Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Et hatolipiza kisasi huyo ni mtu wa visasi sana lakini pia ata huo uraisi ata upata
 
Mbona anaapa mambo ya kisasi inamaana hizo ndio tatizo la kuleta maendeleo
 
Tundu Lissu: Ninaelewa masuala ya Kimataifa kwa mapana sana. Katika mabara yote, Bara la Australia tu ndio sijatembelea

- Nina uwezo wa kuwafuta machozi. Ninaweza kuwatibu machungu mengi mliyosababishiwa. Nikiwa Rais nitafuta Sheria kandamizi zinazoumiza Wananchi
(Maneno kuntu hayo)
 
Serikali acheni uoga,
Kama mnamuogopa sana huyo TAL mngefanya mnavyojua asihutubie lakini sio huu ujinga wa kutushushia kasi ya mtandao watanzania wote..huo ni umama,
Lissu ndio muoga wa kutupwa. Sasa mbona kajifica ubelgiji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…