukarabati na matengenezo ya mitambo ambayo ilikuwa haijafanyiwa matengenezo kwa muda mrefu. Hivyo serikali inalazimika kuzima mingine na kuwasha mingine ambayo inakuwa haitoshelezi umeme unaohitajika.

Lakini pia Amelieleza Taifa kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji wa umeme kutokana na nchi kukumbwa na ukame kwa baadhi ya maeneo na hivyo maji yanayohitajika katika mabwawa yetu kuwa pungufu.Hata hivyo ameelezea jitihada za serikali yake kumaliza changamoto hiyo ambayo itabakia historia katika Taifa letu baada ya miezi sita tu. Ambapo kwa sasa serikali inajitahidi kuongeza na kutumia vyanzo vingine vya umeme kama vile umeme wa gas na jua.

Naamini watanzania wenzangu sote ni mashahidi wa namna jua linavyowaka kwa kipindi hiki na namna maeneo mengi yanavyoendelea kuwa kame na kukauka maji .sote tunakubaliana na ukweli kuwa hata shughuli za uchumi zinazotegemea umeme zimeongezeka kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wetu, unaotokana mazingira mazuri na sera nzuri za serikali yetu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na Biashara.

Tuendelee kuwa wavumilivu katika miezi hiyo sita ambayo mh Rais na serikali yake wanaendelea kupambana kuimarisha hali ya upatikanaji wa umeme nchini ,lakini pia Tuendelee kumuomba Mungu atuletee mapema mvua zenye baraka zisizo na madhara zitakazo jaza mabwawa yetu.lakini pia tukumbuke pia mwakani bwawa la mwalimu Nyerere litaanza nalo uzalishaji wa umeme na hivyo kufanya Taifa kuwa na umeme wa kutosha na mwingine kuuza nje ya nchi kama vile kenya na nchi nyingine zenye uhitaji wa umeme.

Rais samia ni kiongozi mkweli sana ,Ni kiongozi ambaye anaendana na Baba wa Taifa Hayati mwalimu Nyerere ambaye alikuwa haoni haya kuusema ukweli kutwambia watanzania,kama ambavyo amewahi kutuambia kuwa Tufunge Mikanda. Huo ndio uongozi na huo ndio uungwana .Rais samia Hataki kuendesha serikali kwa udanganyifu na ulaghai wakati anajuwa mwisho wa siku ukweli hujitenga na uongo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Watanzania wamekwambia kiu yao inakati kwa maneno ya Rais? Watu wapuuzi kama wewe hamtakiwi kuwepo ktk taifs letu. Tuna shida ya umeme na kiu yetu ni kupatikana kwa umeme wewe unatuambia kiu yetu inakatika kwa maneno ya Rais, utakuwa na tatizo kwenye akili yako.

Hujui kutofautiana kwa kauli kati Makamba, Maharage na Rais mwenyewe juu ya sababu za kukatikakatika kwa umeme kumezua maswali mengi Sana?

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wamekwambia kiu yao inakati kwa maneno ya Rais? Watu wapuuzi kama wewe hamtakiwi kuwepo ktk taifs letu. Tuna shida ya umeme na kiu yetu ni kupatikana kwa umeme wewe unatuambia kiu yetu inakatika kwa maneno ya Rais, utakuwa na tatizo kwenye akili yako.

Hujui kutofautiana kwa kauli kati Makamba, Maharage na Rais mwenyewe juu ya sababu za kukatikakatika kwa umeme kumezua maswali mengi Sana?

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Shida ya watanzania ni umeme, watanzania wanahitaji umeme ndio maana kwa kulitambua hilo serikali ya Rais samia ina mikakati na mipango mbalimbali kuhakikisha kuwa huduma ya umeme inaendelea kupatikana kwa watanzania,ndio maana imeamua kuongeza vyanzo vingine vya nishati hii ikiwepo umeme wa gas na jua. Pamoja na kuendelea kukamilisha miradi mikubwa kama ule wa bwawa la mwalimu Nyerere
 
Kijana mpumbavu na mzaandiki haijawwhi kutokea.

Tumia akili yako japo kidogo.

Mnatumia lugha ya ukarabati unaisha mwaka wa tati sasa.

Hiyo yote ni kumnanga JPM siyo? Aliwezaje kuzalisha umeme kwa mitambo chakavu halafu ninyi mshindwe?

Hiyo mitambo huwezi kuitumia chakavu, msitudanganye. Mna ajenda yenu ya siri kipindi hiki.

Na hata hiyo miezi sita ni uongo. Hakutakuwa na umeme.

Tarizo hata hapa ni wizi, ufisadi na kukosa uadilifu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Huu ni uongozi wa Rais samia ,uongozi wenye kuleta Matumaini wenye kuzungumza ukweli na kutekeleza kwa matendo .hivyo uwe na imani maana utafurahi mwenyewe
 
Kwahiyo kama sababu hizo Maharage na Januari amewatoa kwa lengo gani. Huwezi kuwepo kwenye mkeka hata uweke namba za sinu na verified name. Huna godfaza. Nunua chemuli tu uwe na moshi puani[emoji16]
 
Huyu mwanamke anaitwa mwashambwa tusichangie kabisa nyuzi zake.
Siyo wote hawana akili kama ilivyo wewe. Hili siyo jukwaa la wahuni au watoto wakuburuzwa kama mikokoteni ya ng'ombe ,watu wana utashi wkna akili za kuchambua mambo na siyo kuwafundisha kipi wasome na kipi wasisome. Watu wanasoma mada na siyo mtu au sura ya mtu. Ukitaka huo ujinga wako basi nenda facebook ndio utakutana na wajinga aina yako wenye akili fupi kama zako na watakuunga mkono.
 
Kwahiyo kama sababu hizo Maharage na Januari amewatoa kwa lengo gani. Huwezi kuwepo kwenye mkeka hata uweke namba za sinu na verified name. Huna godfaza. Nunua chemuli tu uwe na moshi puani[emoji16]
Mabadiliko katika baraza la mawaziri ni jambo la kawaida kabisa popote pale Duniani ndugu yangu .haijaanza kwa serikali hii na wala haitaishia kwa serikali hii. Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi au wizara.leo kuwa huku na kesho kule ni mambo ya kawaida kiutendaji.
 
Hapo ulipoandika Rais wetu Mpendwa kipenzi cha wa Tanzania. Nadhani hata yeye akiisoma hii ataelewa dhahiri UNAJIPENDEKEZA KUPITA KIASI
Hapana sijipendekezi bali naandika ukweli kuwa Rais samia anapendwa sana na mamilioni ya watanzania,ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wa kila rika na kila kundi
 
Mabadiliko katika baraza la mawaziri ni jambo la kawaida kabisa popote pale Duniani ndugu yangu .haijaanza kwa serikali hii na wala haitaishia kwa serikali hii. Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi au wizara.leo kuwa huku na kesho kule ni mambo ya kawaida kiutendaji.
Ikiwa tatizo ni
1. Ukame. Miezi sita mvua inaagizwa toka nchi gani kutoa garantii?
2. Ikiwa ni service. Makamba alipoingia alidai anaizima kwa ajili ya service. Je service ina cycle ya muda gani? Na hii imefanyika mara ngapi toka tupate uhuru?
Bro tumia akili zote sisi wengine si wanaharakati wala siasa lkn tunaona ubabaishaji.
Hivi inaingia akilini? Kwa maelezo hayo umeme tutakuwa tunapata wakati wa masika tu
 
Pamoja na ahadi nzuri hizo, lakini serikali iwe na mkakati wa kutafuta vyanzo vingine mbadala vya Umeme kuliko kuendelea kutegemea maji! Swala la kukatika umeme naona ni la kila mwaka! Mvua zikikatika ndiyo tunaona ni yale yale yanajitokeza!
Asante sana kwa mchango wako lakini napenda kukuhakishia kuwa tatizo la umeme linakwenda kuwa historia ,kwa kuwa serikali yetu imeamua kutumia vyanzo mbadala kwa kuongeza vingine na kukamilisha mradi mkubwa wa bwawa la mwalimu Nyerere.ondoa hofu serikali yetu ipo kazini muda wote.
 
Back
Top Bottom