Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

Ukabila pia ujue hautambuliki kiserkali ila upo! Endelea kuunga mkono wewe unadhani kama vikabila vidogo hapa Tanzania si vitabaguliwa sana maana makabila makubwa yatahodhi ajira na nafasi nyeti kwa kubebana!
Makabila yanatambulika ila ukabila ndio unapigwa vita..

Machifu wanatambulika kwenye jamii kama nilivyoyaja hapo juu ila hauko kwenye mfumo rasmi wa uongozi.

Sasa kuna shida gani hapo? Aukwa vile msiyempenda Kaja 😃😃😃

2738144_JamiiForums764709745.jpg
 
Huyu jamaa ni boya sana ana very low IQ.

Ni fact ya wazi kwamba ma-chief walikuwepo kabla ya Tanzania na bado wapo. Hatuwezi kukataa ukweli kwa uoga wa mambo tusiyoyajua. Iko bayana relevance yao sasa ipo kwenye kuifadhi na kudumisha mila na tamaduni zetu nzuri.
machifu si ndo hao hao walioshirikiana na wakoloni kuzinyonya nchi za kiafrika kwa leo bado tunataka kurudi kwenye uchifu ili utusaidie nn.wenzetu wanakimbizana na mifumo ya kisasa ambayo pia ni ya kinyonyani ss tunawaza machifu.tujikite kwenye sayansi na teknolojia yake ili taifa liondokane na unyonyaji wa mifumo kutoka nje.machifu hawana tija,tuna mambo mengi ya kitaifa tunatakiwa kuyajadili ili tutoke hapa tulipo na tusonge mbele.tuachane na hizi minor issues.tuna mambo lukuki ya kujadiliwa kwa sasa lkn machifu si kipaumbele cha taifa letu.
 
Hiyo miradi iliyoenda chato na haikufanyika kwingine ni ipi?

nitajie mawaziri 10 wasukuma kipindi cha magufuli! Hii myth haipo kipindi hiki kuhusu waislamu? ni kweli?

kuhusu mama Mushi labda uamue kumpaka matope Magufuli ila watanzania wengi wana utani kama huo kuhusu ndugu zetu wachaga ni kama ilivyo kwa wasukuma na ushamba(watanzania tuna mazoea ya kutaniana labda utuambie wewe ni wa wapi)

hapa naona unajaribu kuipiga rungu hoja ya polepole badala ya kuijibu, na najua hii hoja isingetolewa na pro magufuli ungeijibu inavyotakiwa.
Hata mimi naamini Magufuli alikuwa anatania tu! Kuhusu miradi wakati wa Magufuli kila kona ya nchi kama ni hospital zilijengwa kama madaraja walijengwa na mpaka jana Tanzanit imefunguliwa! Pia upande wa kaskazini mwa nchi yetu wanajengewa daraja pale mto wami!
 
Hata mimi naamini Magufuli alikuwa anatania tu! Kuhusu miradi wakati wa Magufuli kila kona ya nchi kama ni hospital zilijengwa kama madaraja walijengwa na mpaka jana Tanzanit imefunguliwa! Pia upande wa kaskazini mwa nchi yetu wanajengewa daraja pale mto wami!
Hii myth ndio inajengwa sasa hivi kuhusu uislamu na Zanzibar usipofuatilia vizuri unaweza kuamini.
 
Tatizo nadhani tunaongelea Polepole Kasema na sio Kilichosemwa...., nadhani tukijikita kwenye nini kimesemwa na sio nani kasema tunaweza kuwa na mijadala yenye afya zaidi...

Nacho ni Pro and Cons za kuuutambua Uchifu kwenye Uongozi wa nchi..., sasa tunautambua vipi kama symbolically kila mtu akienda kwao na atambikie anavyotaka, au tunauweka rasmi kwamba wanapewa ruzuku ili kuendesha mambo yao; Au tunaanza kuwapa madaraka kwa kofia za uchifu wao..., au kila nikienda sehemu kufanya shughuli zangu lazima nione uongozi wa machifu wanipe baraka ?

Kwa haraka haraka karne hii sioni tija ya kuutukuza ingawa kila mtu kwa wakati wake anaweza aka-perform their cultural rituals (no need kama taifa / au wasiohusika kuhusishwa)
 
Makabila yanatambulika ila ukabila ndio unapigwa vita..

Machifu wanatambulika kwenye jamii kama nilivyoyaja hapo juu ila hauko kwenye mfumo rasmi wa uongozi.

Sasa kuna shida gani hapo? Aukwa vile msiyempenda Kaja [emoji2][emoji2][emoji2]

View attachment 2105026
Hatuhitaji kuwatambua machifu kwa sababu hakuna sababu hawana msaada wala mchango wowote katika maendeleo yetu. Kabila ni sehemu ya utambulisho wa mtu
 
Hivi Tanzania mtu pekee aliyekuwa na akili timamu ni mwalimu pekee?
Waliobaki wenye akili Humprey Polepole na Spika mstaafu Job Yustino Ndugai.

Mwalimu alishasahaulika tangu zama hizo. Mambo ya mwalimu siyo relevant kwa kizazi cha leo.
 
Shaka Hamdu(kutwa kusifia) naye atakua kama huyu(kutwa kukandia) siku akinyofolewa siyo
 
Hatuhitaji kuwatambua machifu kwa sababu hakuna sababu hawana msaada wala mchango wowote katika maendeleo yetu. Kabila ni sehemu ya utambulisho wa mtu
Wanatambulika kwenye jamii na sio kwenye mfumo rasmi wa kiungozo.

Sasa sijui nani kakwambia anataka kuwaingiza kwenye mfumo wa serikali naona unabwata.
 
Wanatambulika kwenye jamii na sio kwenye mfumo rasmi wa kiungozo.

Sasa sijui nani kakwambia anataka kuwaingiza kwenye mfumo wa serikali naona unabwata.
Wana mchango gani wa maana katika hizo jamii wanazotambulia?
 
Tatizo nadhani tunaongelea Polepole Kasema na sio Kilichosemwa...., nadhani tukijikita kwenye nini kimesemwa na sio nani kasema tunaweza kuwa na mijadala yenye afya zaidi...

Nacho ni Pro and Cons za kuuutambua Uchifu kwenye Uongozi wa nchi..., sasa tunautambua vipi kama symbolically kila mtu akienda kwao na atambikie anavyotaka, au tunauweka rasmi kwamba wanapewa ruzuku ili kuendesha mambo yao; Au tunaanza kuwapa madaraka kwa kofia za uchifu wao..., au kila nikienda sehemu kufanya shughuli zangu lazima nione uongozi wa machifu wanipe baraka ?

Kwa haraka haraka karne hii sioni tija ya kuutukuza ingawa kila mtu kwa wakati wake anaweza aka-perform their cultural rituals (no need kama taifa / au wasionhusika kuhusishwa)
Hilo ndilo tatizo kubwa, badala ya kujadili hoja watu wanaanza kumjadili mleta hoja. Kuna baadhi ya watu wala hata hawaeleweki wanataka nini.
 
Back
Top Bottom