Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

Umeandika ukweli mtupu
 
🤣🤣Ok mkuu.....

Ila.......

Udikteta haujawahi kuwa suluhisho.....gharama kubwa mno huwepo katika kuulinda huko UDIKTETA.....madikteta huumiza "maswahiba zao"....na huumiza zaidi "wasio wao kimtazamo"......

Udikteta huviza fikra.....

Siku njema komredi👍
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Nonsense!

Sijui ulisomea ujinga. Sisi watanzania tunamuelewa sana mama yetu raisi Samia.

Chuki zako kwa serikali ya awamu ya sita zitakuua. Sisi watanzania wazlendo wa kweli tuko pamoja na mama yetu mpaka mwisho.
 
We mleta mada ndio mnafiki na mzandiki number moja, mama kafungulia nchi mwache pole pole aongee sababu yupo free, alafu kingine tuu nikuambie mtaani polepole tunamuelewa sana huwezi amini.
Ni wajinga na wanafiki kama polepole ndio munaomuelewa.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumuelewa huyo mnafiki polepole. Serikali aliyokuwa kiongozi mkubwa ilikuwa haikopi? Ilikuwa inalipa wapi? Hebu jibu hayo maswali kwanza.
 
Mnakosea sana kushutumu watu wenye mlengo wa uzalendo. Na nina kuhakikishia iwapo mtaendelea hivi, Mama hatoshinda 2025. Yale maneno ya CCM itamfia mikononi mwake (JK) yatatimia. Nyie badala ya kujikita namna mnavyotaka inchi iendelee kila kukicha ni kumdhihaki Dkt Magufuli. Nyie kila siku ni kutukana wafuasi wa mzalendo Dkt Magufuli (ambao basically ndiyo kundi kubwa lilichoshwa na dhuluma na vitendo vya rushwa ndani ya CCM). Sasa jiulize unadhani ni sababu gani mpaka leo Mama anadharaulika kwenye social media??? Ukiangalia tunaomtetea Mama tumebaki wachache, na tena mtaani ndiyo hawataki hata kumsikia. Kama nyie ni wajanja rudini mjipange na hizo propaganda zenu. Ahmed Salim iliwezekana kwa sababu social media hazikuwepo. Ila this time nakuhakikishia nchi haiwezi kuliwa na mchwa!
 
Ni wajinga na wanafiki kama polepole ndio munaomuelewa.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumuelewa huyo mnafiki polepole. Serikali aliyokuwa kiongozi mkubwa ilikuwa haikopi? Ilikuwa inalipa wapi? Hebu jibu hayo maswali kwanza.
Wewe ndiye uwezo wako wa kufikiria na hekima ni ndogo. Na inawezekana umri wako upo kwenye kubarehe. Hivyo hatukulaumu. Pole sana. Ila hoja za Polepole ni nzuri. Ndiyo maana hata Mama kwenye hotuba yake leo kagusia uzalendo. Ila mtu asiyeelewa kama wewe unadhani Mama ni mjinga. Na kwa taarifa yako, Polepole yupo nyuma ya Mama na hizo kazi anatumwa na Mama.
 
Mtoa hoja umenifurahisha ulivyotumia neno "Kakikundi"
 
Wewe
Wewe ni kila.za, una macho lakini pia huoni! Mama Samia akifika 2025 hakuna wa kumshinda! Kwanza ndiye atanyea mgombea pekee wa CCM! Upinzani kuna nani wa kushindana naye?!
 
Wewe kila.za hujui chochote, kojoa ukalale!
 
Nonsense!

Huna hoja yoyote..unaongozwa na hisia za chuki na mfumo dume.


Kwa performance ambayo raisi samia ameonyesha katika uongozi wake wa nusu mwaka..ameprove kuwa miongoni mwa viongozi bora kutokea katika nchi hii.
 
NDUGU YANGU UMETIRIRIKA VIZURI HATA MOYO WANGU UKAFURAHI SANA. GOD BLESS YOU. UKWELI NI MPUMBAVU KUPINDUKIA ASIYEFAHAMU MADHARA YA MACHINGA. UKIACHA HILO LA KUATHIRI KODI ZA SERIKALI NA KUCHAFUA MIJI, KUNA HILI LA VIJANA KUTIRIRIKA KUTOKA VIJIJINI KWENDA MIJINI WAKIAMINI KUWA HUKO NDIKO KWENYE MAISHA. HILI JAMBO NI LA HATARI KUPINDUKIA NA LISIPOTHIBITIWA SASA HAKUTAKUA NA MJI WOWOTE WENYE HADHI TANZANIA HII MAANA SERIKALI HAIJAJIPANGA KUHUDUMIA MLINDUKANO HUO HUKO MIJINI.
 
Wewe

Wewe ni kila.za, una macho lakini pia huoni! Mama Samia akifika 2025 hakuna wa kumshinda! Kwanza ndiye atanyea mgombea pekee wa CCM! Upinzani kuna nani wa kushindana naye?!
Nadhani uelewa wako una tatizo. Mama kusimama kuwa mgombea wa CCM hilo halina tatizo kabisa na ni LAZIMA awe yeye! Mnachoshangaza wewe na wenzako wenye chuki na Hayati Dkt Magufuli ni kuendelea kumbeza Dkt Magufuli mkidhani mnaongeza kura za Mama Samia. Kumbuka kupigia kura na NEC ya chama chetu CCM ni tofauti na kura za NEC. Nyie kosa lenu kubwa ni kubeza kundi kubwa ambalo bado linaomboleza kifo cha Dkt Magufuli. Na mjue TISS na vyombo vya ulinzi na usalama vilifanya kazi kubwa sana chini ya Dkt Magufuli na Dkt Magufuli aliwapa kipaumbele sana ktk kuthibiti rushwa. Sasa ninyi mnapomdhihaki si tu vyombo vya ulinzi na usalama vinawaondolea mamlaka ya kutawala bali mnaviumiza kiroho kwa sababu wao ndiyo taasisi ya urais na siyo mtu. Akili zitawarejea 2025 mkiendelea na hizi propaganda zenu chafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…