Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Boda yupo upande wake Ila huyo wa gari akahama lane akaja kwa boda laneNi mafuta kutoka tenki la pikipiki.
Alafu hivi wachangiaji mnaona gari lipo lane gani? Kwa akili zenu huyo boda na hilo gari nani yupo upande wake ???
Hiyo gari ingekuwa speed kama ya pkpk isingesimama hapo, ingekutwa porini tayari nayo.Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Angalia vzuri mkwaruzo nyuma ya gari, means gari baada ya kugonga iliburuza hiyo pikipiki mita kadhaa, angalia historia/chanzo ya tukio lilikotokea kwa kuangalia nyuma ukiangalia nyuma utaona gari ilimchapa Boda ikiwa mahala pake aidha alikua ana overtake na kuhama kwa hiyo gari ni matokeo ya kugonga. Hii ni kwa mujibu wa kusoma picha, naweza kuwa siko sahihi pia maana sikuona tukio.Boda yupo upande wake Ila huyo wa gari akahama lane akaja kwa boda lane
Kuna watu wengi sana hawawezi kuielewa hii picha kiundani, kwamba mwenye makosa ni dereva wa gari.Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Ukiangalia Alama za barabarani inaonesha eneo linaruhusu ku overtake kwa hiyo inawezekana gari Ali overtake ghafla akakutana na afisa ambae alikuwa mwendo Kasi sana ila kwa yote gari iko upande wa bodaKuna watu wengi sana hawawezi kuielewa hii picha kiundani, kwamba mwenye makosa ni dereva wa gari.
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Walikuwa wanashindana wawili. Jamaa wa gari alikuwa na wageni. Kuona vile akasimama wenyewe wakaja kutua kwenye gari. Mambo ya Arachuga hayoUnajua sijaelewa,kwa hiyo hapo kwenye ajali dereva wa hiyo Hard Top Land Cruiser alirushwa kwenye carrier juu akafa na boda akaingia mvunguni?
Au ni abiria wa pikipiki alirushwa hapo kwenye carrier?
afisa usafirishaji ndio alikua anapaa kwa physics yangu ya form 3 gari ingekua nduki io boda isingekua hapo angalau leo nimepata pakuelezea masuala ya inelastic and elastic collisions 😁Gari ilikuwa inapaa au
CCM inataka kuwamaliza waendesha boda boda kwa ajali wananchi tunashauri waondolewe barabarani CCM inasema ni wapiga kura wetu
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Kuna mkwaruzo nyuma ya gari kuonyesha ametoka na wahanga kwenye site yake mpaka hapa iliposimamia.Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Bodaboda ndo wanaongoza Uvunjifu wa Sheria Barabarani Kwenye Bams kasi kama yote Ukivuka anavuka na wewe, Wanapovunjika mkono malizieni na mwingine
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.