Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu ni ngumu sanaMbona gari imeharibika sana licha ya kuwa na ngao?
Man hebu mgee chalii mavaga ili amwage stori ilivyokuwa aiseee, ukute wanazi wanalonga ulongo tu hapa uwanjani 😃!.Apo afisa usafirishaji alikua kibati akakutana na land cruser imeovatake mwendo wa ngiri mkia juu wakalambana ila lawama kabebeshwa afisa usafirishaji wakati mwenye makosa ni wa gari.... alisikika chalii wa r akisema
Magufuli ndo wakulaumiwa.
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Kawaida tuDuh aiseee hatari sana
Hii gari ilikuwa aje iko upande wa warudio?
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
kwamba iyo ngao hapo mbele ya cruser imepinda kabisa, kumbe ni laini tu? yote katika yote, Biblia inasema "heri wafu wafao katika Bwana asema Roho maana matendo yao watafuatana nayo". Tunaishi tu, ila kama twaishi basi tuishi kwa Bwana na kama twafa basi tufe katika Bwana. Ukifa ukiwa umeokoka una heri, utaenda uzimani, ukifa bila kutengeneza mambo yako na Mungu ni motoni moja kwa moja.
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Unaweza kuchek dah!
Ona na hii..
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma vya hapo mbele (ngao), unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Hata wale kolokoloni,siku hizi wanaitwa 'security officers !! CCM kiboko sana!![emoji119][emoji2535]Ila ccm [emoji119] ety afisa usafirishaji
Huzuni sana lo