Huwa situmi kama pesa nalipia bili inaenda kama vocha au nikiwa sina pesa kwenye simu naenda kwa wakala wa NMB chap napata vocha. Ila sehemu nilipo kuna jamaa ni wakala vocha za TTCL hakosi. Ila wanapaswa kuboresha upatikanaji wa vocha aisee.Ikikwama wakati unatuma salio kwenda T PESA utasaga meno wallah
Hawa jamaaa nafikiri distribution yao imekuww ngumu. Wafanyabiashara wengi hawapendi kuuza vocha zao kwa sababu mzunguko wake ni mdogo. Unaweza kukaa siku nzima hakuna mteja hata mmoja anaulizia vocha zao.Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonana na mama ana sura ngumu.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nikamtukana kwa sauti ya chini. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilichotaka kumwambia afisa masoko
Nilitaka nimwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
TTCL wanatumia vitambulisho vya Chuo badala ya NIDA?,sijaelewa kidogo hapaSio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonana na mama ana sura ngumu.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nikamtukana kwa sauti ya chini. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilichotaka kumwambia afisa masoko
Nilitaka nimwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Sio Tegeta katokea BUZAJamaa katoka Tegeta kwenda Makumbusho kununua vocha ya 500 [emoji13][emoji13][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kununua salio kutoka Tigo Pesa, M Pesa, Airtel Money na Halo Pesa kwenda T Pesa sio tatizo.Hawa jamaaa nafikiri distribution yao imekuww ngumu. Wafanyabiashara wengi hawapendi kuuza vocha zao kwa sababu mzunguko wake ni mdogo. Unaweza kukaa siku nzima hakuna mteja hata mmoja anaulizia vocha zao.
Nini kifanyike?
Pamoja na ushindani wa kibiashara uliopo kati ya makampuni ya simu. Lkn TTCL wanaweza kuongea na Voda/Tigo/ Airtel mtu uwe na uwezo wa kununua muda wa maongezi kwa kutumia Tigo Pesa au M Mpesa.
Kwa hiyo mtu ukiwa na Tigo pesa unaweza kununua muda wa Maongezi wa TTCL
Network utadhani ina MDONDO WA KUKUMagufuli kawatafutia soko Lakini hawajajipanga Network yeyenye migogoro sijui kulikoni utafikiri inaumwa kifafa inaingia inatoka inaingia inatoka.Shida tupu
Balaa yaani unajikuta na hasira za ghaflaUkienda kununua vocha za jumla unaambiwa sijui mpaka aje nani asaini ndo ziweze kutumika unaona kuliko kupoteza mda bora uondoke kuwahi majukumu mengine
.. unanunua muda wa maongezi.. kwa hiyo unatumiwa number kama unavyotumiwa VOCHA za LUKU.Wewe kazi yako ni kuingiza tuu no (Kama LUKU inavyofanya kazi)Mkuu kununua salio kutoka Tigo Pesa, M Pesa, Airtel Money na Halo Pesa kwenda T Pesa sio tatizo.
Tatizo hiyo hela kufika kule T PESA balaa ikiganda hewani utajuta
Hiyo huduma ipo?Sio unanunua salio.. unanunua muda wa maongezi.. kwa hiyo unatumiwa number kama unavyotumiwa VOCHA za LUKU.Wewe kazi yako ni kuingiza tuu no (Kama LUKU inavyofanya kazi)
Kumbe ni hii.Pole sana mtaalamu, unaweza ukanunua vocha za TTCLCorporation kupitia TPESA, hali kadhalika kupitia Tigopesa, Airtell money na MPESA
1. Ingiza namba ya kampuni 555444(AIRTEL),662288(MPESA) 212121(TIGOPESA)
2. Namba ya kumbukumbu ni namba yako ya TTCL
Sent using Jamii Forums mobile app
Tembea kifua mbelerudi nyumbani kumenoga..niliwahi kwenda ofisini kwao maeneo ya kariakoo (zanzibar) kupeleka malalamiko juu ya kupatikana kwa huduma zao.
Niliambiwa ifikapo mwezi oktoba 2018 takribani maeneo yote ya zanzibar yatafikiwa na huduma ya TTCL.
leo ni febuary 2020 hakuna kilichobadilika.
nikiwa mjini natumia TTCL vizuri sana ila nikivuka mji natoa line yao naweka halotel.
nikiwepo nyumbani huo ndio mtandao pekee ninaotumia kwa huduma ya internet (vifurushi vyao vinanisaidia mno halafu huduma ya 4G inapanda)Tembea kifua mbele
Ikifika usiku utaomba pooo hiyo GB 3.5 inaenda bureVocha unanunua kwa tigo pesa.
Kwangu uko poa tu naweza jiunga siku gb 4 shilingi 1000
Labda tatizo ni kukisekana kwa network tu maeneo mengi.
mbona hiyo huduma natumia kila siku na sijawahi kukutana na hilo tatizo.... mkuu pengine upo eneo baya kihuduma.Ikifika usiku utaomba pooo hiyo GB 3.5 inaenda bure