Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

Apo afisa usafirishaji alikua kibati akakutana na land cruser imeovatake mwendo wa ngiri mkia juu wakalambana ila lawama kabebeshwa afisa usafirishaji wakati mwenye makosa ni wa gari.... alisikika chalii wa r akisema
 
Tunaweza kutoa maoni ya kila namna ila ijulikane tokeo la mwanadamu yoyote juu ya ardhi hii sio la bahati mbaya, kwa maana hio hakuna yoyote ambae hana thamani kati ya vyote vyenye uhai.

Haidhuru ni namna gani uhai umekoma ila jema na busara ni kutoa matashi mema kwa wote wanaguswa ama kukutwa na kadhia ya namna hio.

Kwa vile uhai tumedhaminiwa na aliye tudhamini ambae ni Mungu kwa imani zetu tulio wengi, huyo Mungu amjalie roho yake mahali palipo pema, na kuwajalia ndugu jamaa na rafiki wepesi wakumaliza msiba wa ndugu yao salama na walio kuwa wategemezi wa marehemu wajaliwe pia faraja na tumaini na namna nyingine ya kufanya maisha yao.
 
Apo afisa usafirishaji alikua kibati akakutana na land cruser imeovatake mwendo wa ngiri mkia juu wakalambana ila lawama kabebeshwa afisa usafirishaji wakati mwenye makosa ni wa gari.... alisikika chalii wa r akisema
Man hebu mgee chalii mavaga ili amwage stori ilivyokuwa aiseee, ukute wanazi wanalonga ulongo tu hapa uwanjani 😃!.
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Magufuli ndo wakulaumiwa.
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Hii gari ilikuwa aje iko upande wa warudio?
 
Duh aiseee hatari sana.
Na hii vipi?
IMG_20240410_203925.jpg
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
kwamba iyo ngao hapo mbele ya cruser imepinda kabisa, kumbe ni laini tu? yote katika yote, Biblia inasema "heri wafu wafao katika Bwana asema Roho maana matendo yao watafuatana nayo". Tunaishi tu, ila kama twaishi basi tuishi kwa Bwana na kama twafa basi tufe katika Bwana. Ukifa ukiwa umeokoka una heri, utaenda uzimani, ukifa bila kutengeneza mambo yako na Mungu ni motoni moja kwa moja.
 
Hakuna haja ya kusikitika.
Pogezi kijana, mwendo umeumaliza
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Ona na hii..
 

Attachments

  • IMG-20240410-WA0015.jpg
    IMG-20240410-WA0015.jpg
    189.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom