Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938
Kweli siku hazifanani alikuwa anayakata mangoma ndani ya Ikulu., sasa anachukua nafasi ya Musiba
 
Na muumini wa Merotocracy

Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.

Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.

Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .

Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
Ukipata hata like 1 kwa uzushi huu utakuwa umejitahidi sana.
 
Saa 6 hii hajaongea? Au naye hajui umuhimu wa muda kama wale jamaa zetu wa pande ile!
 
Kwa Humprey Polepole fanya kati ya haya yafuatayo ili uendelee kuheshimika

1. Rudi kwenye civil organizations as activist wa mambo ya utawala bora, na demokrasia
2. Baki kwenye CCM kama underground usiendelee kuwa vocal, ni wazi kuwa the current political regime utaisha na anaweza kuja kiongozi mwingine anamfikiria
3. Aende opposition physically and emotionally na wala asiende kwa kutega kama Lowasa, Sumaye wala Membe. Uzuri wa Humprey ana viakili kidogo
4. Aaachane na yote aende kwenye dini awe mchungaji
Activists stops at nothing !! Hiyo namba mbili haiwezekani kwake , labda namba 3 na 4 anaweza akafikiria ,!!
 
Wadau niko ndani ya daladala nasikia kuna mwanaccm mmoja amejivua uanachama.

Ni nani huyo?

Sabato njema!
 
hata uyo pole pole wenyewe pia sijawahi kumuona kama ilivyo kwa mungu
 
Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938
Huyu mtu ni mshenzi sana. Anavuna alichopanda. Wakati akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba, ya Jaji Warioba alitulaghai sana na tukaamini kweti kwa timu ile katiba mpya tumepata. Akaja nunuliwa akawa siyo yule tena wa tume, hata kwa lugha, kwa moyo na ule uzalendo ukaisha kwa vipande vya fedha. Na zaidi akahongwa na madaraka ndani ya ccm na akawa na nguvu sana hata serikalini kupitia mdomo na kofia ya chama. Yeye na mwenzake Bashiru wakantisha sana Mh. JPM. na matokeo yake wakawa watu wa kuchongea wenzao na kupanga safu za uongizi watakavyo. Ghafla Maghufuli katwaliwa! Wakaweka pressure katiba ikiukwe ili SSH asiwe Rais, kakashindwa akawa na wakawekwa nje ya system. Leo wanavuna walichopanda, wanampiga ssh vijembe sana bila mafanikio, magufuli hayupo, hawana ushawishi wowote na wamechanganyikiwa.
Huyu tumpuuze kama ukoma huyu ni mchumia tumbo tu. Ale mabaki ya rushwa ya kutuharibia mchakato wa katiba, mengine ni kelele tu. Shenzi sana.
 
Activists stops at nothing !! Hiyo namba mbili haiwezekani kwake , labda namba 3 na 4 anaweza akafikiria ,!!
pia iyo namba 3 haiwezekani hata kidogo labda aanzishe chama chake....hakuna chama cha upinzani kitakachompokea yule.....tatizo dogo ni much know sana
 
Back
Top Bottom