Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Hiki kinyambolero kimechekewa vya kutosha ndio maana kinapata nguvu ya kujitanua na kuropoka kitakavyo ila mimi ndio ningekuwa president 'sidhani' narudia tena 'sidhani' kama hata kingethubutu kufungua kinywa chake kutema shombo
 
Ameyaongea hayo kwenye mkutano wa chama. Ccm kuweni makini makini mmefuga bomu litawalipukia any time
Uongo ndo jadi yenu,
Mi nadhani hamtumii akili zenu wenyewe.
Hicho kipande kiweke hapo tukione maana nimemsikia mwanzo mwisho
 
Dunia inaenda kwa kasi sana...

Kifo cha Magu kinaweza kuzua matatizo ya akili kwa waumini wake wengi sana...

Mungu atupe uhai tuendelee kushudia mengi...
 
Hampley hata Aseme nini ,hawezi eleweka kiulahisi kwani awamu ya 5 alishiliki pakubwa kuvunja Demokrasia na kuvuruga nchi kwa mambo mengi
 
Mkuu hapo ndio umejibu hoja za Polepole au bado una-search majibu kwanza ila umetanguliza tusi kama kawaida ya wabongo?
Atajibiwa na CCM wenzie, Sisi tupo humu kumpaka Kama yeye alivyotusaliti na kuhamia huko kwenye karamu kisha kuanza kuturingishia viete....Kwa ufupi tunafurahia shida zake.
 
Machawa wote wamejikataa hamna convoy tena maana bia zilikuwa zinanyweka kwa bill ya mwenezi😅 papaa Hanfredi Konokono😅😅😅
 
Kama hawakuiangusha dola Maalim Seif, Mrema, Lowasa, Sumaye, Kingunge. Who is Polepole.
Eti kweli mkuu.... hii ni #Agendasetting.

CCM ukipiga saluti kwa mkono wa kushoto umeasi chama/jeshi.

Ila PLPL ameacha legacy ya kuongeza uhai wa chama ambacho kiliporomoshwa na Upinzani. Alikuta wanachama 2ml akaongeza 15ml.

Amejenga vyuo vya chama Kibaha, kiwanda na chuo Iringa vya UVCCM na chuo kingine Zanzibar kuhuisha chama.

Walikuta thamani ya CCM ni 40bl 2015 wakaipandisha hadi 1tr 2020.

Hiyo rekodi haiwezi kufutwa.

Kwenye medani yeye ni askari wa kikosi cha mbele anayeondoa vikwazo. Wakati tuko kwenye vita ya Kagera enzi hizo ningemfananisha na Gen. John Butler Walden na Gen. David Buzigo Musuguri.

Kwenye medani za siasa namfananisha na mzee Nnauye, Cpt. Komba, Thabit Kombo, Tingatinga Malecela, Simba wa vita Kawawa, Mzee Mangula.

Hata Nyerere alifanya kazi nzuri kwenye chama na serikali, ndani na nje ya nchi lakini hajapata tuzo ya Nobel. UD yenyewe imekuja kutambua kazi zake baada ya kustaafu ndipo wakampa shahada ya heshima ya falsafa. Baghosha!

PLPL ni opposition material, akiingia TLP kitakuwa chama cha pili chenye nguvu Tz, ila mimi hata anihonge viete sichukuwi kadi ya chama chake la sivyo nikichukuwa basi naenda kumlipiza alichonifanyia na KM wake 2020.

Ila ni vizuri kuwa na wapinzani ndani ya chama (siyo nje ya chama tu), ni makosa kuwaondoa au kuwaacha wakajiondoa. Identify, control and retain them kwasababu wanakiimarisha chama kwa ukosoaji wao.
 
Ameyaongea hayo kwenye mkutano wa chama. Ccm kuweni makini makini mmefuga bomu litawalipukia any time
Watanzania ni watu wa ajabu sana,Huu uongo mnaowalisha watu ni kwa faida ya nani?

Polepole kasema yeye aliingia CCM voluntarily na hivyo kama kuna wahuni watamfanyia zengwe kumtoa pia hana shida ataondoka voluntarily.

Halafu hajaongea kwenye mkutano wa chama bali kwenye ofisi za LHRC

Sasa wewe tayari kwa chuki za kichagadema Mnakurupuka bila hata kula,mnaanza kumlisha maneno kisa tu aonekane mbaya.

Sote tunajua jinsi chagadema mnavyoumia na kukaa bench kwa miaka mitano mmejaa sumu mnamuona Humphrey Polepole kama mwenezi ndie alichangia kuwapiga benchi.

Lakini uhalisia ni kwamba wapiga kura tuliwapiga chini.

Na bado 2025 mtapigwa tena.

Ona shauri ya kuweka maslahi binafsi siku hizi hamtaki hata salamu za kina Mdee kisa shekeli.

CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO

Hamtakuja kushika uongozi wa nchi hii.
 
si tunamjua Chakubanga.

vipi vietee zimekauka au?
kiujumla kwa sasa jamaa hamtishi hata nzi.
Chama ch Sii wewe uliyeusaliti mchakato wakupatikana katiba mpya, au no mwingine baada ya kuwa na yhakika wakushibisha tumbo lako punde baada ya teuzi za chamani, je nini kimeenda kombo unajaribu kujitenga na Cha kwa gharama ya kiwango hiki, au anafadhili nani gharama?
 
Umesahau wagombea wa chadema walivyokuwa wanatekwa na polisi ili wasirudishe form? Umesahau mlivyokuwa mnajitangaza kuwa mmpita bila kupingwa? Sasa hapo mwanachi anaaply wapi kura yake!!
 
Napenda wajuvi wa Mambo Kama wewe,japo Sina uhakika na kile umekilenga kutokana na story ya mzee wa vitendawili.

Ila namuhurumia maana Rutto ni kitu kingine.
Ruto hawezi tena kushinda urais kwa njia ya masanduku ya kura, amebakisha option moja tu ya assassination ya Uhuru ili kwa huruma ya katiba achukuwe nchi pale rais akifa madarakani, ili kwamba a-postpone uchaguzi apate muda wa kujipanga na kushughulikia wapinzani wake wote. Ziara ya Uhuru Kisumu kikosi cha Ruto kilitegesha bomu kwenye ndege iliyomfuata Uhuru toka Kisumu, Raila aligundua njama akamkataza Uhuru asipande ndege hiyo, ndege ilipofika Kisumu ikakaguliwa na kukuta bomu, Uhuru akarudi Nairobi kwa ndege ya jeshi na wote waliohusika na maandalizi ya ndege hiyo ya kumfuata rais wakaingizwa kwenye mateso makali hadi wakatajana na kumtaja Ruto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…