Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Upinzani msikubali kabisa kumpokea huyu kenge maji ktk vyama vyenu! hafai hata chembe!
Hili ni gunia la misumari kamwe msilibebe
Siasa haziwagi hivyo.

Raila leo ana ushirika na KANU (kupitia Jubilee) ambayo ilimtesa yeye na kizazi cha babake. Utawala wa mkono wa chuma wa Moi kupitia KANU uliwahi kumtesa Raila kuliko kiongozi yeyote wa upinzani EAC labda na Afrika.

Hata mateso ya Mandela kule Roben Island hayafikii ya Raila labda Guantanamo Bay.

Raila aliwahipigwa na vikosi kama mbwa-koko-kichaa na kumsababishia majeraha yasiyofaa kuangalia na kutupwa kwenye chumba chenye maji ya chumvi na pilipili vilivyokolezwa akingali na vidonda vibichi, na maji yakajazwa kwenye saizi ya shingo yake kwa siku tisa huku chakula akichanganyiwa na kinyesi, lakini alikula kinyesi na alipotoka huko kauli yake ilibaki ileile kwamba KANU lazima iondoke hata kwa gharama na kafara ya roho yake.

Kakake Dr. Oburu Oginga akiwa Jasusi wa KGB Urusi alipopata habari hizi, alimpa Rais Moi saa 24 tu kumuachia Raila huru kinyume chake Russian Fighter Jets zitatua Ikulu ya Kenya kumung'oa Moi na KANU yake.

Enzi hizo kulikuwa na vita baridi kali ambapo Kenya ilikuwa upande wa Magharibi hivyo Urusi ilikuwa tayari kumtumia Jasusi Dr. Oburu Oginga kubomoa kambi ya Ubeberu Kenya na kupandikiza Ucommunist. Ultimatum ya Jasusi Dr. Oburu Oginga ilimtisha Moi na US, akatangaza kumuachia huru Raila.


Kulia ni Jasusi Dr. Oburu Oginga na mdogo wake Raila Odinga, chini ni Jaramogi Oginga Odinga (baba yao). Taswira kwa hisani ya google.
3029867_1639214512125.png


1639214679766.png


1639214512125.png
 
Hata picha ya PLPL hujawahi kuiona? Mungu najuwa hanaga picha!
na wala sijawahi kushawishika kuiona picha yake namskia tu kama ninavyoskia majina mengine ....kama vile kuku. mbwa. paka nk tena afadhali ya ivyo viumbe navijua lakin uyo sijui slow slow wala hata hapana taka jua iyo kitu
 
Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938

=====

UPDATES;

======

"Kama viongozi wasiposali na kumtemea Mungu nchi yetu haiwezi kuendelea, tumtangulize Mungu mbele. Kuanzia diwani, mpaka mawaziri na kule juu tuwe watu wa maombi, kukumbushana ni muhimu, naona kama tunatakiwa tuishi maisha ya Kimungu hivi." - Humphrey Polepole

"Viongozi wanatakiwa wawe waadilifu na wanyenyekevu." - Humphrey Polepole.

"Nilisema kuhusu magonjwa, mfano ebola, kesi moja tu imewahi kupenya na ikafuatiliwa na sasa tuko salama. Yakaja haya magonjwa mengine maarufu hivi karibuni lakini sio kitu. Nikasema muwe makini hawa wahuni wa kimataifa ni wajanja." - Humphrey Polepole.

"Nilizungumza kuhusu songombingo la wamachinga, Mhe. Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana lakini wapo waliotekeleza vizuri wengine wamefanya vibaya mno, wameboronga, ukimkosoa DC au RC kuhusu hili wanasema umemkosoa Rais, nani kakwambia?" - Humphrey Polepole.

"Rais Samia Suluhu alitoa maelekezo mazuri sana kuhusu wamachinga, wapangeni vizuri, msiwazonge, msiwapige, msiwanyanyase.... mimi ni mwana-CCM bana, fitina kwangu ni mwiko. Nikasema mlivyotenda kwa machinga baadhi yenu mmekosea na nikatoa mifano." - Humphrey Polepole.

"Kwenye mgongano wa kimasilahi kuna aina tatu, masilahi ya Taifa, kundi au mtu mmoja mmoja, wanaanza na masilani ya mtu mmoja, kisha kundi na baadaye Taifa, nikasema wanaopanga hivi ni wahuni." - Humphrey Polepole.

"Wahuni wanapenda masilahi binafsi kwanza, kazi yetu ni kuwadhibiti bila huruma wala kucheka nao. Yanatokea majitu tena viongozi na kusema mimi ni muhuni nimepenya, unaweza kutafakari namna gani kiongozi huyu yuko serious, huwezi kuwa kiongozi ukachekelea kuwa mhuni." -Polepole.

"Kule bungeni tunakutana mara chache, mfano kuna kipindi cha mwezi Machi hadi Julai, ina maana mimi niongee mara nne tu kwa mwaka kuhusu wahuni, unadhani inatosha, nitatumia fursa zozote za kusema ili kuwasema wahuni," - @hpolepole, Mbunge wa kuteuliwa.

"Kwa sasa nimeshaanza kufuatilia mambo kadhaa, watu wakizingua pahala ninatoka ninasema hapa umezingua nitaruka na wewe, nakulipua, si wanachelewa kuchukua hatua? - Humphrey Polepole.

"Sijasema Serikali haifanyi kazi, Serikali inafanya kazi nzuri sana lakini ni jukumu letu na kukumbushana. Unadhani kwa nini malaria haiishi na tumesoma mpaka madarasa tukayamaliza? Halafu tunasema tu lete net, hivyo viwanda wanatengeneza wapi?, vya msaada. - Humphrey Polepole.

"Nilieleza kuhusu uchambuzi wa matatizo, malaria haiishi Tanzania kwa sababu hatuchambui tatizo, unadhani ufumbuzi ni chandarua kwani ukitoka usiku kwenda haja ndogo mbu si wanaunga na wewe? tunafanya maamuzi ambayo hayajajengwa katika kutatua tatizo, hilo nalo tatizo." -Polepole

"Kuna kiwanda kipo hapa nchini kinatengeneza viuatilifu vya kuua mazalia ya mbu, nyie wanahabari waulizeni wamewahi kunnuua pale? Mtu analala kwenye chandarua mguu upo nje, mbu wanamng'ata, nauliza sisi tumekwenda shule tukasoma, hii ndio suluhisho kweli?" - Humphrey Polepole.


Channel 10 hawarushi live? Hata kwenye kile kipindi chake cha kuondoaga kero wamempuuza?
 
polepole ndio nani?
Mkuu hii comment nishaita fundi Maiko, aitengenezee frame, ni comment bora 2021.

Who the efff is Polepole kwenye nchi hii??
Anatafuta kick, publicity, kujikweza kwa nguvu, aje na hesabu zake za magazijuto za 1.5T..

Everyday is Saturday................................😎
 
Polepole popote ulipo, U R A NOBODY, huna tofauti na gunia la viazi Mabibo au ndizi, hakuna anayejali zimetoka wapi za nani! Wananunua kutumia.

Polepole once upon a time, ujue wewe ni wa hapo zamani za kale. Huingia hata kwenye kundi la ya kale dhahabu.

Hakuna mtu aweza kusema anakumisi huku uraiani,

Everyday is Saturday................................😎
 
Kama ni kweli basi impact yake itakuwa kubwa kiasi chake, PLPL is nobody fool, !! Some big fish behind the curtains !! Just guessing !
Who are the big fishes now in Tanzania other than those attended the 20th DD of former Brigadier General!
 
Back
Top Bottom