Natafakari Na kuuliza Kwa sauti kubwa;
hivi mwaka 2015 nani alikuwa zaidi kati ya Lissu na Lowassa??
Nadhani sote tunakumbuka kuwa Lowasa alionekana ni bora kuliko Lissu Na Lowasa alipewa nafasi ya kugombea Uraisi Kwa tiketi ya Chadema, miaka mitano badae tunaaminishwa kuwa Lisu ni bora!!!
chadema bado tunasafari ndefu ya kuandaa viongozi..... Bado sana tena sana,
hivi mwaka 2015 nani alikuwa zaidi kati ya Lissu na Lowassa??
Nadhani sote tunakumbuka kuwa Lowasa alionekana ni bora kuliko Lissu Na Lowasa alipewa nafasi ya kugombea Uraisi Kwa tiketi ya Chadema, miaka mitano badae tunaaminishwa kuwa Lisu ni bora!!!
chadema bado tunasafari ndefu ya kuandaa viongozi..... Bado sana tena sana,