Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchifu ni mila na tamaduni zilizopitwa na wakatiHuyu jamaa ni boya sana ana very low IQ.
Ni fact ya wazi kwamba ma-chief walikuwepo kabla ya Tanzania na bado wapo. Hatuwezi kukataa ukweli kwa uoga wa mambo tusiyoyajua. Iko bayana relevance yao sasa ipo kwenye kuifadhi na kudumisha mila na tamaduni zetu nzuri.
Nani mwenye ubavu wa kushindana?MY TAKE:
Urais ni Taasisi. Polepole hauna ubavu wa kushindana na taasisi.
Kweli kabisa! Ujinga wa hali ya juu uchifu ni ushirikina wa hali ya juu! Haya mambo huko nyuma yametesa watu sana! Kuna baadhi ya jamii chifu alikuwa akifa lazima azikwe na mabinti hai wawili! Sasa mnataka kuturudisha huko kwenye zama za ujinga!Yuko sahihi Uchifu unatusaidia nini?
Swali zuri sana...Hivi Tanzania mtu pekee aliyekuwa na akili timamu ni mwalimu pekee?
Polepole wewe humjui! Ni mtu anayeongea ukweli! Issue ya mapungufu yake muachane nazo! Kaongea kweli uchifu ni ujinga wa hali ya juu sanaPolepole anaumia toka yule mungu wao afe sasa amebaki kuropoka ovyo asipoangalia atapata ukichaa kabisa.
No mantiki hapa ni je Uchifu ambao ni ukabila unatuunganisha au unatugawa!??? Mwanasiasa anapopita kuwatafuta anatafuta nini?Polepole akae kwa kutulia, Watemi ndio asili yetu waafrika huwezi uasili kwahiyo yeye hataki asili yetu mila na tamaduni zetu. Sio yeye huyu kipindi cha JPM alikua anasema tusiwasikilize mabeberu. Tutawakataache mabeberu kama na mila zetu tunazikataa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwa sasa mkuu watu wapo kutetea kila ujinga unaofavywa na mkuu mfano Ndugai kakosoa juu ya madeni juzi hapa badala ya kutafakari alichosema anasakwamwa tu!No mantiki hapa ni je Uchifu ambao ni ukabila unatuunganisha au unatugawa!??? Mwanasiasa anapopita kuwatafuta anatafuta nini?
Suala la kubadili katiba sio suala la mtu mmoja..ni suala la kitaifa kila mwananchi aone umuhimu huo..hata wanasiasa wanatambua hili..shida ni maslahi yao binafsi hii katiba inawapa nguvu kubwa ya kuchuma mali na kujineemesha.Sasa nyingi wenye akili mbona mmshindwa kubadili katiba hiyo mbaya? Miaka zaidi ya 20 Mwalimu Nyerere hayupo duniani wenye akili mmeshindwa kubadili hiyo katiba mbovu? Nadhani Nyerere alikuwa na akili nyingi kuliko nyie mlio jaa mapambio tu halafu vitendo zero. Kenya jirani zetu walikuwa na katiba mbovu kama hii ya Tz lakini wao waliweza kubadili katiba yao miaka zaidi ya 10 iliyopita ila sisi wadanganyika tunaojidai tuna akili kuliko Nyerere tumeshindwa kubadili hiyo katiba. UNAFIKI WA TZ UPO KUANZIA CMM HADI VYAMO VYOTE VYA UPINZANI NA NDIYO MAANA HIYO KATIBA HATUTAIPATA LEO WALA KESHO MPAKA TUTAKAPOACHA UNAFIKI NA KUSIMAMIA IKIBIDI KUUFIA UKWELI NA HAKI.
Tumeshamwambia hangaya. Kama hasikii tutaongeza sauti. Tulizika siku nyingi eti kila kabila lina chifu. Kwanza jiulize neno chifu ni la kabila gani kama si kingereza cha wakoloni. Gawa ili utawale ndio kanuni ya wakoloni. Kuna kabila nyingi tu chifu waliwekewa na ukoloni.Humphrey Polepole amesema kuwa
"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"
View attachment 2104792
Kutambua uwepo wa Machifu kwa shughuli za kimila au kujaza kwenye cabinet watu wa 'kwenu' na kupeleka kila mradi 'kwenu' bila ya kufuata taratibu kipi kinachochea Ukabila?
Kuna wakati Bosi wake Polepole alisimama kusikiliza kero za Wananchi pale Kimara Mama mmoja akalalamika kuhusu kutepeliwa na Mhasibu wa Kikoba Chao, Mheshimiwa Mzalendo aliposikia jina la Mhasibu ni Mama Mushi akahoji sasa nyie na akili zenu ilikuaje mkamuamini 'Mama Mushi' aweke fedha zenu?…Pole pole hakukemema lugha zile
Kinachomshawishi Polepole kuwa na hayo 'Mawazo mazuri' sie na yeye anakijua lakin sio Uzalendo wala mapenzi kwa Nchi!
Polepole bado haamini kilichotokea
Taasisi inaamua tu kumpuuza, ikiamua asubuhi tu Polepole na sisi tunaweza kukuta habari kwa 'Milad ayo' kwa hiyari yake kapeleka barua kwa Bw.Daniel Chongole kujivua uanachama wa Ccm na automatic akawa si Mbunge
Kanyofolewa Spika na kila kitu kinaendelea!
Kama anataka kukosoa sana arudi zake Femina alipookotwa
'…Katushindwa wakati wa Gof father wake…atatuweza leo kabaki Yatima…' mwisho wa kumnukuu Muhuni mmoja
Tafakari kati ya wewe na Polepole nani boya? kwanza wewe na ID yako feck hapa nani anakujua?Huyu dogo boya sana
Ukabila unao wewe ambaye ulizoea kuiba mali ya serkali ulipobanwa ukaona anachuki na ukabila fulani! Nyie tunawajua wenye vifua vikubwa na miguu kama fito! Wapuuzi sana nyie!Mpuuzu mkubwa hiki kiroboto, mwendazaake alipokuwa anendesha nchi kikabila mbona hakusema!
Vijitu kama hivi ni vya kudharau milele
Hiyo miradi iliyoenda chato na haikufanyika kwingine ni ipi?Kutambua uwepo wa Machifu kwa shughuli za kimila au kujaza kwenye cabinet watu wa 'kwenu' na kupeleka kila mradi 'kwenu' bila ya kufuata taratibu kipi kinachochea Ukabila?
Kuna wakati Bosi wake Polepole alisimama kusikiliza kero za Wananchi pale Kimara Mama mmoja akalalamika kuhusu kutepeliwa na Mhasibu wa Kikoba Chao, Mheshimiwa Mzalendo aliposikia jina la Mhasibu ni Mama Mushi akahoji sasa nyie na akili zenu ilikuaje mkamuamini 'Mama Mushi' aweke fedha zenu?…Pole pole hakukemema lugha zile
Kinachomshawishi Polepole kuwa na hayo 'Mawazo mazuri' sie na yeye anakijua lakin sio Uzalendo wala mapenzi kwa Nchi!
Polepole bado haamini kilichotokea
Taasisi inaamua tu kumpuuza, ikiamua asubuhi tu Polepole na sisi tunaweza kukuta habari kwa 'Milad ayo' kwa hiyari yake kapeleka barua kwa Bw.Daniel Chongole kujivua uanachama wa Ccm na automatic akawa si Mbunge
Kanyofolewa Spika na kila kitu kinaendelea!
Kama anataka kukosoa sana arudi zake Femina alipookotwa
'…Katushindwa wakati wa Gof father wake…atatuweza leo kabaki Yatima…' mwisho wa kumnukuu Muhuni mmoja