Jidanaganyehakuna wanachohamasisha zaid ya kuwafundisha vijana wawe wezi na majambazi.
Hivi unadhani kijana wa kawaida anaweza kuja kununua range rover kwa biashara gani au ajira gani?
Mwisho wa siku wanakuja kuwa wauza unga
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
bila hivyo mkuu tutaendelea kukalisha mapumbu yetu wanaume na kufurahia wanaume wengine wenye fwedha wameshikwaAhsanteee hiyo ndiyo point mzee baba, mwanaume bila hela hata inzi zitakufuata, asilia yetu wanaume ni kupambana tupate pesa vyovyote itakavyokua iwe halali au siohalali, akili ya mwanaume ni zaidi ya mwanamke tumeumbwa kuwa wabunifu na kujiongeza,
kwa hiyo utafananisha na jela za TANZANIA? kulala kwa mchongoma(unalala mwenzako kakuwekea miguu uson, ole wako uitoe) chakula kibovu unga umechanganywa na magunzi)mboga ndio usiseme kama unakunywa maji, kukalishwa juani uchi unainama kukaguliwa matako kubakwa au kuuwawa kuko jela zote duniani kumbuka wanaoenda uko ni wahalifu, hata huku bongo gerezan watu wanapigana sana na kuuana, sema haitangazwi, tuliowahi kwenda huko tunaelewa,
Akatumie akili na huko korokoroni.Eti amekaa tu na anatepeli acha hizo bob mtu katumia akili sana kutapeli pesa mingi hivyo, mbona usijaribu basi maana hata kamchezo ka tuma kwa namba hii ni utapeli ambao hata mtoto mdogo anaustukia wanaoliwa kwa hilo nao viazi, ilq jamaa katumia akili nyingi sana
Hapo akili tayari zimeisha, anasubiri huruma ya mabeberu. Labda dangote ajitolee kumsaidia kwa kuwalipa wote waliotapeliwa naeAkatumie akili na huko korokoroni.
Acha uwoga ...anaweka good lawyers anatoka ..watu wanauwa na jela wanatokaSasa hivi anaenda kwenye zile jela za marekani watu wamepinda anaenda na sura yake ya scrub na facial wakamle makalio msengerema yule.
Sema jamaa kidume sana, cha msingi upate mkwanja legally or illegally it doesn't matter, as long unatumia akili zako but play smart
Labda mahakama za kiafrika hizo ila sio USAcha uwoga ...anaweka good lawyers anatoka ..watu wanauwa na jela wanatoka
Kuna wengine pia wamefanya wizi kama huo wa NBC,this time around wameiba za NMB na wamedakwa kigoma wakiwa wamenunua PowerTiller na Tv ya SundarHapo kwenye ku play smart ndio jamaa amefeli na ndio maana tunamtoa kwenye kundi la wanaume wenye akili. We huwezi kuwa na akili, upige mamilioni ya pesa halafu uanze kujitapa mitandaoni na kuonyesha magari, nyumba na nguo kama kina poshyqueen au wolper! Hizo ni akili za wapi?? Huyu jamaa hana tofauti na wale mburulaz walioiba hapo NBC wakaenda kununua ist 5, noah 8, majumba nk mwisho wakakamatiwa mbagala!
Asilimia kubwa ni matajiri na utajiri wao ni madawa ya kulevya. Huwa wanatumia tekniki ya kuoa raia wa nchi husika ili wapate uraia na kuanza kuingiza madawa ya kulevya. Wana akili nyingi kiasi kwamba wakishakulia timing huchomokiKivip mkuu
Jidanaganye
masikini ndio mwenye mawazo kama yako na kuwaza ngono na matusi sababu ndivyo vinavyokufariji katika umasikini wako..pole sana mtoto hujajua maisha na hujakua bado.Endelea kupenda vya bure, utafirwa siku si nyingi dogo..
Kama michael Schofield sioAkatumie akili na huko korokoroni.
Kama anawapiga mitandaoni bila kufanya show off huko mtandaoni atawaingizaje mkenge , hapa duniani only the strongest will survive,.. Akili yako tu ndiyo itafanya uishi maisha uyatakayoHapo kwenye ku play smart ndio jamaa amefeli na ndio maana tunamtoa kwenye kundi la wanaume wenye akili. We huwezi kuwa na akili, upige mamilioni ya pesa halafu uanze kujitapa mitandaoni na kuonyesha magari, nyumba na nguo kama kina poshyqueen au wolper! Hizo ni akili za wapi?? Huyu jamaa hana tofauti na wale mburulaz walioiba hapo NBC wakaenda kununua ist 5, noah 8, majumba nk mwisho wakakamatiwa mbagala!
What is your goal?
What is your goal?