Bithurasdinhournhim
Senior Member
- Mar 14, 2017
- 166
- 396
Tetesi ni kwamba anajiuzulu!
Hana ubavu huo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetesi ni kwamba anajiuzulu!
Ajiuzulu tuTetesi ni kwamba anajiuzulu!
Kwani wapi umeona nimeandika upinzani? Kwani kila anaye mkosoa polepole ni mpinzani? Uko shule mlikwenda kusomea ujinga.Mirija ipi ya ulaji?
Angekuwa na ukata angemudu kuendesha hivyo vipindi live?
Kwani bungeni mule anakaa bure?
Sema mnamchukia shauri aliwaweka benchi upinzani, wala hamna lolote!
Kwa hyo wakati aloptaka watu wanyamaze alikuwa akilinda tumbo lake???
Je, ataongea masuala ya chama? Kama ndiyo, kwa capacity ipi?Hi guys. Hope mnado poa.
Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2...
At some point nadhani alidhani yeye ni deputy president (above the VP).Huyu alikuwa na uwezo wa kumpigia simu Jafo, Sirro na maofisa wengine wajieleze kwenye kipindi cha Papo kwa Papo.
Hahahaaa... katazame V-8 ya kijani utajuwa PLPL ni nani.polepole ndio nani?
huuhuuhuu...!! mbona mnamtukuza sana uyo pole pole as if yeye ni mungu? yaan kale ka cheo ka usemaji wa chama nyie ndio mna muona kama mungu wenu? aibu juu yenu wooote mnayemtukuza pole pole na kumuona mungu mtuHahahaaa... katazame V-8 ya kijani utajuwa PLPL ni nani.
hana jeuri hiyo.Tetesi ni kwamba anajiuzulu!
Povuuuuu
hana jeuri hiyo.
Ngoja tuone.hana jeuri hiyo.
Polepole Bado anashindwa kuhamini Kama dikteta kafaHana jipya huyo, tusimpe airtime na promo yoyote, ni mviziaji wa kawaida sana. Anatafuta attention tu huku akitumika na wakubwa zake.
Afe na njaa!!Tetesi ni kwamba anajiuzulu!
labda itakuwa ni saa tano usiku.Saa 5 ndo hii, mbona kimya!!?