Chakubanga a. k. mzee kijanapolepole ndio nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakubanga a. k. mzee kijanapolepole ndio nani?
saa 5 usiku nan atamskiliza? yaan tuache kulala sisi na wake zetu tumsikilize yeye kajamba nani....uyo baba yake mwenyewe tu watu walikuwa hawamsikilizi mida iyo....hivi kweli nimuache yusrat wangu kwa ajili ya kumsikiliza bwege uyoooo?labda itakuwa ni saa tano usiku.
Itakuwa wamempiga mpini maana kuna mtu mmoja yupo kwenye magroup ya Whatsapp huko kanifowardia ujumbe tangia saa nne kuwa wakishauriana wapelekwe vijana pale wakampige stop kwani anaialibu Serikalilabda itakuwa ni saa tano usiku.
Kwa hiyo ni demokrasia inapokuwa inawafavour wao. Ikiwa against mnataka watu wafunge midomo? Siyo fair MadamDemokrasia Kinyungu
Mbona wewe hunyamazi🤣🤣🤣
Ajiuzulu atafanya shuguli ganiNgoja tuone.
Vipi akikutupia chambo cha 20ml na tiketi ya Dubai na visa ya 10 dys na reservation ya 5 star hotel hivyo ulivyo na uchumi huu wa Covid-19 hutameza ndoano yake na kumuita mungu-wa-utatu kweli wewe ninavyokujuwa?huuhuuhuu...!! mbona mnamtukuza sana uyo pole pole as if yeye ni mungu? yaan kale ka cheo ka usemaji wa chama nyie ndio mna muona kama mungu wenu? aibu juu yenu wooote mnayemtukuza pole pole na kumuona mungu mtu
Anavuna alichopandaMzee wa Mavieite , tulimuonya sana kuhusu uharamia wa awamu ya 5 lakini akatupuuza
atakuwa kama lijua likalo tu saa hz sijui anapiga debe pale msamvu stand? ....(jokes)Ajiuzulu atafanya shuguli gani
Au arudi kwenye NGO yke
Uraiani kugumu bwasheh
Ova
wakutukuzwa ni mungu pekee na sio uyo bwege......!!Vipi akikutupia chambo cha 20ml na tiketi ya Dubai na visa ya 10 dys na reservation ya 5 star hotel hivyo ulivyo na uchumi huu wa Covid-19 hutameza ndoano yake na kumuita mungu-wa-utatu kweli wewe ninavyokujuwa?
Strategization for Lowassalizing 2025 polls against Oppons and donour deception! Watch out!Ajiuzulu atafanya shuguli gani
Au arudi kwenye NGO yke
Uraiani kugumu bwasheh
Ova
kwani hukumbuki ile press ya nape ilivyopigwagwa danchii bwana Mdogo akapaniki na kutoa povuuu kama lote juu ya Gari, atajua hajuilabda itakuwa ni saa tano usiku.
Tusubiri tuone labda ana kitu cha maana, katika siasa hakuna Adui wa kudumu wala Rafiki wa kudumu, after all hapa duniani tunapita tu !! NA KARMA IPO KUFANYA VITU VYAKE, !!Na muumini wa Merotocracy
Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.
Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.
Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .
Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
Mkuu,wakutukuzwa ni mungu pekee na sio uyo bwege......!!
Hahahaaa !! Hatari sana !!!Waswahili wanamsemo linalojamba ni tumbo mkuundu ni spika tu,huyu chakubanga ni mkyundu tu yapo matumbo yenyewe
What if kama ukiamka asubuhi na kukuta magazeti yote front page (lead story na lead photo) ni PLPL na Mwenyekiti taifa wa chama chako wamekaa pamoja wakimpokea PLPL kwenye chama chenu je, utapishana naye wewe ukienda kijani? Hahahaaaaa siasa si-hasa!saa 5 usiku nan atamskiliza? yaan tuache kulala sisi na wake zetu tumsikilize yeye kajamba nani....uyo baba yake mwenyewe tu watu walikuwa hawamsikilizi mida iyo....hivi kweli nimuache yusrat wangu kwa ajili ya kumsikiliza bwege uyoooo?
Jibu swali mama D