Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

View attachment 1472025



BAADHI YA ALIYOYAONGEA:

- Naamini ninazo sifa zote shahiki za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

- Nikipewa nafasi hii na kuchaguliwa, sitolipiza visasi kwa yote yaliyofanywa na walionitangulia. Nitatafuta muafaka wa kitaifa

- Nikipewa nafasi ya kugombea urais na nikashinda, nitahakikisha mihimili ya Dola inakuwa huru

- Uamuzi wa Ndugai kunifutia ubunge haujaniondolea sifa za kuwa mgombea Urais. Aidha, sijawahi kuwa na mashtaka ya aina yoyote yanayoniondolea sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania

- Amesema akipata dhamana ya kuongoza, Serikali haitatumia Vyombo vya Dola dhidi ya Wapinzani na Wanahabari

- Atakuwa mfariji Mkuu, hatakimbilia kijijini kwao wakati wa majanga kama tetemeko au #COVID19
Hotuba nzuri sana
 
Pamoja sana, mimi na wanachama wenzangu 60000 tumehama leo kutoka ccm na kujiunga na cdm mara tu baada ya kumsikiliza mh Lissu
Naungana na Lissu Uraisi 2020 kwa raha zangu!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nipo hapa nyamanoro mwanza wana ccm kibao wanaenda ofisi za cdm kujiunga na chama baada ya hotuba ya mh Lissu
Tundu Lissu: Ninaelewa masuala ya Kimataifa kwa mapana sana. Katika mabara yote, Bara la Australia tu ndio sijatembelea

- Nina uwezo wa kuwafuta machozi. Ninaweza kuwatibu machungu mengi mliyosababishiwa. Nikiwa Rais nitafuta Sheria kandamizi zinazoumiza Wananchi
(Maneno kuntu hayo)
 
Kwani Yale ma turkey yaliyopack pale Mwalimu Nyerere International Airpot yana waongezea nini zaidi ya kodi kutumika kuyanunua?
Kwa kuwa ni Tanzania pekee ndiyo wamenunua hizo ndege mkuu! Huko Kwa wengine Kwa sasa yamepaki yanawaongezea nini
 
Ila acheni jamani, Lissu anajua.

Honestly speaking this is the best speech ever.

Yaaani sidhani kama Mzee Magu anaweza kutoa hotuba Nzuri iliyotulia na inyoshawishi Kama ya Lissu.

Naunga Mkono hoja. Lissu for presidency 2020
Mungu ni mkubwa
 
Restore The Soul of Tanzania Our best days still lie ahead. Go Lissu Go! 2020 President!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom