Umehamia wapi mkuuNiliachana nao mwaka jana...
Internet banking ni ya kubembeleza mno, andika barua kama walivyoshauri...ukifuatilia unaambiwa andika barua, nikajiuliza, ya kwanza mmepoteza? Fomu nilizojazishwa zilienda wapi?
Nikaenda branch 3 tofauti, stori ni ile ile...wakanipa mtu wa kushughulikia, akanipigia, nikamueleza, akasema tukutane j'1, eti hayupo na mi nshafika branch...ila stori ni zile zile!
Nikahama mazima, benki X, nafanya transactions online, free!
Anaitwa Abdulmajid NsekelaNani Mkurugenzi kwa Sasa huko CRDB?
Sijui kwanini wanachelewa. Wapo chini sana kwenye mambo ya product development. Kule Kenya kuna hadi huduma unamtumia mtu salio bila juna wala namba yako kuonekana kwa uliyemtumiaSiku Vodacom Mpesa wakianzisha pochi la biashara kama kenya. Kwamba unaweza kaa mwezi mzima bila kushika cash ndo watateka watu wengi.
Sema kwenye government kuna watu wa hovyo wanauduscourage kwa kuweka matozo kwenye lipa kwa mpesa
Wauza mahotpot kariakooSijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.
Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa
Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Nilishaachana nayo,benki ina foleni hio 😀😀😀Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.
Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.
Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
NSijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.
Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.
Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Nilishaacha manyoya kitambo sana kwenye hiyo bank, waliniibia pesa yangu fln hv, ikabidi niwapigie huduma kwa wateja sababu nilikuwa mbali na bank ilipoSijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.
Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.
Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Kuna hiyo na NMB foleni Kama kwa mwamposa labda kama mteja wa Premier bankingNilishaachana nayo,benki ina foleni hio 😀😀😀
CRDB benki huduma ni mbovu sana japo wanakata bills nyingi kwa mteja. Hii siyo sawa hata kidogo Sishauri watanzania wenzangu wajiunge na hii benki.Hivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.
Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
Mie mwwnyewe crrdb ndo bank yangu nina account postal, na nmb ila crdb nipo kwa sababu ya huduma zao nzuriHivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.
Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
Mie mwwnyewe crrdb ndo bank yangu nina account postal, na nmb ila crdb nipo kwa sababu ya huduma zao nzuriHivi kuna bank bora tanzania kwa sasa kuliko crdb?
Yes, wanaweza kuwa na matatizo ya hapa na pale lakini wako vizuri.
Je unajua huduma za simbanking/internet banking. Mtandao wake unatolewa na vodacom?
Naenda ABSA au nahamia benki za dini amana au mkombozi kidogo Wana hofu ya Mungu siyo hawa mabwanyenye.Unahamia wapi?,pamoja na mapungufu yao, wapo mbele ya bank zingine Bongo.
Benki za wazawa Tanzania zinaishi kwa pumzi ya serikali na regulations za BoT.Siku Vodacom Mpesa wakianzisha pochi la biashara kama kenya. Kwamba unaweza kaa mwezi mzima bila kushika cash ndo watateka watu wengi.
Sema kwenye government kuna watu wa hovyo wanauduscourage kwa kuweka matozo kwenye lipa kwa mpesa
Nitajaribu kufanya consultation equityEQUITY ni next level, sijui wana mpango wa kwenda kufungua Tawi sayari ya Mars wale?
Nyie watumishi wa CRDB hebu tuachieni mjadala basi kwanini mnaleta fujo?Kumbe umekuja kufagilia kibarua chako!...Safi.
Yupo muhaya mmoja anaitwa nani sijui sekela kitu kama hicho.Nani Mkurugenzi kwa Sasa huko CRDB?
Nimechelewa sanaa aiseKha unaona leo
Nani aijakuelewaWauza mahotpot kariakoo
PoleNimechelewa sanaa aise
Kaka mimi mkulima huku Msanga Kisarawe.Nyie watumishi wa CRDB hebu tuachieni mjadala basi kwanini mnaleta fujo?
Hofu ya Mungu kwenye hela...sidhani.Naenda ABSA au nahamia benki za dini amana au mkombozi kidogo Wana hofu ya Mungu siyo hawa mabwanyenye.