Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

kaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.

Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
Kama kufungua duka tu
 
 

Attachments

  • IMG_0543.jpeg
    121 KB · Views: 9
 

Attachments

  • IMG_0541.jpeg
    196.3 KB · Views: 7
Dada mtamu yule, i missed those days
 
Yupi aliyetambaa hapo sasa, Harmonizer au huyo queen sheba?
Nataka nifahamu sawa sawa ili niongeze credit za kupondea.
 

Taarifa za hivi zinanihuzunishaga sana.Tuwaombee waimbaji nyimbo za injili,hasa hasa wakike

Kumbuka Lucifer alikuwa ni malaika kiongozi wa kuimba kule mbinguni.akajiona anabanwa na Mungu,akasema kwani sh.ngapi bhana! akataka kuwa kama Mungu

ni sura hiyo hiyo tunayoiona kwa waimbaji wengi wa nyimbo za injili pale huduma zao zinapoinuliwa .Ndiyo maana usipotambua kwamba ukiwa mwimbaji wa nyimbo kuasi huwa ni jamboa la haraka sana pale huduma yako inapokuwaga kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…