Kama walimpa wenyewe kuna kosa gani. Mtu mzima alazimishwe ngono akae kimya halafu aibuke baadae!Nadhani ni muhimu ajisafishe kabla ya hao wabunge hawajaja hadharani, nasikia wanafanya vikao vya kumuumbua, wanazo SMS na walikuwa wanamrekodi.
Ni wale waliogombea 2020