Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Jimbo gani hilo unalotaka

Ova
 
Ifike mahali tukubali kuwa Zama.za ujinga zimekwisha. Yaani ukamate Watu bila kosa baadae uje utuambie huruma 😂️😂️😂️😂️
 
Nyie ndo mnasababisha waafrika tuonekane wajinga.kwanini asingetumia hiyo huruma mwanzoni kabla yote haijatokea
 
Shetani kajifunua uso mzima sasa!

Zile mbwembwe zote baada ya kushtukiwa, sasa sura kamili ya ushetani haijifichi tena!
Ninakuzungumzia wewe mwenyewe na huyo shetani mwenzio unaye mfanyia kazi humu.
 
Huruma?
Huruma inaingiaje hapo?
 
Angeacha tuone hatima yao
 
actually yote yamefutwa,

ila kupanga kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi ni miongoni mwa uhalifu uliokusudiwa kutekelezwa na magenge ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na jeshi imara sana la polisi Tanzania
Yamefutwa na mahakama?
 
Sawa. Katika kujadili jambo tunaelimishana. Hatubishani tu kwa lengo la kubishana. Tuanze na sheria iliyovunjwa na kutaja shitaka la uhalifu uliofanywa au kukusudiwa kufanyika.
 
actually yote yamefutwa,

ila kupanga kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi ni miongoni mwa uhalifu uliokusudiwa kutekelezwa na magenge ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na jeshi imara sana la polisi Tanzania
Ulishaona polisi wakimkamata mhalifu kuna sheria inayowapa mamlaka ya kufuta huo uhalifu/kumwachia mhalifu au mahakama ndiyo yenye huo wajibu wa kutoa haki na pia kuadhibu au kusamehe kwa mujibu wa sheria?
 
Sasa watu wengine Mkitukanwa kwa kutoa hoja za kijinga kama hizi mnalalamika kabisa?
Daah wewe jamaa nakuonaga mjinga sana kwa posti zako nyingi tu hapa jukwaani.
Utakuja na kahoja kako cha kipimbavu eti nikosoeni kistaarabu.
Daah hii nchi ina baadhi ya watu wajinga sana mmoja wapo ni wewe mtoa posti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…