Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

Wewe sio Mpuuzi ila hujui ukiacha Jafu niliemsahau ila wengine hao hawakuwa kwny Cabinet ila utabisha kwa kuwa hujui Naibu sio Member wa Cabinet nami niliongelea Cabinet kwa makusudi kwa kuwa nilijua kama Ww mpo wengi mtaokuja na hao Manaibu
Kwa hiyo ndo maana hiyo bibi yenu ndo kaamua kutoa mawaziri wore wakiristo kama Medard Kalemani,faustine Ndugulile,Paragamba Kabudi,William Lukuvi akaweka waislamu vilaza kama Makamba!
 
Huenda kweli nina ufinyu wa ufahamu!

Asante kwa hilo!

Haya nitajie hao wasukuma 10 kwenye cabinet ya magufuli

Usiseme tu wasukuma walikua wengi, wataje!
 
Kaharibu hii nchi kwa zaidi ya 90%
 
Huenda kweli nina ufinyu wa ufahamu!

Asante kwa hilo!

Haya nitajie hao wasukuma 10 kwenye cabinet ya magufuli

Usiseme tu wasukuma walikua wengi, wataje!
Huyo Pimbi hatakwambia kitu maana anachuki na wasukuma! Hana cha kuwafanya na wanamzidi kila kitu!
 
Alipokuwa anafanya hayati haikua vibaya. Polepole bado hajakubali yaishe.
 
Sijamtetea magufuli, labda kama hujanisoma vizuri!

Hivi mbunge wa kisarawe kuongea kizaramo na wananchi wa kisarawe ni ukabila?
 
Mkwere
Huyo Pimbi hatakwambia kitu maana anachuki na wasukuma! Hana cha kuwafanya na wanamzidi kila kitu!
Mie Mke wangu mdogo Msukuma na ninampenda sana

Mie jitu likiwa Jinga jinga nalichukia hata kama litakuwa Mkwere
 
Polepole Wa sasa Ni yule Wa katiba ambaye Ni tofauti Na Wa katiba mpya, simkubali jamaa Ila alichoongea kinaukweli, naona members wengi mnamjadili mtu badala ya hoja yake.
 
Hivi Tanzania mtu pekee aliyekuwa na akili timamu ni mwalimu pekee?
Kwa kweli, Ibaki hivyo tu ,, hawa MaCCM yaliobaki yote akili zao hazina akili, wanapuyanga tu kama kuku aliekatwa kichwa.
 
Polepole wewe humjui! Ni mtu anayeongea ukweli! Issue ya mapungufu yake muachane nazo! Kaongea kweli uchifu ni ujinga wa hali ya juu sana
Hakuna lolote ni hasira tu za kukosa madaraka makubwa ndani ya chama na serikalini,inamaana wakati wa Magufuli kulikuwa hakuna kasoro yoyote? Mbona hatujasikia kelele kelele zake.
Sasa wewe ndio inaonekana humjui yule ni njaa ya madaraka ndicho kinachomsumbua.
 
Yaani huwa sielewi wanaomsifu kumbe kaacha nyumba za tembe tupu
Nyerere Katukosea sana pale alipoitengeza katiba mwaka 77 ili iwe ya Chama dolla.. alikengeuka kwa kweli, na maujinga mengi aliotuletea,
Lakini bado haya MaCCM chumia tumbo anayacha mbali sana.
 
Ulitaka awe nani? Maana kama ubunge aliteuliwa na Magufuli! Na kwenye baraza hakumteua!
 
Sijamtetea magufuli, labda kama hujanisoma vizuri!

Hivi mbunge wa kisarawe kuongea kizaramo na wananchi wa kisarawe ni ukabila?
Huo ni ukabila, tena kipindi cha Nyerere ambaye Polepole anam refer hiyo ingeweza kukuondoa.
Na Magufuli alikuwa kiongozi wa kitaifa sio mbunge
Otherwise hoja ya Polepole ina mashiko na muhimu sana

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
CCM wote mnaokosa fursa ndio mlivyo, hata nape na January walitoswa na jiwe walianza nongwa.
Mjifunze nyie watu wa ccm
 
Ulitaka awe nani? Maana kama ubunge aliteuliwa na Magufuli! Na kwenye baraza hakumteua!
Si bado alibakia na uenezi CCM sasa mama angemuachia uenezi au kumpandisha kuwa naibu katibu mkuu unafikiri ungesikia kelele, ingekuwa ni kusifu na kuabudu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…