Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Ndugu zangu wenye pesa na vyeo, tujifunze kupitia tuliyo yaona, enzi za Magufuli huyu kijana alitamba sana, hakika nimejifunza mengi sana kupitia kifo cha Magufuli, Polepole leo ndiye wa kuitwa TCRA?????? Yaani enzi hizo alikuwa na uwezo wa kufanya chochote na asiulizwe wala kuhojiwa....dunia hadaaa...ulimwengu shujaa...
 
Pole pole hii ni mara ya tatu nakusihi, mlio karibu naye mumkumbushe umuhimu wa kunyamaza kimya, hebu akumbuke yaliyofanywa kwa Membe kama yalikuwa sahihi, na yeye alikuwa miongoni mwa watoa maamuzi. Zama zimepita atulie tuu.
 
Huyu ndiye alikua anaamua nani awe mbunge, kule kwetu japo mbunge wa Chadema alikua na nafasi kubwa lakini yule wa CCM aliyeshinda kura za maoni pia aliondolewa wakatuletea mbongo fleva.
EeeenHeeee! Pole sana.

Maana yake ni kwamba CCM wanawapenda sana watu wa huko. Wanajuwa ni viongozi bora kwenu kuliko nyinyi mnavyo watambua viongozi wanaowafaa nyinyi!

Lakini niseme ukweli, sio nyinyi peke yenu, hii ni karibu nchi nzima. Na maadam polisi wapo kuwashughulikia wale vihelehele kati yenu, mkubali tu maisha yaendelee kama kawaida.

CCM Idumu Milele!
 
Mkuu 'Freddie Matoja', sina hoja kinzani juu ya hao akina Zitto na wengine kuruhusiwa kufanya wanayofanya; ila nielewavyo mimi, Popole ni tofauti sana na hao wengine.
Kumbuka CCM wanavyojinadi kuwa na njia zao za kumaliza mambo ndani ya chama chao bila ya kuyapeleka nje ya chama. Popole bila shaka wanataka akazungumzie ndani ya chama ili waweze kummaliza kimya kimya huko huko.
Ndugu yangu Kalamu, Humphrey ni mwana CCM na kawa mwanaharakati kabla ya kuingia kwenye tume ya katiba.
Bila shaka anaifahamu vema nyumba ile na mifumo yake na ukizingatia kwa sasa sio mjumbe wa CC tena au NEC ambavyo ni vikao vikubwa vya maamuzi kwenye set-up ya CCM.

Maadam hajavunja sheria, acha azungumze na ukizingatia kuna hoja zina mashiko. Mathalani, kumekuwa na hoja ya deni la Taifa kuongezeka awamu ya 5.
Alieondoka na mkulu wa awamu ya 5; makamu wake kawa mkulu, na aliekuwa na dhamani ya ku-negotiate mikopo ndiye #2.
PM ni yuleyule.

Akiwabana "wenzie" kuhusu hoja ya mikopo as if aliokopa individual na aka-spen yeye individually wakati hawa walikuwa wasaidizi na sehemu ya awamu ya 5; hapo kuna hoja na majibu yake ni vema yakatolewa ili Watanzania tujue.

Amekuwa na hoja za crane za kubeba magati ya maji inalazimu kusubiri siku 400 (miezi 13) wakati aliekuwa waziri wa sekta aliemtangulia huyu wa sasa alikuwa na hoja kuwa maji ilitakiwa yaanze kujazwa ili umeme uwepo wa kutosha.

Acha mvua inyeshe ili tujue panapovuja ni wapi.

Enzi za Spika Sitta akiwa amekalia kiti na kukawa na mtifuano kwa maslahi ya taifa ni afya kuona kuna kuelezana ukweli ili kuwe kudai uwajibukaji.
 
Ndugu yangu Kalamu, Humphrey ni mwana CCM na kawa mwanaharakati kabla ya kuingia kwenye tume ya katiba.
Bila shaka anaifahamu vema nyumba ile na mifumo yake na ukizingatia kwa sasa sio mjumbe wa CC tena au NEC ambavyo ni vikao vikubwa vya maamuzi kwenye set-up ya CCM.

Maadam hajavunja sheria, acha azungumze na ukizingatia kuna hoja zina mashiko. Mathalani, kumekuwa na hoja ya deni la Taifa kuongezeka awamu ya 5.
Alieondoka na mkulu wa awamu ya 5; makamu wake kawa mkulu, na aliekuwa na dhamani ya ku-negotiate mikopo ndiye #2.
PM ni yuleyule.

Akiwabana "wenzie" kuhusu hoja ya mikopo as if aliokopa individual na aka-spen yeye individually wakati hawa walikuwa wasaidizi na sehemu ya awamu ya 5; hapo kuna hoja na majibu yake ni vema yakatolewa ili Watanzania tujue.

Amekuwa na hoja za crane za kubeba magati ya maji inalazimu kusubiri siku 400 (miezi 13) wakati aliekuwa waziri wa sekta aliemtangulia huyu wa sasa alikuwa na hoja kuwa maji ilitakiwa yaanze kujazwa ili umeme uwepo wa kutosha.

Acha mvua inyeshe ili tujue panapovuja ni wapi.

Enzi za Spika Sitta akiwa amekalia kiti na kukawa na mtifuano kwa maslahi ya taifa ni afya kuona kuna kuelezana ukweli ili kuwe kudai uwajibukaji.
Heshima mkuu.
 
Ukweli una tabia ya kujitenga na uongo ....

Ni suala la muda tu atavuna aliyokuwa amewapandia na kuwasaliti watanzania zama zile sababu ya boss wake.

Kama hoja hazijibiwi kwa rungu kwanini Tundu Lissu anaishi uhamishoni hadi leo?
 
Tulimkosoa alipokosea, kumpongeza alipofanikiwa, kumshauri, kutoa maoni kwa staha. Angalia jina langu thread enzi za jiwe tena kuhusu kodi bandarini, Airport, Wamachinga, kilimo, biashara, magereza, haki za msingi, uhuru wa maoni, wa JF.

Nchi yako inaangamia, inakufa, maisha yako yanazidi kuwa magumu, unachoweza kusema ni kafieni, wakati hata wewe, ndugu zako, nchi yako inakufa.

Just curious, Unajiita wa kupuliza, unapuliza nini, unapuliziwa nini?
Nakupuliza matter-call hayo mrembo.
 
Lakini Polepole hoja anazo...watu wanampinga lakini moyoni, wanamkubali..wamjibu kwa hoja
 
Nakupuliza matter-call hayo mrembo.
Right siku nyingine jaribu kuweka hoja muhimu zaidi ya hoja ya kitoto anayokupinga.

Utakuwa upande wa watu,Watanzania ni sio waseng.e. Sio kupuliziana wewe na wenzako katibu mkuu mwenezi wa CCM.
 
Ila suala la Covid ni suala la majabali ya dunia, anatakiwa akokotoe hesabu zake vizuri vinginevyo watamshughulikia wenyewe kwa mbinu zao wazijuazo ikiwemo kupigwa marufuku kwenda nchi za majabali given kwamba hata yeye hajachanja.

Yeye saizi yake ni watu wa ndani ya nchi, kule nje siyo saizi yake. Watu wametoa ela zao zikatujengea shule na vituo vya afya nchi nzima ili wafanye biashara ya chanjo, barakoa na kits alafu utie mchanga kitumbua chao?? weweee..!! Jipange....

Tozo za miamala kwa ajili ya kujengea shule, vituo vya afya na maji zilikuwa zimetufarakanisha na serikali, wao wakatoa fungu kufanya kazi hizo alafu uwe na msimamo tofauti na wao....
Punguza font size mkuu, michango yako mizuri ila haivutii kusoma
 
Right siku nyingine jaribu kuweka hoja muhimu zaidi ya hoja ya kitoto anayokupinga.

Utakuwa upande wa watu,Watanzania ni sio waseng.e. Sio kupuliziana wewe na wenzako katibu mkuu mwenezi wa CCM.
Mimi naenjoy kupuliza huo mzutu wako binti.Jitajidi kua muelewa kwny hili kigori.
 
Ukweli una tabia ya kujitenga na uongo ....

Ni suala la muda tu atavuna aliyokuwa amewapandia na kuwasaliti watanzania zama zile sababu ya boss wake.

Kama hoja hazijibiwi kwa rungu kwanini Tundu Lissu anaishi uhamishoni hadi leo?
Lisu kanogewa tu kwa amsterdam!

Mbaya wake alishafariki kwanini yeye asirudi?
 
Mimi naenjoy kupuliza huo mzutu wako binti.Jitajidi kua muelewa kwny hili kigori.
You are allright, nilijua uwezo wa kufikiri utakufikisha hapa. Jina lako ni kama akili yako.

Sasa mtu kama wewe na genge lako utakuwa kiongozi sahihi kwa Watanganyika?

Vipi inaweza kuwalinda watoto wetu, vijana wetu, kuwapa elimu sahihi, maadili, uaminifu, uadilifu kujiamini.
 
Haka kajamaa ni ka tapeli, ni ka seasonal politician. Wakati wa Mchakato wa Katiba kalikuwa kanisimamia itikadi za kupunguza ukiritimba wa chama kimoja, leo kinasema UJAMAA ni Imani. au hakijui ujamaa na siasa za chama kimoja ni chanda na pete?
 
EeeenHeeee!
Hivi hao waliondoka, au walichukua 'franchise' ya CCM na kuisambazanchi nzima.

Huoni wanaokataa kuwa kitawi cha CCM wanavyohangaishwa?

Wanaokataa kuwa tawi la CCM wanavyohangaishwa?
😂😂😂😂

Natamani ungeujua ukweli wa siasa za nyakati Hizi👣👣👣👣
 
Ila suala la Covid ni suala la majabali ya dunia, anatakiwa akokotoe hesabu zake vizuri vinginevyo watamshughulikia wenyewe kwa mbinu zao wazijuazo ikiwemo kupigwa marufuku kwenda nchi za majabali given kwamba hata yeye hajachanja.

Yeye saizi yake ni watu wa ndani ya nchi, kule nje siyo saizi yake. Watu wametoa ela zao zikatujengea shule na vituo vya afya nchi nzima ili wafanye biashara ya chanjo, barakoa na kits alafu utie mchanga kitumbua chao?? weweee..!! Jipange....

Tozo za miamala kwa ajili ya kujengea shule, vituo vya afya na maji zilikuwa zimetufarakanisha na serikali, wao wakatoa fungu kufanya kazi hizo alafu uwe na msimamo tofauti na wao....
Amekwambia ana mpango wa kwenda kwenye nchi zao?
 
Back
Top Bottom