Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mamilioni ya wana ccm tumehama na kujiunga na CHADEMA mara tu baada ya kumsikiliza mh Lissu.
Tumechoshwa na ngonjera za ccm na sasa tumehama ccm na kujiunga cdm.
Tumechoshwa na ngonjera za ccm na sasa tumehama ccm na kujiunga cdm.
Et hatolipiza kisasi huyo ni mtu wa visasi sana lakini pia ata huo uraisi ata upata