Hukumu ya "Waliotumwa na Afande" kutolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024

Ni kwel, mimi mzee wangu enz akiwa na influence mkoa mmoja hapo nyanda za juu kusini magharibu, baba mdogo alikuhukumiwa jela ila akawa analala home, gerezan ilikua analala mara moja moja sana mpaka siku anamaliza kifungo, ila ndio alikua full time ndani
 
Alaf huyu wa mbele ndio alikuwa ananyonywa dude akataka kumpiga na chupa binti wa watu jaman
 
Endapo kama Maelezo haya yana Ukweli, Basi naamini kwa dhati kabisa kwamba wataachiwa huru hao watuhumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…