Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.

Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:

1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.

Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.

2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.

Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.

3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.

Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.

Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonana na mama ana sura ngumu.

Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nikamtukana kwa sauti ya chini. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.

Nilichotaka kumwambia afisa masoko
Nilitaka nimwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Hawa jamaaa nafikiri distribution yao imekuww ngumu. Wafanyabiashara wengi hawapendi kuuza vocha zao kwa sababu mzunguko wake ni mdogo. Unaweza kukaa siku nzima hakuna mteja hata mmoja anaulizia vocha zao.
Nini kifanyike?
Pamoja na ushindani wa kibiashara uliopo kati ya makampuni ya simu. Lkn TTCL wanaweza kuongea na Voda/Tigo/ Airtel mtu uwe na uwezo wa kununua muda wa maongezi kwa kutumia Tigo Pesa au M Mpesa.
Kwa hiyo mtu ukiwa na Tigo pesa unaweza kununua muda wa Maongezi wa TTCL
 
Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.

Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:

1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.

Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.

2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.

Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.

3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.

Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.

Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonana na mama ana sura ngumu.

Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nikamtukana kwa sauti ya chini. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.

Nilichotaka kumwambia afisa masoko
Nilitaka nimwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
TTCL wanatumia vitambulisho vya Chuo badala ya NIDA?,sijaelewa kidogo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaaa nafikiri distribution yao imekuww ngumu. Wafanyabiashara wengi hawapendi kuuza vocha zao kwa sababu mzunguko wake ni mdogo. Unaweza kukaa siku nzima hakuna mteja hata mmoja anaulizia vocha zao.
Nini kifanyike?
Pamoja na ushindani wa kibiashara uliopo kati ya makampuni ya simu. Lkn TTCL wanaweza kuongea na Voda/Tigo/ Airtel mtu uwe na uwezo wa kununua muda wa maongezi kwa kutumia Tigo Pesa au M Mpesa.
Kwa hiyo mtu ukiwa na Tigo pesa unaweza kununua muda wa Maongezi wa TTCL
Mkuu kununua salio kutoka Tigo Pesa, M Pesa, Airtel Money na Halo Pesa kwenda T Pesa sio tatizo.
Tatizo hiyo hela kufika kule T PESA balaa ikiganda hewani utajuta
 
Mkuu kununua salio kutoka Tigo Pesa, M Pesa, Airtel Money na Halo Pesa kwenda T Pesa sio tatizo.
Tatizo hiyo hela kufika kule T PESA balaa ikiganda hewani utajuta
.. unanunua muda wa maongezi.. kwa hiyo unatumiwa number kama unavyotumiwa VOCHA za LUKU.Wewe kazi yako ni kuingiza tuu no (Kama LUKU inavyofanya kazi)
 
rudi nyumbani kumenoga..
niliwahi kwenda ofisini kwao maeneo ya kariakoo (zanzibar) kupeleka malalamiko juu ya kupatikana kwa huduma zao.
Niliambiwa ifikapo mwezi oktoba 2018 takribani maeneo yote ya zanzibar yatafikiwa na huduma ya TTCL.
leo ni febuary 2020 hakuna kilichobadilika.
nikiwa mjini natumia TTCL vizuri sana ila nikivuka mji natoa line yao naweka halotel.​
 
Vocha unanunua kwa tigo pesa.

Kwangu uko poa tu naweza jiunga siku gb 4 shilingi 1000

Labda tatizo ni kukisekana kwa network tu maeneo mengi.
 
rudi nyumbani kumenoga..
niliwahi kwenda ofisini kwao maeneo ya kariakoo (zanzibar) kupeleka malalamiko juu ya kupatikana kwa huduma zao.
Niliambiwa ifikapo mwezi oktoba 2018 takribani maeneo yote ya zanzibar yatafikiwa na huduma ya TTCL.
leo ni febuary 2020 hakuna kilichobadilika.
nikiwa mjini natumia TTCL vizuri sana ila nikivuka mji natoa line yao naweka halotel.​
Tembea kifua mbele
 
Back
Top Bottom