Et hatolipiza kisasi huyo ni mtu wa visasi sana lakini pia ata huo uraisi ata upata
Kumbe hakuna haja ya maendeleoBaba wa Demokrasia na Utawala wa kuheshimu Katiba ya Wananchi, tunakusubiri kwa hamu sana.
Wasiompenda Kaja! Lissu oyeeee!!
Jiandae kisaikolojia maana ndiye rais wako huyoAnaweza asitoboe
Hotuba nzuri sanaView attachment 1472025
https://www.facebook.com/
BAADHI YA ALIYOYAONGEA:
- Naamini ninazo sifa zote shahiki za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
- Nikipewa nafasi hii na kuchaguliwa, sitolipiza visasi kwa yote yaliyofanywa na walionitangulia. Nitatafuta muafaka wa kitaifa
- Nikipewa nafasi ya kugombea urais na nikashinda, nitahakikisha mihimili ya Dola inakuwa huru
- Uamuzi wa Ndugai kunifutia ubunge haujaniondolea sifa za kuwa mgombea Urais. Aidha, sijawahi kuwa na mashtaka ya aina yoyote yanayoniondolea sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania
- Amesema akipata dhamana ya kuongoza, Serikali haitatumia Vyombo vya Dola dhidi ya Wapinzani na Wanahabari
- Atakuwa mfariji Mkuu, hatakimbilia kijijini kwao wakati wa majanga kama tetemeko au #COVID19
Naungana na Lissu Uraisi 2020 kwa raha zangu!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Rais wa nini mkuu?Jiandae kisaikolojia maana ndiye rais wako huyo
Raisi wa ughaibuni.
Kwani Yale ma turkey yaliyopack pale Mwalimu Nyerere International Airpot yana waongezea nini zaidi ya kodi kutumika kuyanunua?Hii inatuongezea nini Sisi!
Lumumba mnahitaji msaada wa kisaikolojia.Lissu ataaibika vibaya
Tundu Lissu: Ninaelewa masuala ya Kimataifa kwa mapana sana. Katika mabara yote, Bara la Australia tu ndio sijatembelea
- Nina uwezo wa kuwafuta machozi. Ninaweza kuwatibu machungu mengi mliyosababishiwa. Nikiwa Rais nitafuta Sheria kandamizi zinazoumiza Wananchi
(Maneno kuntu hayo)
Kwa kuwa ni Tanzania pekee ndiyo wamenunua hizo ndege mkuu! Huko Kwa wengine Kwa sasa yamepaki yanawaongezea niniKwani Yale ma turkey yaliyopack pale Mwalimu Nyerere International Airpot yana waongezea nini zaidi ya kodi kutumika kuyanunua?
Mungu ni mkubwaIla acheni jamani, Lissu anajua.
Honestly speaking this is the best speech ever.
Yaaani sidhani kama Mzee Magu anaweza kutoa hotuba Nzuri iliyotulia na inyoshawishi Kama ya Lissu.
Naunga Mkono hoja. Lissu for presidency 2020
Now inakimbilia 2 millionNjoo mida hii tuambie kapata viewers wangapi hadi sasa?
Weka picha tuoneNipo hapa nyamanoro mwanza wana ccm kibao wanaenda ofisi za cdm kujiunga na chama baada ya hotuba ya mh Lissu