Hukumu ya Sabaya yaweza kuwapa wananchi kiburi ya kuibua tuhuma zingine kwa wateule awamu ya 5 na hata ya 6.

Baba yake Sabaya alisema wafungwe walime usiku na mchana na wale wavivu wapigwe mateke! Hili suluhu ya gharama ya kuwalisha. Wacha mtoto akatekeleze maagizo ya baba kwa vitendo.
Alafu kumbe babake Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC.
 
Baba yake Sabaya alisema wafungwe walime usiku na mchana na wale wavivu wapigwe mateke! Hili suluhu ya gharama ya kuwalisha. Wacha mtoto akatekeleze maagizo ya baba kwa vitendo.
Alafu kumbe babake Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC.
 
Mahakama na upelelezi si utawawek huru kama hawahusiki??
 
Baada ya Sabaya kufungwa?? Mtasema yote.
 
Kama mlitenda dhambi mkae kwa kutuliia, dhambi inakutafuna
 
Shida iko wapi? Tuhuma zisipothibitika mahakamani watuhumiwa wataachiwa huru. It's that simple
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…