Nakupa Siri Sasa mama enu Hana NGUVU watanganyika waliopo serikalini wanasubiri tu wakulianzisha, na Kwa taarifa Sasa MAJALIWA atachukua form 2025 na mama enu atarud paje zenjiSauti yake haina nguvu kuliko waraka wa kanisa
Alijisemea: " Raisi yupo anachapa kazi"
Nguvu ya ccm huonekana kwenye matukio kama haya.
OkNakupa Siri Sasa mama enu Hana NGUVU watanganyika waliopo serikalini wanasubiri tu wakulianzisha, na Kwa taarifa Sasa MAJALIWA atachukua form 2025 na mama enu atarud paje zenji
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Hata akiachia atakula posho maisha yake yote🤣🤣🤣Mpaka 2025 hy akale posho yake ya maisha
Mnataka rais aonekane magomeni? au kariakoo?🤣🤣🤣🤣Asepe tu si huyu ni muongo aliongopea watanganyika kua JIWE ni mzima yuko ofisni anachapa kazi.kumbe kakufa
Waziri mkuu anaacha walimu wakilalamika ilhali naye alikuwa mwalimu.Any way mchawi wa mwalimu ni mwalimu🤣🤣🤣Majaliwa siyo mtu wa hovyo.
We bibi una udini sana aiseeHata kwenye kamati ya wasemaji wa dp sijamsikia akitajwa.
Hao ni wale walio upande wa TEC, ajiweke tu sawa kiakili, maisha bado yapo
SidhaniKadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Lowassa anajimudu yulee, ndo maana aliacha ngazi kirahisi. LolAliweza Lowassa Ila Kassim Atatulia Mpaka Amalize Muda Wake
Hawezi Kwenda Mtwara Kununua Kangamba Haraka Haraka
Kwan yeye Prezo hajui hao kina Anzory walipoo??Hapana. Ameabiwa akae kama Shadow worker, ili astaafu salama akalime.
Kitaalam akiachia ataruhusu Sheria imdake na kugunguliwa mashtaka kadhaa. Mf anajua wakina azori walipo ataitwa akajibu
Yaan hadi ajabu kwa kweli, khaaahSawia!... Kitendo cha kumchagua kaimu "Waziri Mkuu" tena mwenye portfolio nyingine ni kiashiria tosha kuwa.... Hamkani!... Lakini si shwari tena. Yanayoendelea kiutawala kwa sasa hakuna tofauti na management za Simba na Yanga. [emoji24]
Sasa Dotto nae ana nn cha ajabu?? Hebu mtuache bhana wee.Kiranja lazima awe mkali kwenye kuwasimamia walio Chini yake.
Mama kachoka kuona kila siku wizi, ubadhirifu, kusuasua kwa miradi.
Doto nanda kaongeze nguvu ya ufuatiliaji lakini ukali na kuchukua hatua haraka kwa yeyote anaye yumbisha mambo
Wee unadanganyaa hapa, huijui vizuri nguvu ya Rais ktk nchi hii, muulize Ndugai.Nakupa Siri Sasa mama enu Hana NGUVU watanganyika waliopo serikalini wanasubiri tu wakulianzisha, na Kwa taarifa Sasa MAJALIWA atachukua form 2025 na mama enu atarud paje zenji
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Katelephone akiziunga upinzani wawe na ummoja wao wamsimamishe kama mgombea 2025 maza ataangushwa mbaya maana amechoka mbaya ndo maana anaanzisha wizara mpya baada ya bajeti ya mwaka wa fedha