Ondoka tu hatukutaki go f.. yourself Cc ephen_
 
CRDB Mbezi Luis, Makumbusho, Tabata Bima wote kuna madirisha unakuta yako wazi mpaka unajiuliza labda wameenda lunch
 
N

Nilishaacha manyoya kitambo sana kwenye hiyo bank, waliniibia pesa yangu fln hv, ikabidi niwapigie huduma kwa wateja sababu nilikuwa mbali na bank ilipo

Nilichojibiwa mungu ndiye anajua

Ikanibid niachane nao mazima
Wana huduma mbovu sana kwa wateja
 
Ni heri kwa sasa tutumie benki za nje hawa ABSA nimeambiwa wako vizuri kiasi nitaenda huko. Au niende mkombozi au amana kidogo benki za dini hawana umangi mezani.
Hata Equity wako vizuri... kufungua ACC na kupata kadi same day, tena masaa machache tuu...simbanking pia iko very fast
 
Ukiacha customer service mbovu pia suala la benki kudhamini vitu vingi nalo ni tatizo, wamejitahidi kukusanya volume ya wateja ila suala la kuwahudumia ndio tatizo lilipo. Pia hata ukitaka kupata mkopo inachukua muda mrefu ukilinganisha na benki zingine.
 
Benki hizi zinalindwa sana ,bank za nje zingepewa full support kama bank za ndani mbona wangejirekebisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…