Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

🤣🤣🤣
 
Kwa utaratibu huu watazika wengi wakiwa hai. Kuna watu wanazimia macho yanageuka ile mboni haionekani kabisa itakuwaje?
 
Kwa utaratibu huu watazika wengi wakiwa hai. Kuna watu wanazimia macho yanageuka ile mboni haionekani kabisa itakuwaje?
Unataka kusema kuwa hizi jamii zetu zote za kiafrika zisizo na uthibitisho mkubwa wa kitaalamu bobezi huwa tunazika na tumeshazika wengi wakiwa hai?!!!

Kwa mantiki hiyo tusubiri muda gani ili tuzike?!! na kwanini muda huo?!!

Nijuavyo wengi hufia majumbani na katika hivi vituo vyetu vya afya.....
 
Kila binadamu kazaliwa akiwa muislam alafu wewe sijui unaongea nn
Ahaaa achana na kiba huyo,hizi dini zinatuchanganya sana,ukichunguza kiundani utakuwa chizi
 
Kama huna uthibitisho wa kitaalam ni wazi kuna nafasi ya kuzika mtu hai.
 
I really like the way you argue your points. Open minded and well balanced
 
Dah we jamaa weww uko vizuri
 
Hivi wewe hukuona yule mchezaji alyefariki Kagera mchezaji moyo umezima badala ya kumpa CR wanamnyanyua miguu utasema kasema kabwanwa na muscles kijana akazimika kimoja.
 
Mzee abdallah alizimia siku 3 ...ustadh mmoja akaamuru mzee atolewe kitandani aoshwe na aswaliwe sala ya mayyit....wakati tunampeleka mzee abdallah kumzika akiwa ndani ya jeneza si akakohoa na kupiga chafya..aisee watu tulipoteana kwa kukimbia tukamuacha mzee abdallah ndani ya janayza....
 
Hii inshu sio kwa waislam tu hii inahusu jamii zote zakimasikini. Kama hamna huduma za afya afya za uhakika kuzikana wazima wazima ni jambo la kawaida ata ulaya miaka hiyo walikuwa wanazikana wazima had wakaanza kuweka kengere kwenye makaburi.
 
Hii inshu sio kwa waislam tu hii inahusu jamii zote zakimasikini. Kama hamna huduma za afya afya za uhakika kuzikana wazima wazima ni jambo la kawaida ata ulaya miaka hiyo walikuwa wanazikana wazima had wakaanza kuweka kengere kwenye makaburi.
Umesema kweli.
 
Hospitali kubwa kama Muhimbili haipimi ubongo wagonjwa wa ICU hìi ni hatari sana kwa usalama wa wagonjwa.Wanaweza peleka mortuary huku angali mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…