Huduma benki ya CRDB ni mbovu sana
Niliachana nao mwaka jana...

Internet banking ni ya kubembeleza mno, andika barua kama walivyoshauri...ukifuatilia unaambiwa andika barua, nikajiuliza, ya kwanza mmepoteza? Fomu nilizojazishwa zilienda wapi?

Nikaenda branch 3 tofauti, stori ni ile ile...wakanipa mtu wa kushughulikia, akanipigia, nikamueleza, akasema tukutane j'1, eti hayupo na mi nshafika branch...ila stori ni zile zile!

Nikahama mazima, benki X, nafanya transactions online, free!
Umehamia wapi mkuu
 
Siku Vodacom Mpesa wakianzisha pochi la biashara kama kenya. Kwamba unaweza kaa mwezi mzima bila kushika cash ndo watateka watu wengi.

Sema kwenye government kuna watu wa hovyo wanauduscourage kwa kuweka matozo kwenye lipa kwa mpesa
Sijui kwanini wanachelewa. Wapo chini sana kwenye mambo ya product development. Kule Kenya kuna hadi huduma unamtumia mtu salio bila juna wala namba yako kuonekana kwa uliyemtumia
 
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.

Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa
Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Wauza mahotpot kariakoo
 
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.

Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.

Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Nilishaachana nayo,benki ina foleni hio 😀😀😀
 
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.

Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.

Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
N
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.

Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.

Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Nilishaacha manyoya kitambo sana kwenye hiyo bank, waliniibia pesa yangu fln hv, ikabidi niwapigie huduma kwa wateja sababu nilikuwa mbali na bank ilipo

Nilichojibiwa mungu ndiye anajua

Ikanibid niachane nao mazima
 
Hivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.

Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
CRDB benki huduma ni mbovu sana japo wanakata bills nyingi kwa mteja. Hii siyo sawa hata kidogo Sishauri watanzania wenzangu wajiunge na hii benki.
 
Hivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.

Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
Mie mwwnyewe crrdb ndo bank yangu nina account postal, na nmb ila crdb nipo kwa sababu ya huduma zao nzuri
 
Hivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.

Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
Mie mwwnyewe crrdb ndo bank yangu nina account postal, na nmb ila crdb nipo kwa sababu ya huduma zao nzuri
 
Siku Vodacom Mpesa wakianzisha pochi la biashara kama kenya. Kwamba unaweza kaa mwezi mzima bila kushika cash ndo watateka watu wengi.

Sema kwenye government kuna watu wa hovyo wanauduscourage kwa kuweka matozo kwenye lipa kwa mpesa
Benki za wazawa Tanzania zinaishi kwa pumzi ya serikali na regulations za BoT.
Sekta ikiamuliwa iwe huria na mazuio yapunguzwe ni benki chache zitasimama. Wana mazoea na kutojituma kwingi.

Kwanza ni benki zote matawi yote yana upungufu wa wafanyakazi, madirisha manne hayawezi kuwa na wahudumu wote hata mara moja, benki zote wafanyakazi wake wanapata overtime. Benki zote ikifika saa kumi jioni wanafunga na kuingiza watu ndani na kuzuia wengine kuhudumiwa eti "muda umeisha".
 
Back
Top Bottom