Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

Huyo Jumbe Brown kala teuzi hivi karibuni kutoka kwa chief Hangaya, kwa hiyo anavyosifia jua analipa fadhila kwa kulamba teuzi.

Ila moyoni anajua fika kuwa huyo kilema hawezi kuwa sawa na jemedari Hayati John Pombe Magufuli.

Na hivi keshaanza kupumbazwa na kuongezewa miaka 2025 hatoboi.
 
Mbona Msukuma kaongea vyema?, iko wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hayuko sawa kichwani (Refer kwenye maandalizi ya Kumpokea Rais).

Second Mama Samia hana ushawishi kwa wananchi
 
Mbona Msukuma kaongea vyema?, iko wazi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hayuko sawa kichwani (Refer kwenye maandalizi ya Kumpokea Rais).

Second Mama Samia hana ushawishi kwa wananchi
Wakakusanya watu kuja kumpokea mtu aliyeshindwa hata kukutana na top officials wa USA? Hakika kodi za watanzania zinachezewa ipasavyo.
 
Dunia inaenda kasi sana ndo kusema Polepole nae siku hizi analialia mtandaoni... Ikulu anaona kwenye Tv tu
 
Jiwe huwezi mlinganisha ba mtu yeyotw ambaye ni titamu, labda kichaa. Sema ingekuwa kipindi cha jiwe taarifa zisingetoka. Mungu fundi sana
 

Huo ni mtazamo wao and they’re entitled to it. Tengeneza wewe clips zenye praise songs.

Achana na MBA, CPA. They all can be useless paper qualifications. Even fools with PhDs aren’t in short supply in this country!
 
Niseme tu kila uongozi kuna kundi Fulani linaguswa kwa uzuri na lingne ndo hivyo tena, kwa Mimi mkulima wa mbaazi,mahindi na choroko na sasa nasubiri korosho naweza sema hakuna kiongozi kama Samia kwa maana amefanya tuuze mazao yetu kwa bei juu haijawahi tokea tangu tupate Uhuru
 
Knowledge brings wisdom! Ungekuwa na knowledge usingeandika ulichoandika hapa.
 
Huyo Sizonje wenu dikteta uchwara yule aliyeruhusu machinga waweke vibanda mjini, ndiye mnamsifu na kumtukuza mtesaji yule mbaguzi wa hali ya juu?

Rais Samia anatufaa
 
Ninashangaa kuna watu wanamsifu dhalimu wa mazao ya wakulima aliyejificha kwenye kichaka cha mikwara na makelele. Mungu asante!
 
Mbona una mawazo ya kijima kiasi hiki mkuu! Una umri gani na wakaa mkoa gani Tanzanian?
 
Chuki binafsi kwa wanawake!!!
Pole yako
 

Bosi...unaposema linchi halifai kuwa ombaomba na kumuita mama dhaifu kwenye angle hiyo....JE RAIS GANI AMBAYE HAJAWAHI KUOMBAOMBA TOKA UHURU?
 
Kuna Mwingine Alishiriki Bunge la KATIBA akala na POSHO za Wananchi leo Anasema Eti Wananchi Wamemwambia hawataki KATIBA je yeye Kwenye Bunge la Katiba Alikwenda kufanya nini kama mwalilishi wa Wananchi? Viongozi TUACHE Unafiki
 
Sasa kinakuuma nini? Kwa kua wana maoni tofauti? Nyie endeleeni kubutua sera na itikadi ya ccm. Mnapanic kwa kua mumepata uteuzi wa mama? Ukweli mama is not a visionary leader na atatuvusha hadi 2025 ili tupate magufuli mpya. Ona chini yake mijizi mipigaji inarudi kurudia kurasa za midowans iptl epa mirichmond etc. Sasa wanataka kuuza tanesco wauziane hisa kwa bei bure baada ya uwekezaji mkubwa wa serikali. Wanavunaga mali za umma bila kuwekeza kitu.
 
Piga kazi Rais SSH, wewe ni Rais bora kabisa katika nyanja za demokrasia, utawala bora, uchumi na haki za binadamu.

Dhaifu huyo, hata yeye mwenyewe anajijua ndio maana kila mara anajificha kwenye jinsia yake.

Urais wa nchi unahitaji heavyweight brains sio umama umama na kujidekeza na kujisingizia ukike kike kila muda.

She is too weak to hold that office. I only see a very fat woman every time i look at her.

Hana ladha kabisa. Hajiwezi.
 
You are simply asleep…

Siku uki wake up ndio utamuelewa Polepole…

Tofauti ya sisi na hizo nchi za kimagharibi unazosema ni kwamba mabeberu wanazipenda nchi zao wameziendeleza….wewe nchi yako changa inajikongoja unamtegemea huyo beberu akutoe kwenye umaskini ndio maana unasiasa zisizofungamana na upande wowote, miaka yote ya uhuru na hizo siasa zako zimekufikisha wapi…mnazidi kushabikia watu waliopewa madaraka na kuprove failure kwa miaka yote tuliowaamini…CCM kilianzishwa na watu wazalendo na wenye uchungu na nchi ila it is very unfortunate kimekuwa abused na wachumia tumbo na weak people…We need an evolved human beings kuendesha hicho chama maana naona kinaendeshwa na the same minds zilizotuweka kwenye mess..wao nashauri wangekaa pembeni kabisa…zije akili mpya zinazojiamini…ushauri wao hauhitajiki tena we have the minds of our own…Mungu yupo pamoja nasi always…

Ukimwambia kiongozi abane matumizi gharama ni kubwa..vikao,semina,safari zisizozalazima tunawaumiza wananchi hakuelewi anakuita majina ya ajabu sijui diktekta…sasa wacha tule tozo mpaka akili ziamke..

Na mnukuu Raisi Mwinyi kwenye hotuba yake ya mazishi ya JPM…”kijana amefanya mengi kwa miaka mitatu yaliotushinda sisi miaka 40”….hujiulizi?! JPM sio malaika tofauti yake yeye ali wake up akapindua meza wachache sana walimuelewa ndio maana ikamuwia vigumu sana kuiendesha nchi ikawa km one man show..but he was so powerful alipambana kiume..narudia tena na tena..bado nchi hii ni changa inahitaji dikteta zaidi ya JPM…ili apush akili zilizolala tutoboe

Hizo theory ulizomezeshwa na cyllabus za wakoloni ukapata masters ya political science jitahidi utoke nje ya box uanze ku question mambo.. thank me later
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…