Humphrey Polepole adaiwa na Mwana-CCM kushiriki kuhujumu Katiba ili Samia asiwe Rais

Humphrey Polepole adaiwa na Mwana-CCM kushiriki kuhujumu Katiba ili Samia asiwe Rais

Nadhani ni muhimu ajisafishe kabla ya hao wabunge hawajaja hadharani, nasikia wanafanya vikao vya kumuumbua, wanazo SMS na walikuwa wanamrekodi.

Ni wale waliogombea 2020
Nawewe uliombwa?au mnataka kumchafua Polepole kwa sababu ya anawaumbua kwenye shule yake ya uongozi? Mambo ya kuombana ngono pelekeni chadema, Maana wabunge wa viti maalumu Ndio waliisha lalamika hadi bungeni,Mwacheni Polepole.
 
Nawewe uliombwa?au mnataka kumchafua Polepole kwa sababu ya anawaumbua kwenye shule yake ya uongozi? Mambo ya kuombana ngono pelekeni chadema, Maana wabunge wa viti maalumu Ndio waliisha lalamika hadi bungeni,Mwacheni Polepole.
Anayechafuliwa ni mtu msafi, Polepole hana usafi wowote, mnafki mla rushwa mkubwa, ukiacha hizo rushwa za ngono amechukuwa cash kwa wagombea majimbo ili awatete kwenye vikao vya kamati kuu na wengi waliamini alikuwa na ushawishi kwa mungu marehemu mwendazake.
 
Pole ana tatizo. Alikokuwa kabla ya kuingia chama alilazimishwa kuandika harua ya kijiuzulu kwa shida hiyo hiyo.
Yeye anasema alijiuzulu.

Ni swala la muda tu watu wamemstahi sana.
 
Anayechafuliwa ni mtu msafi, Polepole hana usafi wowote, mnafki mla rushwa mkubwa, ukiacha hizo rushwa za ngono amechukuwa cash kwa wagombea majimbo ili awatete kwenye vikao vya kamati kuu na wengi waliamini alikuwa na ushawishi kwa mungu marehemu mwendazake.
Nimekuuliza wewe ni mmoja wao ambao waliombwa?na Je, mbona hatujawai kusikia habari hizo Kabla ya kuanza shule ya uongozi? Polepole kwanza ni mcha Mungu acheni siasa zenu za maji taka, zilizokuwapo enzi za Kikwete,tulitulia miaka 5 sasahivi naona mmeanza tena,amtashinda kamwe
 
Pole ana tatizo. Alikokuwa kabla ya kuingia chama alilazimishwa kuandika harua ya kijiuzulu kwa shida hiyo hiyo.
Yeye anasema alijiuzulu.

Ni swala la muda tu watu wamemstahi sana.
Inaonekana unamfahamu kidogo, kwani jamaa ana umri gani? Hili swala linanisumbuwa muda mrefu sana ni mzee au kijana?
 
Nimekuuliza wewe ni mmoja wao ambao waliombwa?na Je, mbona hatujawai kusikia habari hizo Kabla ya kuanza shule ya uongozi? Polepole kwanza ni mcha Mungu acheni siasa zenu za maji taka, zilizokuwapo enzi za Kikwete,tulitulia miaka 5 sasahivi naona mmeanza tena,amtashinda kamwe
Labda yule mungu wa chato ndio anayemcha yeye.
 
Labda yule mungu wa chato ndio anayemcha yeye.
Wewe ni Chuki tu ndizo zinazokuongoza, naona Polepole alikata kina lako ndio maana unamchukia, mlikuwa mmeishageuza ccm kama mali ya Baba yenu, Polepole walivyowakata mkamjengea bifu,ni hilo tu
 
Kwanini wamengoja ameondoka madarakani??, Ilikuwa inanoga kipindi hicho eenhh?!!, sasa hivi ndo wanamlalamikia.Huku ni kuchafuana waziwazi.
 
Nadhani ni muhimu ajisafishe kabla ya hao wabunge hawajaja hadharani, nasikia wanafanya vikao vya kumuumbua, wanazo SMS na walikuwa wanamrekodi.

Ni wale waliogombea 2020
Hawezi kanusha huyo mtu aliyelipwa mamilioni ya walipa kodi akazunguuka tz nzima kukusanya maoni ya katiba ya warioba baadae anasema subir kwanza?
DARASA gani la uongozi mpuuzi tu huyo
 
Kwa kuwa tu kawak
Nadhani ni muhimu ajisafishe kabla ya hao wabunge hawajaja hadharani, nasikia wanafanya vikao vya kumuumbua, wanazo SMS na walikuwa wanamrekodi.

Ni wale waliogombea 2020
Kwa kuwa tu kawakamata na hoja nzito za shule ya uongozi,basi mmempa tayari kashifa.Kutojibu pia ni siraha kwenu mazombi.
 
Back
Top Bottom