Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

labda itakuwa ni saa tano usiku.
saa 5 usiku nan atamskiliza? yaan tuache kulala sisi na wake zetu tumsikilize yeye kajamba nani....uyo baba yake mwenyewe tu watu walikuwa hawamsikilizi mida iyo....hivi kweli nimuache yusrat wangu kwa ajili ya kumsikiliza bwege uyoooo?
 
huuhuuhuu...!! mbona mnamtukuza sana uyo pole pole as if yeye ni mungu? yaan kale ka cheo ka usemaji wa chama nyie ndio mna muona kama mungu wenu? aibu juu yenu wooote mnayemtukuza pole pole na kumuona mungu mtu
Vipi akikutupia chambo cha 20ml na tiketi ya Dubai na visa ya 10 dys na reservation ya 5 star hotel hivyo ulivyo na uchumi huu wa Covid-19 hutameza ndoano yake na kumuita mungu-wa-utatu kweli wewe ninavyokujuwa?
 
Vipi akikutupia chambo cha 20ml na tiketi ya Dubai na visa ya 10 dys na reservation ya 5 star hotel hivyo ulivyo na uchumi huu wa Covid-19 hutameza ndoano yake na kumuita mungu-wa-utatu kweli wewe ninavyokujuwa?
wakutukuzwa ni mungu pekee na sio uyo bwege......!!
 
Polepole umepozwa kama walivyofanyiwa jamaa wa mabakabaka wakaishia kutoa tamko lenye ujazo wa kisoda....hahahaha!
 
Na muumini wa Merotocracy

Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.

Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.

Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .

Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
Tusubiri tuone labda ana kitu cha maana, katika siasa hakuna Adui wa kudumu wala Rafiki wa kudumu, after all hapa duniani tunapita tu !! NA KARMA IPO KUFANYA VITU VYAKE, !!
 
wakutukuzwa ni mungu pekee na sio uyo bwege......!!
Mkuu,
Unawezaje kumpenda mungu ambaye hujawahimuona ukaacha kumpenda mwanadamu unayemuona kila uchao? Anza na huyu mwanadamu PLPL kwanza. "Lazaro aliambiwa ndugu zako wasipowasikiliza niliowatuma kwao huko hata akienda mtu kutoka kuzimu hawatamsikiliza" Mkuu kubali kusikiliza ubwege wa PLPL.
 
saa 5 usiku nan atamskiliza? yaan tuache kulala sisi na wake zetu tumsikilize yeye kajamba nani....uyo baba yake mwenyewe tu watu walikuwa hawamsikilizi mida iyo....hivi kweli nimuache yusrat wangu kwa ajili ya kumsikiliza bwege uyoooo?
What if kama ukiamka asubuhi na kukuta magazeti yote front page (lead story na lead photo) ni PLPL na Mwenyekiti taifa wa chama chako wamekaa pamoja wakimpokea PLPL kwenye chama chenu je, utapishana naye wewe ukienda kijani? Hahahaaaaa siasa si-hasa!
 
Back
Top Bottom